Dr SLAA: Wana TABORA mtuunge mkono

Dr SLAA: Wana TABORA mtuunge mkono

Mimi ni mnyamwezi na nafahamu mazingira na khulka za wanyamwezi, juu ya alichofanya Rostam...CCM ISAHAU JUU YA USHINDI WA HAKI KATIKA MKOA WA TBR ktk chaguzi yoyote ijayo. Ni doa na pigo kubwa sana kwao CCM TBR, waila kwa wasioufahamu vema mkoa ule...wanaweza kudai kwamba CCM inaweza kuwa hai kwa miaka 10 ijayo.Dr Slaa mnapaswa mmuweke mtu ambaye ni kweli anatoka TBR, asipandikizwe mtu kinadharia kuwa ni mzawa wa TBR...wale hawachelewi kumsusa. Pelekeni mtu asilia ya mkoa ule na walau anajua lugha ya kinyamwezi na shupavu, MTASHINDA.
Harufu ya ukabila!
 
Mtanisamehe bure lakini jana nimewadharau sana wana Igunga, kweli vya bure gharama!! na kwa mentality ile hakuna haja ya kupoteza fedha kwenye uchaguzi, wamuombe tu tajiri wao awatangazie Kibaraka wake atakayewaongoza wana Igunga kwa niaba yake.
 
magamba yatachelewesha huo uchaguzi yakisoma upepo na kama yakijiridhisha jimbo watalikosa,yataitisha uchaguzi mwezi september 2015
 
Sawa nimewasikia, kesho nna kikao cha halmashauri kuu dodoma ntafikisha suala lenu msijali.
 
Mwanangu huyu Kanali ametoka wapi tena huku jamani, TBR hamna wese wajameni.
 
magamba yatachelewesha huo uchaguzi yakisoma upepo na kama yakijiridhisha jimbo watalikosa,yataitisha uchaguzi mwezi september 2015

mkuu unaijua sheria? Kuna sheria inayotufanya tuingie ktk uchaguzi mdogo bila kikwazo chochote. Iyo ya kuchelewesha ebu sahau kabisa.
 
mipango iwekwe mapema mkuu! Changes inahitajika igunga! Pamoja mkuu!!
 
AN ENGLISH MAN CAME TO TZ TRIED TO LEARN KISWAHILI....... WHEN HE WAS ABOUT TO LEAVE BACK TO HIS HOME LAND, HE WAS ASKED HOW MUCH HE HAD LEARNT. All he knew was.......Hakuna umeme , Umeme imerudi, Umeme imekatika, Umeme bado Kwanini hairudi? Umeme imerudi na imekatika, Umeme itarudi saa ngap?
 
AN ENGLISH MAN CAME TO TZ TRIED TO LEARN KISWAHILI....... WHEN HE WAS ABOUT TO LEAVE BACK TO HIS HOME LAND, HE WAS ASKED HOW MUCH HE HAD LEARNT. All he knew was.......Hakuna umeme , Umeme imerudi, Umeme imekatika, Umeme bado Kwanini hairudi? Umeme imerudi na imekatika, Umeme itarudi saa ngap?
 
Sijakuelewa hapo kidogo ndugu mdau, ni North Mara au?
 
Kwa jinsi ninavyoona wananchi wa mkoa wa Tabora walivyokuwa wanampenda R. A, CCM na CHADEMA hawana nafasi tena Igunga kwa sababu zifuatazo;
CCM kumtosa mtu muhimu kwao tayari wananchi hawana imani tena na CCM
CHADEMA wao ni chanzo cha kujiuzulu kwa R. A, kwa kusema ukweli juu ya tuhuma za ufisadi, kwa hiyo kwa kutoa shutuma hizo wananchi wa Igunga hawatakuwa na hamu tena na CDM, labda vyama vingine vijipange.

Haya ndiyo maoni yangu.
 
Back
Top Bottom