Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Huyu mzee namkubali... anapiga mzigo tu... kwake ni as if Afrika haina msiba Zitto kabwe Ben Saanane
Keep it up mzee... ila kuwa na kau-binadamu hata kwa mbali kidogo.
Afrika watu wanapenda kuhuzunika na kufurahi pamoja... try just to be like us!
Keep it up mzee... ila kuwa na kau-binadamu hata kwa mbali kidogo.
Afrika watu wanapenda kuhuzunika na kufurahi pamoja... try just to be like us!
Last edited by a moderator: