Dr. Slaa: Wakorofi CHADEMA ni Wajinga

Dr. Slaa: Wakorofi CHADEMA ni Wajinga

Kumbe unasumbuliwa na wivu!!
Na mimi ningekuwa na wivu kama ofisi ya CHADEMA mkoani haijalipiwa kodi,hakuna mishahara,nalazimishwa kuandamana, nkula virungu vya policcm, nawekwa selo, halafu wajanja makao makuu wanakula kuku kwa mrija huku wakigawana milioni 700 za ruzuku.

Ukitaka nihame CCM , naomba nimegee inglau 1% ya hilo bulungutu kwa mwezi, pesa sabuni ya loho.
 
Nenda ACT ukihisi unatekenywa
Na mimi ningekuwa na wivu kama ofisi ya CHADEMA mkoani haijalipiwa kodi,hakuna mishahara,nalazimishwa kuandamana, nkula virungu vya policcm, nawekwa selo, halafu wajanja makao makuu wanakula kuku kwa mrija huku wakigawana milioni 700 za ruzuku.

Ukitaka nihame CCM , naomba nimegee inglau 1% ya hilo bulungutu kwa mwezi, pesa sabuni ya loho.
 
Ni zaidi ya wajinga... matamko ya kipuuzipuuzi kila siku tumechoka nayo. tz chama cha upinzani ni chadema tuu.

ni chama cha upunguani, cyo upinzani. Jana mapunguani wa bajeti walikuwa 66, wakati waliopitisha bajet walikuwa 234. Can u imagine?
 
Mbinu iliyobakia sasa ni kulipa watu kutoa matamko, kila kukicha ni matamko. Na hii mbinu nyingine ya kutumia mahakama, bundi bado hajakubali imeshindikana. Najua kikundi cha wasaliti kimeishiwa mbinu sasa kinanunua wajumbe na kuwatumia watawala kuishinikiza mahakama. Huwezi kuzuia mabadiliko kwa hulka zako za kupenda uongozi.

CCM lazima wajue wale watoto elfu 11 na wengine wengi wanaotafuta ajira bila mafanikio ndio watawatoa madarakani. Wazee waliostaafu bila malipo ndio watawatoa madarakani, matumizi mabaya ya ofisi za umma na uhujumu uchumi ndio utawatoa madarakani, Wizi, upendeleo, rushwa na maisha duni ndio adui yao namba moja.

Kuindamana CDM kwa kutumia mamluki na wenye tamaa haitasaidia, watanzania wamechoka na ahadi hewa.

Tumechoka na wachache kuhodhi nchi na uchumi wa nchi.

Hizi Rushwa za kisiasa mnazotumia kuteka watu, ni sababu tu ya ukosefu wa ajira na wachache kuchumia matumbo. Watanzania wanataka mabadiliko na hakuna anayeweza kuyazuia, hata mkiindamana vipi CDM mabadiliko ni lazima.

Binadamu akichoka kitu huwezi tena kumlazimisha. Ni wajibiu wa CCM na mamluki wake wote inaowatumia kujikita zaidi kurusdisha imani kwa wananchi kwa kugawa keki ya Taifa sawa na kutimiza wajibu badala ya kutumia hongo, hila, matamko ya kulipia, kesi za kutengeneza, na kulinda wasaliti mahakamani.

Wasaliti:
Dhambi ya kuwakaanga watanzania kwa tamaa zenu za fedha na madaraka zitawatokea puani, mtahangaika sana. Rudini kwa wananchi kwa ukweli acheni kutunga maneno kwa fedha za CCM. Adui wa Mtanzania ni umasikini na maisha duni, afya mbovu na elimu mfu, wizi wa mali za umma na wachache kuhodhi nchi. Mkishindwa kusoma ishara za nyakati nyakati zitawasoma ninyi.



Chama cha Upunguani<upinzani tanzania a.k.a chadema! Kweli ni mapunguani! 66-234= ?
 
Ha ha ha
Dr Slaa hajui kuwa wajinga wakubwa zaidi ni wale waliomuweka hapo alipo!

hajakosea kuacha upadre, yupo kibiashara zaidi. Atastaafu aendelee kulipia ile kadi ya tawala, na kula maisha pole pole. Alijulia wapi fedha zinafichwa Uswisi kama na yy hajaficha za cdm huko? Wamekutana huko wanafungua akaunti, halafu akaja kuwalipua ili amake money! Chezea siasa!
 
Kama viongozi wake mikoani ni wajinga bila shaka naye ni mjinga, na chama chake ni chama cha wajinga!
 
Kumbe na wewe mjinga pia, hongera zenu nyie wajinga na upumbavu wenu.
wakuu, ujinga siyo tusi, mjinga ni mtu ambaye hajui kitu flani na anajua kama hajui lakin akielekezwa atajua, sasa sidhani kama watu wote wanajua kila kitu.. kwa vile hakuna m2 anaejua kila kitu basi sisi wote ni wajinga na wapumbavu
 
Na mimi ningekuwa na wivu kama ofisi ya CHADEMA mkoani haijalipiwa kodi,hakuna mishahara,nalazimishwa kuandamana, nkula virungu vya policcm, nawekwa selo, halafu wajanja makao makuu wanakula kuku kwa mrija huku wakigawana milioni 700 za ruzuku.

Ukitaka nihame CCM , naomba nimegee inglau 1% ya hilo bulungutu kwa mwezi, pesa sabuni ya loho.
Unawezaje kujiunga na chama bila kujua malengo na muundo wake? Unadhani chama ni club ya mpira? Kuhusu kuhama CCM au kubaki ni juu yako tu mkuu, kwani ni mwendo wa soko huria. Kama una "price tag"angalia unaweza ukanunuliwa "whole sale"
 
ni chama cha upunguani, cyo upinzani. Jana mapunguani wa bajeti walikuwa 66, wakati waliopitisha bajet walikuwa 234. Can u imagine?
Pole sana shabiki usiyejua madhara ya kupitisha bajeti ya kipuuzi kiasi kile! Hata hao 234 waliopitisha bajeti hiyo wanajua madhara yake, lakini kwakuwa ni wachumia tumbo walikubali kwa kuhofu bunge kuvujwa na wao kukosa kibarua. Wewe ni mwehu kwa sababu hujui nini unashabikia!
 
Unawezaje kujiunga na chama bila kujua malengo na muundo wake? Unadhani chama ni club ya mpira? Kuhusu kuhama CCM au kubaki ni juu yako tu mkuu, kwani ni mwendo wa soko huria. Kama una "price tag"angalia unaweza ukanunuliwa "whole sale"
Every body has a price!
Mimi nimesema ukinimegea angalau 1% ya hizo milioni 700 wallahi nahamia makao makuu CHADEMA.
Niambie chama chochote kile nani mwadilifu?
Tulisikia list of shame , sasa shame yenyewe imehamia huko huko!
 
Kwa hiyo wanachamA wa chadema ni wajinga ee, slaa kweli amewafiksha wana kondoo wake sehemu mbaya
 
Yaani slaa anawaita wanachama wake na viongozi wenzake wajinga???? Sasa yeye anayeongoza wajinga ataitwaje??
 
Huyu mzee amefikia ukomo wa kufikiri, huwezi kuwatukana watu wanaotoa mawazo kinzani kiuongozi,unapaswa uwafafanulie na kuwapa majibu ya wanayouliza
 
Pole sana shabiki usiyejua madhara ya kupitisha bajeti ya kipuuzi kiasi kile! Hata hao 234 waliopitisha bajeti hiyo wanajua madhara yake, lakini kwakuwa ni wachumia tumbo walikubali kwa kuhofu bunge kuvujwa na wao kukosa kibarua. Wewe ni mwehu kwa sababu hujui nini unashabikia!

wapo wapinzani waliopitisha na pia wpo wapinzan waliokwepa mkumbo mkumbo wa kukataa na kubaki nje ya bunge ile kuepuka mashinikizo ya vyama vyao. Pole wewe punguani!
 
wapo wapinzani waliopitisha na pia wpo wapinzan waliokwepa mkumbo mkumbo wa kukataa na kubaki nje ya bunge ile kuepuka mashinikizo ya vyama vyao. Pole wewe punguani!
Tatizo kubwa ulilonalo ni kwamba zaidi ya kujua kusoma na kuandika huna la zaidi!
 
Ukimya unaficha mengi najua umetumia muda mwingi sana wa kupost hii kitu.
Bora ungefunja ukinya na wala sioni sbb ya wewe kumchukia Dr slaa.
Khaa!! mie simchukii Dr Slaa namuona kama binadamu mwingine ana haki zake. Ila ninachohoji ni uadilifu wake. Ni ajabu sana na ni ujin ga kumpa mkate mtoto wa jirani yako ambaye hujui hata kama anauhitaji na ukiacha mwanao akifa kwa njaa. Wenzetu husema charity starts at home na hili ndilo dr slaa amefail :cool2:
 
Tatizo kubwa ulilonalo ni kwamba zaidi ya kujua kusoma na kuandika huna la zaidi!

bora tatizo langu kuliko wewe uliyeitwa MJINGA na chama chako, mimi chama changu hakijanichoka kiasi hicho. Poleni Wajinga squared!
 
Back
Top Bottom