mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 95,862
- 136,765
Wale mnaodai kuwa ni nyaraka za wazi tuambieni zimetangazwa lini ? Na nani wakati gani...hizo ndio sifa za taarifa za wazi
hilo swali hawalijibu chief....ndiyo tuna subiriaa watuambieeee
.
Wale mnaodai kuwa ni nyaraka za wazi tuambieni zimetangazwa lini ? Na nani wakati gani...hizo ndio sifa za taarifa za wazi
Kweli kabisa kwenye kuiba wake za watu ndiyo hatari kweli pamoja na kukopa pesa kwenye chama bila kulipa.
Kweli kabisa kwenye kuiba wake za watu ndiyo hatari kweli pamoja na kukopa pesa kwenye chama bila kulipa.
"wanaulizana ni wapi Dr.Slaa ni wapi anapata data" by Roma Mcatholic
Chadema wanachojua ni ugaidi tu na kulipua mabomu
cd ya kale, huichoki tu? Mwenye mke mwenyewe ni nani? Acha wivu bwana. Ukipenda na wewe si ujilengeshe?kweli mkuu. Slaa hana mfano katika kupora wake za watu.
kama wana jibu mkuu watakuwa wametusaidia na kutufumbua macho wale tusiojuahilo swali hawalijibu chief....ndiyo tuna subiriaa watuambieeee
.
Ooh my dog, unageuka.Pitia comment zangu zote halafu uniambie wapi nimetoa lugha chafu
Wale mnaodai kuwa ni nyaraka za wazi tuambieni zimetangazwa lini ? Na nani wakati gani...hizo ndio sifa za taarifa za wazi
Huyu mzee hana family kweli ataweza kuongoza taifa?nasikia ana PhD ya kupora wake zawatu kweli huyu anaweza kuongoza hata nyumba 10?
Ni hatari kwa kuiba wake za watu wala hana kitu cha maana zaidi ya hayo.
watu wanasahau kuwa hili ni darasa huru....mtu anatoa jibu la jumla na intimidation badala ya kutoa mawazo/majibu yakinifuhawezi kujibu wanakuwa mabubu gaflaaaa
Hujaelewa mada au ujinga unakusumbua we Dada
Kuna jamaa aliniambia wale wa lumumba zaidi ya 80% wamefeli kidato cha nne na 20% iliyo aki wamefeli kidato cha sita naomba msiwalazimishe sana kuwapa majibu yenye mantiki.Ooh my dog, unageuka.
Au ulikuwa unategemea dr aje hapa mwenyewe kujibu matusi yako.
Kama kweli umeacha matusi,tujadili issue serious.
Haya manyaraka aliyopewa dr slaa na mwandishi wa habari wa rais kwa nini yanasema hii rasimu pendekezwa ni ya SERIKALI?
Kumbe hata wao wanajua sio ya wananchi sio?