Dr. Slaa silaha ya maangamizi kwa Lowassa

cku hizi lumumba zile book 7 mmenyimwa, kisa lipumba-vu kakosa kuweka impact kwa ukawa, so jamaa mlo mmoja unakutesa na sisi hatuna jinsi ya kukusaidia ila toroka uje ukawa:peace:

Acha siasa za UNYUMBU wakati watu wanajadili mustakabali wa nchi...kweli Mkapa hajakosea
 
Tutakosa kura yake na mkewe. Tulimpenda Slaa kwasababu tulikuwa tunataka mageuzi. Ss km Lowassa atayaleta lzm tumsupport. Tunata mageuzi na si mtu. Ccm ing'oke tu
 
Tutakosa kura yake na mkewe. Tulimpenda Slaa kwasababu tulikuwa tunataka mageuzi. Ss km Lowassa atayaleta lzm tumsupport. Tunata mageuzi na si mtu. Ccm ing'oke tu

Mkuu ombea sana Slaa aendelee kuwaunga mkono UKAWA kwa kurudi katika nafasi yake ila ikiwa vinginevyo UKAWA watatafutana
 
Mkuu wacha tuone maana tumesikia hupa jukwaani kwamba Slaa atazungumza kesho...ila amini nakwambia akiamua kuunguna na Lowassa inaweza ikawa na afya ila akiamua kupambana na Lowassa tegemea mpasuko mkubwa kupita kiasi ndani ya UKAWA don't underestimate Slaa

Dr Slaa iokoe chadema, tumevamiwa na mafisadi.
 
Tafadhali Mzee, mimi nimekuwa mpenzi wako mkubwa sana. Nimekupenda sana, kwasababu daima umekuwa mwanamageuzi wa kweli. Inawezekana ni kweli mlitofautiana ujiyo wa Lowassa, lakini tafadhali tunakuomba tuweke mbele maslahi ya watanzania wengi ambao wamekuwa wahanga wa mfumo mbovu wa serikali ya CCM

Nachokuomba tafadhali kwa Jina la YESU Kristo, tusonge mbele kuleta mageuzi, na tusimpe adui nafasi yoyote. Kumbuka kila binadamu anamapungufu yake, na kama Mungu akihesabu mabaya, hakuna atakaweza kusimama, siyo wewe wala Lowassa. Kumbuka maamuzi utakayofanya kesho, yanaweza kukufanya ukumbukwe na vizazi kwa ushujaa wako wakukubali kuweka maslahi mbele, au kukumbukwa kwa kuwa adui mkubwa wa mageuzi.

Mungu akutangulie kesho ufanye maamuzi kwa maslahi na manufaa ya watanzania wote. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki ukawa, Mungu mbariki Slaa, Mungu mbariki mbowe, Mungu mbariki Lowassa
 
Kesho saa saba mchana
Kwa mujibu wa Azam TV
Dkt.Slaa atazungumza na wanahabari na kituo cha Azam tv wataonesha moja kwa moja (live)
 
subiri uone km atateteresha lolote maana watu mioyo yao ilishaweka tiki kuwa jamaa hatunae.yatatokea ya lipumba na baada ya siku tatu tunamsahau
 
Back
Top Bottom