Dr. Slaa ni mtu hatari sana, Hongera

Dr. Slaa ni mtu hatari sana, Hongera

Hata ww ukienda Atakuoa kama unajadili issues jadili issues sio mambo ya kanga moko!stupid

Ningefurahi sana kama ungeacha kumjibu. Najua amekuboa sana ila usiwe unamjibu m2 kama huyo mpuuze tu
 
Chadema wanachojua ni ugaidi tu na kulipua mabomu

Acha kuropoka kipumbavu unafikiri ujinga wako unaopost hapa utakuwa rahisi kumuingia mtu mwenye akili kuwa makini na ujue fika hizi post unazotuma hazisomwi na wajinga wenzako tu kama upo kwenye mfumo wa kuiua Tanzania kaa kimya sio kuropoka kama unaharisha tu hapa
 
Serikali ya kikwete iko uchi inavuja kama nini hakuna lolote walifanyalo kuliandaa hata kulipanga ambalo halifiki kwa DR Slaa
 
"pasipo kutumia vyombo vya dola ccm ni weupe kama karatasi"
 
Huyu mzee hana family kweli ataweza kuongoza taifa?nasikia ana PhD ya kupora wake zawatu kweli huyu anaweza kuongoza hata nyumba 10?

Hata wewe, Dada yako na mama yako si wameporwa vumilia awe baba yako ---- wewe huna hata akili sijui hujakatwa govi ndio maana huoni mbali shenzi wewe
 
Laki si pesa,mjepo nk yaan ukiambiwa kalete wajinga na wapumba.vu tunaanza na ninyi. Ninyi ndio mnashusha hadhi ya nchi hii,hivi mtu wa nje anayeweza kusoma na kuelewa kiswahili akapitia coments zenu atasema watz ni waji,nga na wa.pumba.vu ona wanavyotetea ushe.nzi,ufisadi,wizi na rushwa kwa serikali,ndio maana tunaambiwa watz ni watu wenye IQ ndogo chanzo ni ninyi washe.nz mnatoa comments za kishe.nzi,kipuuzi na kiseng* mno. Hamuoni aibu kutetea wizi,rushwa na ufisadi? Hivi mnalipwa milioni ngapi kiasi kwamba wanayotenda watawala ni neema au baraka kwenu? Kwa nini mmefikia hatua ya kujigeuza wajing.a na wapumb.avu kiasi hiki wakati mnauelewa wa kutosha? Hivi siku ya mwisho mtajitetea nini mbele ya Mungu naamini ni watu mnaoamini dini? Hizi dhambi mnazozifanya haki ya Mungu hata katika matendo haya hata shetani atawakana kuwa hii dhambi zijawatuma kuifanya. Inasiktisha sana

MKUU wamenipa hasira mpaka natamani wngekuwa karibu ningening'inia na shingo ya mmoja wapumbavu sana utafikiri sio Watanzania wanavhangia using... Tuu
 
Siku hizi ukicheza na mke wa mtu adhabu yake ni kipara tu.
 
weewe acha zengwe za kipuuzi post logically post siyo pumba hapa nyama weee
 
chadema kuziba nafasi yako itachukua miongo mengi sna.chama imekuwa bubu na kipofu.
 
Back
Top Bottom