Dr. Slaa: Sukari yaweza kuangusha Serikali

Dr. Slaa: Sukari yaweza kuangusha Serikali

Kwa sababu lengo la waficha sukari ni kuhakikisha waislam wanakosa bidhaa hiyo kipindi cha mfungo, na wanavyojua chadema kuchoganisha watu watasema eti ni mfumo kristo ndiyo umezuia sukari na waislam waandamane. Ila yote na yote Dr Magufuli hatetereki na ataendelea kusimamia msimamo huo huo, serikali lazima isimamie maslahi ya wanyonge.
 
Kwa ufupi wanaotumia sukari kama silaha ya kivita kutesa wanyonge ,kilio cha wanyonge pekee kinatosha kuwamaliza wao na vizazi vyao.Vilio vya wanyonge mbele ya mwenyezi Mungu ni vingi kuliko hao mafisadi wachache na wapambe wao ambao wanaotumia unyonge wa wanyonge kuwaumiza.

Mungu awalaani wote wanaotumia silaha ya sukari wao na wapambe wao wawe wa kisiasa au vyovyote. Waugue magonjwa yasiyopona,na waugue migonjwa ambayo sukari hata hawataweza kuitumia,waugue migonjwa ambayo hayataki kitu chochote kitamu.Waishi maisha ya mahangaiko ya maradhi yasiyotibika.

Hata wapate mipesa mingi wasiifaidi wawe ni watu tu wa kuhangaika wakiugulia na kuzurura kutafuta tiba ambazo hazipo.

Hata vifo vyao na viwe vya mateso makubwa
Iyo laana Imkute na mwizi aliyeuza Nyumba zetu na aliyesimamia barabara zetu ambazo zimejengwa chini ya kiwango
 
Mwanasiasa 'huru' nchini, Dr. Wilbrod Slaa amesema kuwa sukari ikikosekana kwa wiki moja,Serikali yaweza kuangushwa. Katibu Mkuu huyo wa zamani wa CHADEMA aishiye nchini Canada kwasasa amesema sukari ni bidhaa muhimu.

Dr. Slaa alikuwa akizungumzia sakata la sukari linaloendelea nchini. Alizungumza kwa njia ya simu na gazeti la Mtanzania. Pasco upo?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ruvuma)
Mzee Tupatupa kama unaweza hebu tupia hiyo habari hapa ikiwa imekamilika ili tuweze kuijadili kwa mapana. kauli hii ni nyeti na si jambo jema kuijadili kwa kutazama udhaifu wa Dk Slaa kama binadamu.
 
Kwa ufupi wanaotumia sukari kama silaha ya kivita kutesa wanyonge ,kilio cha wanyonge pekee kinatosha kuwamaliza wao na vizazi vyao.Vilio vya wanyonge mbele ya mwenyezi Mungu ni vingi kuliko hao mafisadi wachache na wapambe wao ambao wanaotumia unyonge wa wanyonge kuwaumiza.

Mungu awalaani wote wanaotumia silaha ya sukari wao na wapambe wao wawe wa kisiasa au vyovyote. Waugue magonjwa yasiyopona,na waugue migonjwa ambayo sukari hata hawataweza kuitumia,waugue migonjwa ambayo hayataki kitu chochote kitamu.Waishi maisha ya mahangaiko ya maradhi yasiyotibika.

Hata wapate mipesa mingi wasiifaidi wawe ni watu tu wa kuhangaika wakiugulia na kuzurura kutafuta tiba ambazo hazipo.

Hata vifo vyao na viwe vya mateso makubwa
maccm Siku hizi MNA huruma na wanyonge??
 
Mwanasiasa 'huru' nchini, Dr. Wilbrod Slaa amesema kuwa sukari ikikosekana kwa wiki moja,Serikali yaweza kuangushwa. Katibu Mkuu huyo wa zamani wa CHADEMA aishiye nchini Canada kwasasa amesema sukari ni bidhaa muhimu.

Dr. Slaa alikuwa akizungumzia sakata la sukari linaloendelea nchini. Alizungumza kwa njia ya simu na gazeti la Mtanzania. Pasco upo?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ruvuma)
Tunaweza kabisa kukaa hata miezi bila sukari, mbona wapo wasio tumia sukari kabisa hawaishi? AMEBUGI MEN!!
 
Kwa ufupi wanaotumia sukari kama silaha ya kivita kutesa wanyonge ,kilio cha wanyonge pekee kinatosha kuwamaliza wao na vizazi vyao.Vilio vya wanyonge mbele ya mwenyezi Mungu ni vingi kuliko hao mafisadi wachache na wapambe wao ambao wanaotumia unyonge wa wanyonge kuwaumiza.

Mungu awalaani wote wanaotumia silaha ya sukari wao na wapambe wao wawe wa kisiasa au vyovyote. Waugue magonjwa yasiyopona,na waugue migonjwa ambayo sukari hata hawataweza kuitumia,waugue migonjwa ambayo hayataki kitu chochote kitamu.Waishi maisha ya mahangaiko ya maradhi yasiyotibika.

Hata wapate mipesa mingi wasiifaidi wawe ni watu tu wa kuhangaika wakiugulia na kuzurura kutafuta tiba ambazo hazipo.

Hata vifo vyao na viwe vya mateso makubwa
Dua la kuku
 
Serikali ya magufuli haiwezi kushindwa jambo lazima itashinda jaribu hili.
Ina mbinu nyingi kweli! Kama hii mupya ya mifuko ya jamii kuanzisha viwanda vya sukari! Maajabu hayaishi, yaani badala ya NSSF kufahamika kama National Social Security Fund sasa iwe National social security fund and Sugar producer.
Nadhani nchi hii hata hewa imejaa kilevi kwamba hata wasio walevi wanapovuta hewa wanalewa. Wote tuko ulevini
 
Anataka kusema inaweza kuwa kama ile story ya muwa uliozamisha meli!?
 
Nimesikia kwenye magazeti anaagiza mifuko ya jamii ijiingize kwenye biashara ya sukari! Tafadhali mshaurini asiwatie katika matata wastaafu. Mifuko isijiingize katika biashara kichaa
Hakuna biashara halali Yenye faida kubwa kama sukari ndio maana inaendeshwa kimafia mafia duniani kote hakuna mfuko utaanguka kwa kuendesha biashara hii isipokuwa mpango huu utapigwa vipi sana na wanaojipatia faida na biashara hii hiyo ni golden chance wamepewa
 
Issue ya sukari ni rahisi sana kudeal nayo tena bila kutumia misuli mingiiiiiiiiiiiiiiiii.

1.Watoe RUZUKU kwa wakulima wa miwa.
2.Wapunguze KODI kwenye viwanda vyetu
3.Waongeze KODI kwenye SUKARI itakayoagizwa toka nje.
4.Kuongeza uzalishaji kama vile kununua mitambo mipya ya kisasa
Ukipunguza KODI ya sukari ya ndani na kuongeza kodi kwenye sukari ya nje huna haja ya kumfuatilia mfanyabiashara.SUkari yake itakuwa juu na haitanunuliwa kihivyo na automaticaly kupunguza uagizaji wa sukari[/QUOTE

NATAMANI RAIS APITE HAPA AONE USHAURI WAKO...Tunamuombea lakini, hakuna atakaemkwamisha ka makusudi.
 
Sidhani kama ni hiari yake ana furaha huko, mzee wetu yuko katika kifungo cha mapenzi. At one time nilikuwa namkubali sana huyu mzee nilikuwa na picha yake ofisini na kwenye gari, siamini kama hataki kurudi tutatue changamoto hizi pamoja maana uchaguzi umeisha na lazima maisha yaendelee

Una maana Katibu Mkuu wa zamani yupo ''jela ya mapenzi''!
 
na wanyonge wa zanzibar kilio chao alikisikia nani?
Uchaguzi wa Zanzibar sio jambo la muungano ni la Wazanzibari wenyewe mtajuana huko huko kwenu.Mimi ni mtanzania bara hayanihusu.
 
Suala sukari kuadimika ya kulaumiwa ni serikali sio watu wengine.serikali inapotoa maamuzi lazima itafakari faida na hasara.ilitakiwa serikali ijiridhishe hali ya uwepo sukari kwa kuangalia matumizi ya kila siku na uzalishaji unavyokwenda.naishauri serikali ijitafakari upya kwenye baadhi ya maamuzi take.
 
Issue ya sukari ni rahisi sana kudeal nayo tena bila kutumia misuli mingiiiiiiiiiiiiiiiii.

1.Watoe RUZUKU kwa wakulima wa miwa.
2.Wapunguze KODI kwenye viwanda vyetu
3.Waongeze KODI kwenye SUKARI itakayoagizwa toka nje.
4.Kuongeza uzalishaji kama vile kununua mitambo mipya ya kisasa
Ukipunguza KODI ya sukari ya ndani na kuongeza kodi kwenye sukari ya nje huna haja ya kumfuatilia mfanyabiashara.SUkari yake itakuwa juu na haitanunuliwa kihivyo na automaticaly kupunguza uagizaji wa sukari

Kwa nini tunang'ang'ania lazima sisi ndio tuzalishe sukari? Kama tunatumia toothpick toka nje kwa nini tunaona nongwa kutumia sukari toka nje??? hapa ndipo siwaelewi kabisa nyie wabongo. Yaani tunalazimisha wananchi wanunue sukari kwa shs 4,000 kwa kilo kwa sababu tu hatutaki sukari ya nje?? kwa nini?? mbona nguo zote tunatoa china na hamsemi ziongongezwe kodi/ushuru ili tukishindwa kununua kutembee uchi??
 
Back
Top Bottom