Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
Leo ccm wanampenda dr.slaa wakati wamemtukana sanaaa.......na hao wanaojiita ACT....walikuwa wanamtukana sana leo mwamtaka mwacheni mzee wa watu.....
Kwanin Nyie Hamkumuacha Lowassa Baada Ya Matusi Na Kashfa Zote Mlizompa?