Mzee Uchwara
Senior Member
- Oct 28, 2013
- 119
- 35
Dr Slaa ni Jembe hakuna wa kupinga hapa labda wale mazezeta wa lumumba wenye I'd kumi kumi kila mmoja.
Dr Slaa ni kiboko ya mafisadi waTZ wote wanajua labda wale majuha wasiopenda kukubali kwa sababu ya maslahi binfsi
Samahani mkuu hivi dr slaa ameoa?