Dr. Slaa: Wakorofi CHADEMA ni Wajinga

Dr. Slaa: Wakorofi CHADEMA ni Wajinga

Hilo ni la ccm kwa nn usimshauri kinana aache kuua tembo?au ccm waache kutuibia kulitia tanesco?we unawaza kwa kutumia kinyeo nn!
 
Khaa!! Kama mtu aliweza kulisaliti kanisa kisha akamsaliti mkewe unategemea atamuheshimu mwananchi myonge??
 
wakuu, ujinga siyo tusi, mjinga ni mtu ambaye hajui kitu flani na anajua kama hajui lakin akielekezwa atajua, sasa sidhani kama watu wote wanajua kila kitu.. kwa vile hakuna m2 anaejua kila kitu basi sisi wote ni wajinga na wapumbavu
Aisee embu ngoja nitafakari kwanza.......au hata anaetafakari kwanza nae ana shida?
 
hivi kwa nini dr.Slaa analipwa mshahara mkubwa kupita waziri? roho inaniuma sana jinsi ruzuku ya chama inavyofujwa
 
Khaa!! Kama mtu aliweza kulisaliti kanisa kisha akamsaliti mkewe unategemea atamuheshimu mwananchi myonge??

Ukimya unaficha mengi najua umetumia muda mwingi sana wa kupost hii kitu.
Bora ungefunja ukinya na wala sioni sbb ya wewe kumchukia Dr slaa.
 
kwa nini wakurugenzi wa CHADEMA makao makuu wanalipwa hela nyingi sana wakati viongozi wa mikoani na wilayani hawapati kitu? Roho inaniuma sana jinsi ruzuku ya chama inavyofujwa
 
wakuu, ujinga siyo tusi, mjinga ni mtu ambaye hajui kitu flani na anajua kama hajui lakin akielekezwa atajua, sasa sidhani kama watu wote wanajua kila kitu.. kwa vile hakuna m2 anaejua kila kitu basi sisi wote ni wajinga na wapumbavu
Ni kweli ujinga sio tusi...lakini wajinga ni viongozi wa cdm wanaokivunja chama kwa sera zao za utengano. sijui majimbo, serikali 3, ..wameacha kutetea utawala bora wanahaha kulinda vyeo vyao na kuleta katiba ya vyeo lukuki.
 
Ni zaidi ya wajinga... matamko ya kipuuzipuuzi kila siku tumechoka nayo. tz chama cha upinzani ni chadema tuu.
 
Mbinu iliyobakia sasa ni kulipa watu kutoa matamko, kila kukicha ni matamko. Na hii mbinu nyingine ya kutumia mahakama, bundi bado hajakubali imeshindikana. Najua kikundi cha wasaliti kimeishiwa mbinu sasa kinanunua wajumbe na kuwatumia watawala kuishinikiza mahakama. Huwezi kuzuia mabadiliko kwa hulka zako za kupenda uongozi.

CCM lazima wajue wale watoto elfu 11 na wengine wengi wanaotafuta ajira bila mafanikio ndio watawatoa madarakani. Wazee waliostaafu bila malipo ndio watawatoa madarakani, matumizi mabaya ya ofisi za umma na uhujumu uchumi ndio utawatoa madarakani, Wizi, upendeleo, rushwa na maisha duni ndio adui yao namba moja.

Kuindamana CDM kwa kutumia mamluki na wenye tamaa haitasaidia, watanzania wamechoka na ahadi hewa.

Tumechoka na wachache kuhodhi nchi na uchumi wa nchi.

Hizi Rushwa za kisiasa mnazotumia kuteka watu, ni sababu tu ya ukosefu wa ajira na wachache kuchumia matumbo. Watanzania wanataka mabadiliko na hakuna anayeweza kuyazuia, hata mkiindamana vipi CDM mabadiliko ni lazima.

Binadamu akichoka kitu huwezi tena kumlazimisha. Ni wajibiu wa CCM na mamluki wake wote inaowatumia kujikita zaidi kurusdisha imani kwa wananchi kwa kugawa keki ya Taifa sawa na kutimiza wajibu badala ya kutumia hongo, hila, matamko ya kulipia, kesi za kutengeneza, na kulinda wasaliti mahakamani.

Wasaliti:
Dhambi ya kuwakaanga watanzania kwa tamaa zenu za fedha na madaraka zitawatokea puani, mtahangaika sana. Rudini kwa wananchi kwa ukweli acheni kutunga maneno kwa fedha za CCM. Adui wa Mtanzania ni umasikini na maisha duni, afya mbovu na elimu mfu, wizi wa mali za umma na wachache kuhodhi nchi. Mkishindwa kusoma ishara za nyakati nyakati zitawasoma ninyi.


 
Wale wahuni waliokutana jana waliandaliwa Tamko pale Lumumba wakapewa wasome tu kwa njaa yao.
 
Sioni kitu cha ajabu. Hivi hao akina slaa na mwenzie wanapoenda kutanua huko majuu mlijua wanatumia hela gani?

Wakati majumba yanajengwa ulaya mlikuwa wapi.

Na bado hadi mtamkumbuka yule mliyemwita ni msaliti kisa kahoji matumizi.
 
Ni kauli nzito iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr. W. Slaa baada ya kushutumiwa pamoja na Mwenyekiti wake juu ya uvujaji wa mamilioni ya chama hicho.

Ametoa kauli hiyo na kusema wasome katiba vizuri.

- Wenyewe wahoji matumizi ya Ruzuku, kususia Bunge la Katiba
- Wadai Mbowe amejilipa milioni 700/= za chama kinyemela
- Washinikiza kuitishwa Mkutano wa Baraza kuu kuwahoji

Source: Raia Tanzania

attachment.php

Ha ha ha
Dr Slaa hajui kuwa wajinga wakubwa zaidi ni wale waliomuweka hapo alipo!
 
Back
Top Bottom