usije ukalinganisha sccos ya ccm ambayo ni ya baba mama na mwanaHii sacos sasa inaelekea kubaya sana shimo liko karibu watadumbukia shimoni mapema kabisa.
taratibu za chama hazipangwi na walipwa book 7 JF hamuwezi kuwapangia mamluki wakubwa uzuri mumeshajichora sura waziMbowe na Slaa waitishe kikao cha baraza kuu ili mbivu na mbichi zijulikane.Kama wao ni wasafi itajulikana tu haina haja ya wao kuwakashifu wenzao,Wajibu tuhuma zinazowakabili maana hiyo ndiyo demokrasia wanayosema wanaipigania nchi hii.
taratibu za chama hazipangwi na walipwa book 7 JF hamuwezi kuwapangia mamluki wakubwa uzuri mumeshajichora sura wazi
Always the same stupid boring song, sang by the same imbecile hoodlum!Kama kuna jambo ZITO CHADEMA wanaweza kufanya kufanya kwa sasa ni kumstaafisha DR. SLAA kwa utendaji mbovu ambao unakigharimu chama kutoka kwenye peak na kuwa chama cha kawaida kisicho na mkakati wa kuchukua nchi.
Kwa mfano CCM wakimtoa Makamba,Mukama,sasa yupo Kinana anahuisha CCM mikoani ambapo ilishajifia lakini ameleta changamoto mpya.
Slaa hana strategy mpya wala mbinu mbadala zaidi ya zile za kila siku kuwa CCM wezi mafisadi lakini hatuoni siasa mbadala.
Wabunge wanaparurana bungeni yeye yupo kimya. Wajumbe wa baraza kuu wanaomba mkutano mkuu yeye yupo kimya.
Sasa chama kimekuwa vipande vipande na nguvu ya umma imeisha sasa wanajificha nyuma ya UKAWA.
Slaa hembu pumzika chama kisije kikafa kwa ajili ya ubabe wako.
Kwanini usipigwe ban wewe kwanza kwa kuleta upuuzi hapa jukwaani?mods: ban kwa hii mtu. au mmelala?
Chadema sio lazima iongozwe na watu wa kaskazini tu. Ni muda sasa na wengine wapewe nafasi.
Uongozi wa Mbowe na Slaa ndo umewezesha hata wabunge waongezeke.Kama kuna jambo ZITO CHADEMA wanaweza kufanya kufanya kwa sasa ni kumstaafisha DR. SLAA kwa utendaji mbovu ambao unakigharimu chama kutoka kwenye peak na kuwa chama cha kawaida kisicho na mkakati wa kuchukua nchi.
Kwa mfano CCM wakimtoa Makamba,Mukama,sasa yupo Kinana anahuisha CCM mikoani ambapo ilishajifia lakini ameleta changamoto mpya.
Slaa hana strategy mpya wala mbinu mbadala zaidi ya zile za kila siku kuwa CCM wezi mafisadi lakini hatuoni siasa mbadala.
Wabunge wanaparurana bungeni yeye yupo kimya. Wajumbe wa baraza kuu wanaomba mkutano mkuu yeye yupo kimya.
Sasa chama kimekuwa vipande vipande na nguvu ya umma imeisha sasa wanajificha nyuma ya UKAWA.
Slaa hembu pumzika chama kisije kikafa kwa ajili ya ubabe wako.
Wa kujiuzuru ni KInana ambaye na mwenyekiti wake wamekimega chama mapande kiasi cha kwamba kila mtu anaropoka atakavyo na kichwa cha mwenyekiti wa CCM kuwa hamnazo
Uongozi wa Mbowe na Slaa ndo umewezesha hata wabunge waongezeke.
Ushiriki wa Slaa katika kinyang'anyiro cha Uraisi ulisaidia kukijenga chama hasa vijijini.
Slaa hakuibukia katika ukatibu mkuu kwani hata kabla ya hapo mchamgo wake bungeni ulikuwa wa hali ya juu.
Mtu yoyote anayeiona Slaa kaua chama hana kumbukumbu.
Nimeandika mara nyingi lakini angalia state interference katika mambo ya CDN na mtagundua kuwa si Slaa wala Mbowe ila serikali iko nyuma ya kuhakikisha CDM inakufa.
Narudia kuandika tena wanaofurahia kuona CDM ikifa na wale wote ambao ni myopic!!!!
Unapokuwa na chama cha upinzani ambacho mnapingana kwa hoja ni bora mara elfu kuwa na upinzani ambao hamzungumzi ila ni mitutu (south Sudan).
Multi partism ni muhimu kwa ustawi wa Taifa letu na ni lazima hata walioko CCM walifurahie jambo hili.
Umeingizwa udini,umeingizwa useja na uoaji,umeingizwa ugaidi lakini bado CDM inadunda.[/QUO
mbn povu linakutoka
Hao watoa matamko nani asiyewajua? Wote hao wamekalia kuti kavu! Waacheni watumike lakini cdm ipo palepale na hatuwezi kuhangaika na hao wachumia tumbo! Tutaondoa kila msaliti cdm ibaki safi.