Kama kosa la Dr Slaa lilikuwa “kumkataa Lowassa”, kwa maoni yangu linasameheka kabisa!

jmushi1

Platinum Member
Nov 2, 2007
25,994
24,594
Wanajamvi,

Nafahamu humu kuna wakati issue ya Dr Slaa ilikuwa “So polarizing”, kwa maana imekuwa ni hoja “gawanyishi”, wenye kumpinga kabisa, na wenye kuamini kabisa msimamo wake!

Wengi wetu ambao tulikuwa mashabiki wake, tulitaka kufahamu kiundani haswa nini kilitokea. Mfano kuna thread hii..
Hivi Dr D.W Slaa alihama CHADEMA kwa sababu Lowassa alihamia au aligombea urais kwa tiketi ya CHADEMA? - JamiiForums

Sasa kuna taarifa “rasmi”, iliyoletwa na member Mwanahabari Huru , inayosema Dr Slaa anarudi chadema. Ndipo nikakumbuka kuhusu thread ya Salary Slip. Nilipoona lile, nikaonya kuwa Dr Slaa, kutokana na legacy yake, lazima atarudi chadema. Kwasababu nilipata jibu kwenye thread yangu ile kuwa sababu kubwa ilikuwa ni ujio wa Lowassa chadema, na wala siyo tu kugombea kwake urais. Hili likanifanya kuamini kama bado mtu mwenye principles, ili kulinda legacy yake, lazima atarudi, lakini nikaonya kuwa mawazo kama hayo yataleta mgogoro mwingine ndani ya chadema! Jambo ambalo hawalihitaji kwa sasa!

Suala la yeye kukubali ubalozi, halikuonekana kuwa ni baya. Hata hivyo leo kwenye thread inayozungumzia kurudi kwake rasmi chadema, kuna members Mfano Pythagoras na nyabhingi wakilgomea kabisa uamuzi huo na hata mmojawapo kusema atajitoa chadema.

Ndipo nikaamuwa kuanzisha uzi huu. Maana sioni kama ni jambo jema kwa chadema kugawanyika tena. Kama atapokelewa sioni shida yoyote.

Maoni yanakaribishwa...
 
Mkuu nitatoa hasira zangu baadae,..kumbuka slaa hakuondoka tu,aliondoka kwa kejeli na kuutukana upinzani mzima na kuyapamba majizi ya ccm
Wanajamvi,

Nafahamu humu kuna wakati issue ya Dr Slaa ilikuwa “So polarizing”, kwa maana imekuwa ni hoja “gawanyishi”, wenye kumpinga kabisa, na wenye kuamini kabisa msimamo wake!

Wengi wetu ambao tulikuwa mashabiki wake, tulitaka kufahamu kiundani haswa nini kilitokea. Mfano kuna thread hii..
Hivi Dr D.W Slaa alihama CHADEMA kwa sababu Lowassa alihamia au aligombea urais kwa tiketi ya CHADEMA? - JamiiForums

Sasa kuna taarifa “rasmi”, iliyoletwa na member Mwanahabari Huru , inayosema Dr Slaa anarudi chadema. Ndipo nikakumbuka kuhusu thread ya Salary Slip. Nilipoona lile, nikaonya kuwa Dr Slaa, kutokana na legacy yake, lazima atarudi chadema. Kwasababu nilipata jibu kwenye thread yangu ile kuwa sababu kubwa ilikuwa ni ujio wa Lowassa chadema, na wala siyo tu kugombea kwake urais. Hili likanifanya kuamini kama bado mtu mwenye principles, ili kulinda legacy yake, lazima atarudi, lakini nikaonya kuwa mawazo kama hayo yataleta mgogoro mwingine ndani ya chadema! Jambo ambalo hawalihitaji kwa sasa!

Suala la yeye kukubali ubalozi, halikuonekana kuwa ni baya. Hata hivyo leo kwenye thread inayozungumzia kurudi kwake rasmi chadema, kuna members Mfano Pythagoras na nyabhingi wakilgomea kabisa uamuzi huo na hata mmojawapo kusema atajitoa chadema.

Ndipo nikaamuwa kuanzisha uzi huu. Maana sioni kama ni jambo jema kwa chadema kugawanyika tena. Kama atapokelewa sioni shida yoyote.

Maoni yanakaribishwa...
 
Mkuu nitatoa hasira zangu baadae,..kumbuka slaa hakuondoka tu,aliondoka kwa kejeli na kuutukana upinzani mzima na kuyapamba majizi ya ccm
Are you sure on that? Ebu weka something hapa kama ukiweza ntashukuru.
 
Wanajamvi,

Nafahamu humu kuna wakati issue ya Dr Slaa ilikuwa “So polarizing”, kwa maana imekuwa ni hoja “gawanyishi”, wenye kumpinga kabisa, na wenye kuamini kabisa msimamo wake!

Wengi wetu ambao tulikuwa mashabiki wake, tulitaka kufahamu kiundani haswa nini kilitokea. Mfano kuna thread hii..
Hivi Dr D.W Slaa alihama CHADEMA kwa sababu Lowassa alihamia au aligombea urais kwa tiketi ya CHADEMA? - JamiiForums

Sasa kuna taarifa “rasmi”, iliyoletwa na member Mwanahabari Huru , inayosema Dr Slaa anarudi chadema. Ndipo nikakumbuka kuhusu thread ya Salary Slip. Nilipoona lile, nikaonya kuwa Dr Slaa, kutokana na legacy yake, lazima atarudi chadema. Kwasababu nilipata jibu kwenye thread yangu ile kuwa sababu kubwa ilikuwa ni ujio wa Lowassa chadema, na wala siyo tu kugombea kwake urais. Hili likanifanya kuamini kama bado mtu mwenye principles, ili kulinda legacy yake, lazima atarudi, lakini nikaonya kuwa mawazo kama hayo yataleta mgogoro mwingine ndani ya chadema! Jambo ambalo hawalihitaji kwa sasa!

Suala la yeye kukubali ubalozi, halikuonekana kuwa ni baya. Hata hivyo leo kwenye thread inayozungumzia kurudi kwake rasmi chadema, kuna members Mfano Pythagoras na nyabhingi wakilgomea kabisa uamuzi huo na hata mmojawapo kusema atajitoa chadema.

Ndipo nikaamuwa kuanzisha uzi huu. Maana sioni kama ni jambo jema kwa chadema kugawanyika tena. Kama atapokelewa sioni shida yoyote.

Maoni yanakaribishwa...
Ana haki, lakini ni mpuuzi tu;
1. Hakuhama alihamishwa na akina Mwakyembe na Mwigulu
2. 8 bilioni alipokea kama rushwa pamoja na kusafirishwa na kupewa Ubalozi
3. Alihamishwa ili kudhoufisha upinzani na anarudi kwa kazi hiyo hiyo kwa dau zuri zaidi.
4. Ana roho mbaya kuwatenda waliomuamini
Kumsamehe kwa shinikizo la CCM ni janga kama kumsamehe Lowassa.
Akumulikae mchana usiku atakumaliza.

Dr. Slaa ni wakumuogopa kama Israel mtoa roho
 
Akirudi ndio najitoa rasmi chadema na kwenye siasa kwa ujumla wake. Sisi wanachama wa chadema tunapitia mengi mioyoni mwetu ni vile hatuwezi Kuya andika jf. Juhudi zimeungwa mkono na wenyeviti wa vitongoji, vijiji, serikali za mtaa, madiwani, wabunge na viongozi waandamizi wa chadema alafu Leo wanarudi baada ya kuona tushakufa ganzi $&#$&$#$$ff

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akirudi ndio najitoa rasmi chadema na kwenye siasa kwa ujumla wake. Sisi wanachama wa chadema tunapitia mengi mioyoni mwetu ni vile hatuwezi Kuya andika jf. Juhudi zimeungwa mkono na wenyeviti wa vitongoji, vijiji, serikali za mtaa, madiwani, wabunge na viongozi waandamizi wa chadema alafu Leo wanarudi baada ya kuona tushakufa ganzi $&#$&$#$$ff

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama aliondoka kwasababu ya Lowassa ambaye Sasa mmegunduwa kuwa ilikuwa makosa kumkaribisha?
 
Hata kama aliondoka kwasababu ya Lowassa ambaye Sasa mmegunduwa kuwa ilikuwa makosa kumkaribisha?
Mbona sisi Hatukuondoka tulijitahidi kumtetea mamvi waliposema anatetemeka, ajui kuongea mara kajinyea na mambo ya kuzungusha mikono. Zaman wamasai walionekana watu waaminifu na wa kweli Lakin siku hizi ndio wanaongoza kwa wizi kupitia kazi zao za ulinzi na dawa za miti shamba wanazouza naona na siasa wanaivamia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona sisi Hatukuondoka tulijitahidi kumtetea mamvi waliposema anatetemeka, ajui kuongea mara kajinyea na mambo ya kuzungusha mikono. Zaman wamasai walionekana watu waaminifu na wa kweli Lakin siku hizi ndio wanaongoza kwa wizi kupitia kazi zao za ulinzi na dawa za miti shamba wanazouza naona na siasa wanaivamia

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli, wamasai wa zamani ndiyo walikuwa waadilifu siyo hawa wa Sasa wala pilau na samaki.
 
Nitarudi lakini kwa ufupi tu kuifanyia kampeni ccm 2015 halikuwa tusi na usaliti kwa upinzani?
Slaa ameingia kwenye ccm bought out hall of fame,..hivi sasa yupo kwenye level za akina cheyo,mrema,shibuda na yule jamaa anayevaaga kofia ya kikomunisti(dovutwa)
Musipompokea kwa mikono miwili, kuna consequences! Kwahiyo kwanza niwekee hizo kauli zake za kwenye kampeni nione kama aliusaliti upinzani kabisa ama issue ni Lowassa.
 
Back
Top Bottom