Kwa nini unaandika vitu nusunusu? Funguka kaka..
Cdm ni janga mtu akitafuta haki zake anambiwa katumwa
Ukibanwa na uongozi na unaona hawasikii pakupazia sauti lako ww mnyonge ni media tu
Kama mnaona walewauni si wanachama wenu kanusheni muwakatae hapa
Bado mnajipambanuwa nyie ndio wana democrasi ilhali ndani ya vyama vyenu hakuna democrasia
Sasa hapo mjinga ni nani baina ya wanaotumia haki yao ya kikatiba kuhoji ama yule anayeshindwa kujibu hoja?
Cdm ni janga mtu akitafuta haki zake anambiwa katumwa
Ukibanwa na uongozi na unaona hawasikii pakupazia sauti lako ww mnyonge ni media tu
Kama mnaona walewauni si wanachama wenu kanusheni muwakatae hapa
Bado mnajipambanuwa nyie ndio wana democrasi ilhali ndani ya vyama vyenu hakuna democrasia
Ni kauli nzito iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr. W. Slaa baada ya kushutumiwa pamoja na Mwenyekiti wake juu ya uvujaji wa mamilioni ya chama hicho.
Ametoa kauli hiyo na kusema wasome katiba vizuri.
- Wenyewe wahoji matumizi ya Ruzuku, kususia Bunge la Katiba
- Wadai Mbowe amejilipa milioni 700/= za chama kinyemela
- Washinikiza kuitishwa Mkutano wa Baraza kuu kuwahoji
Source: Raia Tanzania
![]()
nyinyi ni buku 7 ni wajinga na mapunguani, mbona hatuwasikii mkimwambia mwenyekiti wenu ajiuzulu kwa yanayoibiwa kila siku shenzy type
Dah! watakutukana sasa hivi, wanavyompenda huyo babu hata uwaambie nini hawakuelewi, wanadhani bado ni Padri kumbe Dk Slaa ni mchumia tumbo tu sawa na waganga njaa wengine.
Kama kuna jambo ZITO CHADEMA wanaweza kufanya kufanya kwa sasa ni kumstaafisha DR. SLAA kwa utendaji mbovu ambao unakigharimu chama kutoka kwenye peak na kuwa chama cha kawaida kisicho na mkakati wa kuchukua nchi.
Kwa mfano CCM wakimtoa Makamba,Mukama,sasa yupo Kinana anahuisha CCM mikoani ambapo ilishajifia lakini ameleta changamoto mpya.
Slaa hana strategy mpya wala mbinu mbadala zaidi ya zile za kila siku kuwa CCM wezi mafisadi lakini hatuoni siasa mbadala.
Wabunge wanaparurana bungeni yeye yupo kimya. Wajumbe wa baraza kuu wanaomba mkutano mkuu yeye yupo kimya.
Sasa chama kimekuwa vipande vipande na nguvu ya umma imeisha sasa wanajificha nyuma ya UKAWA.
Slaa hembu pumzika chama kisije kikafa kwa ajili ya ubabe wako.
Kama kuna jambo ZITO CHADEMA wanaweza kufanya kufanya kwa sasa ni kumstaafisha DR. SLAA kwa utendaji mbovu ambao unakigharimu chama kutoka kwenye peak na kuwa chama cha kawaida kisicho na mkakati wa kuchukua nchi.
Kwa mfano CCM wakimtoa Makamba,Mukama,sasa yupo Kinana anahuisha CCM mikoani ambapo ilishajifia lakini ameleta changamoto mpya.
Slaa hana strategy mpya wala mbinu mbadala zaidi ya zile za kila siku kuwa CCM wezi mafisadi lakini hatuoni siasa mbadala.
Wabunge wanaparurana bungeni yeye yupo kimya. Wajumbe wa baraza kuu wanaomba mkutano mkuu yeye yupo kimya.
Sasa chama kimekuwa vipande vipande na nguvu ya umma imeisha sasa wanajificha nyuma ya UKAWA.
Slaa hembu pumzika chama kisije kikafa kwa ajili ya ubabe wako.