Dr. Slaa: Sukari yaweza kuangusha Serikali

Dr. Slaa: Sukari yaweza kuangusha Serikali

Natumaini hatutarudi kwenye enzi za uhujumu uchumi na ule upuuzi wa ugawaji.

Naona wanasema ni bora turudi kwenye uhujumu uchumi kuliko kuruhusu sukari ya nje! sina hakika kama haya ni matakwa ya watanzania au ya wafanya biashara. Nauliza hili swali kila siku sijawahi kupata jibu la uhakika.
 
Kwa nini tunang'ang'ania lazima sisi ndio tuzalishe sukari? Kama tunatumia toothpick toka nje kwa nini tunaona nongwa kutumia sukari toka nje??? hapa ndipo siwaelewi kabisa nyie wabongo. Yaani tunalazimisha wananchi wanunue sukari kwa shs 4,000 kwa kilo kwa sababu tu hatutaki sukari ya nje?? kwa nini?? mbona nguo zote tunatoa china na hamsemi ziongongezwe kodi/ushuru ili tukishindwa kununua kutembee uchi??

treborx kuna sababu kubwa mbili au tatu kwanini lazima tuwe na viwanda vyetu vya sukari:
1.Employment,vijana wengi hawana kazi na uwezo wa kuajiriwa kwenye viwanda vya sukari ni kubwa.

2.Wakulima wa Miwa ya sukari,ndilo eneo linaajiri watanzania wengi sana kwenye sekta ya viwanda,hapa tutakuw atumetengeneza soko la mkulima mdogo/wa hali ya chini.

3.Uhakika wa kusafirisha sukari kama serikali itawekeza highly kwenye hili ili tuwe na Viwanda vya kisasa na bora ambavyo tutazalisha sukari kwa wingi.

Sioni sababu ya kukataa kuagiza sukari toka nje ila tunahitaji sukari ya nje iweze kushindana vyema na viwanda vyetu.

Hayo ndiyo mawazo yangu
 
treborx kuna sababu kubwa mbili au tatu kwanini lazima tuwe na viwanda vyetu vya sukari:
1.Employment,vijana wengi hawana kazi na uwezo wa kuajiriwa kwenye viwanda vya sukari ni kubwa.

2.Wakulima wa Miwa ya sukari,ndilo eneo linaajiri watanzania wengi sana kwenye sekta ya viwanda,hapa tutakuw atumetengeneza soko la mkulima mdogo/wa hali ya chini.

3.Uhakika wa kusafirisha sukari kama serikali itawekeza highly kwenye hili ili tuwe na Viwanda vya kisasa na bora ambavyo tutazalisha sukari kwa wingi.

Sioni sababu ya kukataa kuagiza sukari toka nje ila tunahitaji sukari ya nje iweze kushindana vyema na viwanda vyetu.

Hayo ndiyo mawazo yangu

Mkuu, Mimi nakubaliana na wewe 100% kwa sababu ulizozitoa hapo juu. Lakini nashindwa kukubali moja kwa moja kwamba ili ufanikishe hayo, ni lazima kwanza wananchi wa kawaida "waipate joto ya jiwe". Siamini kama hiyo ni njia sahihi. Je wazalishaji wa ndani wanatosheleza soko? kama jibu ni ndiyo, mbona kila sukari ya nje inapozuiliwa bei inapanda na sukari kuadimika? Je tujali ajira kwa vijana bila kuangalia madhara yanayotokana na marufuku ya kuingiza sukari kwa wananchi wa kawaida? Kuna watu wanaamini ili uondoe tatizo, ni lazima usababishe maumivu zaidi, siamini hivyo. I could be wrong.
 
Hakuna biashara halali Yenye faida kubwa kama sukari ndio maana inaendeshwa kimafia mafia duniani kote hakuna mfuko utaanguka kwa kuendesha biashara hii isipokuwa mpango huu utapigwa vipi sana na wanaojipatia faida na biashara hii hiyo ni golden chance wamepewa
Kila biashara ina miiko yake. Hii biashara siyo core business ya mifuko. Wakijiingiza watashindwa. Kama ingekuwa rahisi kama usemavyomserikali ilishindwaje huko nyuma mpaka wakabinafisisha viwanda?
 
Alinipa mamako huo uraia wa Marekani?
Duh Miafrika huwa inapaniki sana... haswa kina Ngosha... so uraia huna ila unajivunia Utoto wa kimarekani? hivi nikikuwekea dik kwenye mouth yako utaongeaje sema nikusikie...
 
Dr.Mihogoo sukari inaangusha serikali kwa nchi yenye watu wanaojitambua sio Danganyika iliyojaa wapumbavu!! wenye IQ ndogo! waoga na wasio na furaha!
 
Hii pia ni somo kwa magufuli kufanya utawala wa pamoja na mawaziri na viongozi wenzake,ni somo pia kwamba masuala ya kitaalam hayatolewi maamuzi kwa kukurupuka,waite wahusika wa sekta husika wakupe details then unafanya uamuzi mzuri ambao unakuongezea sifa kedekede,pia inaonyesha umuhimu wa instrument kama alivyosema tundu lissu pamoja na utawala wa sheria,pia hii imemshusha magufuli level sawa na wanasiasa wengine kwa kuwa sasa wananchi wanapata alama za kujiuliza kuhusu maamuzi yake
Kama alivyosema Tundu Lisu!!!!!!
 
Back
Top Bottom