Jifariji hahah mnapigwa za uso tu nyambafmultiple ids at work!!!
dumb ass usalama wa wake za watu? au na sio rasilimali zinazoibiwa na kina lowasa.usalama wa wake za watu kwanza tafadhari.
Kwa hiyo umeshaamini sasa kwamba watu wanampigia Slaa kura halafu Magamba yanachakachua.
Mkuu, HAMY D, hongera sana kwa uchambuzi wako. Naona misukule imeanza kukushambulia kwa vile umenena ya kweli
Mkuu, HAMY D, hongera sana kwa uchambuzi wako. Naona misukule imeanza kukushambulia kwa vile umenena ya kweli
Ndugu zangu, EL ndani ya CCM hakuna wa kumweza. Mhe. JK analijua na kila mmoja ndani na nje ya CCM analijua hilo. Ebu kwa muda wako, jaribu kufanya utafiti hata kwa watu, sijajua huyu Bwana anatumia mbinu zipi🙂. Polepole, jamaa pamoja na kelele za akina Kaka Nape, anazidi kupanda chati...Come 2015, EL hata kamatika na kwa vyovyote ataukwaa URAIS. If you can not defeat them, simply join them!
Na chadema mtujibu utajiri mbowe kaupata wapi?
toka lini tajiri akawa mtetezi wa wanyonge?
lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hata kama angekuwa anakunywa hiyo gongo, je mnywa gongo na mwizi anayewafanya mnalipia gharama kubwa za umeme nani zaidi??????????