Mtasema saaana lakini Slaa ni jembe na kasi yake kama kangarooo ni tamu lakini chungu kumeza
Tukishika dola tutahalalisha gongo
Huyu mzee namkubali... anapiga mzigo tu... kwake ni as if Afrika haina msiba Zitto kabwe Ben Saanane
Keep it up mzee... ila kuwa na kau-binadamu hata kwa mbali kidogo.
Afrika watu wanapenda kuhuzunika na kufurahi pamoja... try just to be like us!
teh teh teh.Mzee wa gongo...
Tukishika dola tutahalalisha gongo
Hata ile timu ya wasichana under twenty ilikuwepo hapa na ikacheza nasi ikatubamiza wakati msiba ulikuwa bado mbichi tu!Timu ya kriket ya S. Africa ipo hapa nchini unataka ubinadamu gani wewe kazi ziko palepale.
Huyu mzee namkubali... anapiga mzigo tu... kwake ni as if Afrika haina msiba Zitto kabwe Ben Saanane
Keep it up mzee... ila kuwa na kau-binadamu hata kwa mbali kidogo.
Afrika watu wanapenda kuhuzunika na kufurahi pamoja... try just to be like us!
Tukishika dola tutahalalisha gongo
Tukishika dola tutahalalisha gongo