Dr. Slaa: Wakorofi CHADEMA ni Wajinga

Dr. Slaa: Wakorofi CHADEMA ni Wajinga

Kweli mkuu huyu babu kakiua kabisa chama kinapumulia mashine kwa sasa..
 
waliteuliwa ama walichaguliwa ama walijiweka?
nenda kwenye katiba nzuri.
 
take 5. ni weak leader
Weak leader who fetched all those votes.
Weak leader who is making CCM to walk on their toes
Weak leader who you even planted eavesdrop gadgets under his bed?
The opposite is true.
 
Kenge maccm chama hakiendeshwi kwa matamko ya vibaraka vinjanjaa wa waua tembo na mafisadi wa ccm km yona na wenzie kwanza walishafukuzwa uanachama siku nyingi,si waende huko ccm kuliko na haki sisi wanachadema hatuwahitaji hawa.
 
huwezi kuku m2 mwenye elimu yake na asiye kura kwa kupitia ccm akashabikia ccm nyie wenyewe mnalijua hilo ila mmekaria porojo 2 nnajifanya hajui sababu ya wa2 wa mijini kuwakataa nyinyi mnatumia ujinga wa wa2 wa vijijini ku kuishi pumbafu
 
huwezi kukuta m2 mwenye elimu yake na asiye kura kwa kupitia ccm akashabikia ccm nyie wenyewe mnalijua hilo ila mmekaria porojo 2 nnajifanya hamjui sababu ya wa2 wa mijini kuwakataa nyinyi mnatumia ujinga wa wa2 wa vijijini ku kuishi pumbafu
 
Mnaojidanganya kupiga kelele ili Slaa akitoka muisambaratishe chadema hamtafanikiwa!
 
huwezi kukuta m2 mwenye elimu yake na asiye kura kwa kupitia ccm akashabikia ccm nyie wenyewe mnalijua hilo ila mmekaria porojo 2 nnajifanya hamjui sababu ya wa2 wa mijini kuwakataa nyinyi mnatumia ujinga wa wa2 wa vijijini ku kuishi pumbafu

dr. Slaa hana kadi ya CCM?
 
Kama kuna jambo ZITO CHADEMA wanaweza kufanya kufanya kwa sasa ni kumstaafisha DR. SLAA kwa utendaji mbovu ambao unakigharimu chama kutoka kwenye peak na kuwa chama cha kawaida kisicho na mkakati wa kuchukua nchi.

Kwa mfano CCM wakimtoa Makamba,Mukama,sasa yupo Kinana anahuisha CCM mikoani ambapo ilishajifia lakini ameleta changamoto mpya.

Slaa hana strategy mpya wala mbinu mbadala zaidi ya zile za kila siku kuwa CCM wezi mafisadi lakini hatuoni siasa mbadala.

Wabunge wanaparurana bungeni yeye yupo kimya. Wajumbe wa baraza kuu wanaomba mkutano mkuu yeye yupo kimya.

Sasa chama kimekuwa vipande vipande na nguvu ya umma imeisha sasa wanajificha nyuma ya UKAWA.

Slaa hembu pumzika chama kisije kikafa kwa ajili ya ubabe wako.

Jirani yako akiachana na mkewe wewe pia utamuiga na kumfukuza wa kwako? Tujitahidi kufikiria kwa kutumia akili zetu tuache ku-copy na ku-paste
 
Hivi kwa nini Dr Slaa anachukiwa sana na baadhi ya watu? kwa mujibu wa baadhi ya post zinazojirudia kila mara hapa JF.
 
mwisho wa ubaya wa chadema aib. mlizan mtamkomesha honourable, mr excellence ZITO KABWE
 
Kama kuna jambo ZITO CHADEMA wanaweza kufanya kufanya kwa sasa ni kumstaafisha DR. SLAA kwa utendaji mbovu ambao unakigharimu chama kutoka kwenye peak na kuwa chama cha kawaida kisicho na mkakati wa kuchukua nchi.

Kwa mfano CCM wakimtoa Makamba,Mukama,sasa yupo Kinana anahuisha CCM mikoani ambapo ilishajifia lakini ameleta changamoto mpya.

Slaa hana strategy mpya wala mbinu mbadala zaidi ya zile za kila siku kuwa CCM wezi mafisadi lakini hatuoni siasa mbadala.

Wabunge wanaparurana bungeni yeye yupo kimya. Wajumbe wa baraza kuu wanaomba mkutano mkuu yeye yupo kimya.

Sasa chama kimekuwa vipande vipande na nguvu ya umma imeisha sasa wanajificha nyuma ya UKAWA.

Slaa hembu pumzika chama kisije kikafa kwa ajili ya ubabe wako.
DR anawanyima usingizi kabisa eee!! na bado 2015 lazima muelewe!!
 
Ni kauli nzito iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr. W. Slaa baada ya kushutumiwa pamoja na Mwenyekiti wake juu ya uvujaji wa mamilioni ya chama hicho.

Ametoa kauli hiyo na kusema wasome katiba vizuri.

- Wenyewe wahoji matumizi ya Ruzuku, kususia Bunge la Katiba
- Wadai Mbowe amejilipa milioni 700/= za chama kinyemela
- Washinikiza kuitishwa Mkutano wa Baraza kuu kuwahoji

Source: Raia Tanzania

attachment.php

Mwambieni mwenyekiti wenu kikwete ndio ajiuzuru kuinusuru,maana Mkapa alisema kuwa ccm haitamfia mikononi mwake.
 
Kama kuna jambo ZITO CHADEMA wanaweza kufanya kufanya kwa sasa ni kumstaafisha DR. SLAA kwa utendaji mbovu ambao unakigharimu chama kutoka kwenye peak na kuwa chama cha kawaida kisicho na mkakati wa kuchukua nchi.

Kwa mfano CCM wakimtoa Makamba,Mukama,sasa yupo Kinana anahuisha CCM mikoani ambapo ilishajifia lakini ameleta changamoto mpya.

Slaa hana strategy mpya wala mbinu mbadala zaidi ya zile za kila siku kuwa CCM wezi mafisadi lakini hatuoni siasa mbadala.

Wabunge wanaparurana bungeni yeye yupo kimya. Wajumbe wa baraza kuu wanaomba mkutano mkuu yeye yupo kimya.

Sasa chama kimekuwa vipande vipande na nguvu ya umma imeisha sasa wanajificha nyuma ya UKAWA.

Slaa hembu pumzika chama kisije kikafa kwa ajili ya ubabe wako.

Utakuwa umetoroka Mirembe! Wakati CCM tunatumia rasilimali zetu zote na nguvu zetu zote kuhakikisha CHADEMA inakufa. Wewe unapendekeza kuinusuru tena CDM. Utakuwa umelewa mnazi. Dr. Slaa endelea kubaki hapo hapo kwenye nafasi yako ile CDM ife maana ndiyo faraja na furaha yetu CCM.
 
Back
Top Bottom