Dr. Slaa ndani ya Morogoro tarehe 25 Aprili, 2015

Dr. Slaa ndani ya Morogoro tarehe 25 Aprili, 2015

Kule Heche, huko Mbowe, pale Salmu Mwalimu, hapo Mbatia, huku Lipumba na sasa Rais wa awamu ya 5 wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr. W. Peter Slaa!! Hakika MUNGU AWAONGOZE!! Ndani yenu dhamira ya kumkomboa mtanzania inajidhihirisha!!

Tukutane October!!
 
Hibu tulitazame hili

CHADEMA
1. Kamanda Mboe na timu yake

2. Dr. Slaa na Timu yake

3. John Mnyika na timu yake

4.Tindu Lissu na Timu yake.

5. Salim Mwalimu na timu yake

6. Kamanda Lwakatare na timu yake

7. Mabele Marandu na timu yake

8. Prof. Safari & Prof. Baregu na timu yao

9. Halima Mdee na timu yake

CCM

1. Kinana & Nape na timu yao

2. Mwigulu & Kibajaji na Timu yao

3 . Lowasa na makundi yake ya kuyanunua

ACT

1. Zitto Kabwe na timu yake.

WHAT YOU SEE?
 
Kuna wanaolalamika eti kwa nini CDM inawazungumzia Zitto na ACT kwenye mikutano yake. Lazima wananchi waelimishwe kinagaubaga kwamba Zitto na ACT ni mpango wa CCM wa kugawa kura za upinzani.

Namtakia mpendwa wetu na CDM kwa ujumla mafanikio makubwa huko Morogoro. We will be there in spirit (tuko mbali).
 
Hibu tulitazame hili
U
CHADEMA
1. Kamanda Mboe na timu yake

2. Dr. Slaa na Timu yake

3. John Mnyika na timu yake

4.Tindu Lissu na Timu yake.

5. Salim Mwalimu na timu yake

6. Kamanda Lwakatare na timu yake

7. Mabele Marandu na timu yake

8. Prof. Safari & Prof. Baregu na timu yao

9. Halima Mdee na timu yake

CCM

1. Kinana & Nape na timu yao

2. Mwigulu & Kibajaji na Timu yao

3 . Lowasa na makundi yake ya kuyanunua

ACT

1. Zitto Kabwe na timu yake.

WHAT YOU SEE?

I see a CCM that is full of evil people, people who promoted the murderers of Mwangosi, and a liberational CDM. I make no distinction between CCM and ACT.
 
Hibu tulitazame hili

CHADEMA
1. Kamanda Mboe na timu yake

2. Dr. Slaa na Timu yake

3. John Mnyika na timu yake

4.Tindu Lissu na Timu yake.

5. Salim Mwalimu na timu yake

6. Kamanda Lwakatare na timu yake

7. Mabele Marandu na timu yake

8. Prof. Safari & Prof. Baregu na timu yao

9. Halima Mdee na timu yake

CCM

1. Kinana & Nape na timu yao

2. Mwigulu & Kibajaji na Timu yao

3 . Lowasa na makundi yake ya kuyanunua

ACT

1. Zitto Kabwe na timu yake.

WHAT YOU SEE?
Mboe, Tindu, Marandu? Andika vyema majina ya watu?
 
kila la Mr president kwenye ziara yako ya leo
 
Hibu tulitazame hili

CHADEMA
1. Kamanda Mboe na timu yake

2. Dr. Slaa na Timu yake

3. John Mnyika na timu yake

4.Tindu Lissu na Timu yake.

5. Salim Mwalimu na timu yake

6. Kamanda Lwakatare na timu yake

7. Mabele Marandu na timu yake

8. Prof. Safari & Prof. Baregu na timu yao

9. Halima Mdee na timu yake

CCM

1. Kinana & Nape na timu yao

2. Mwigulu & Kibajaji na Timu yao

3 . Lowasa na makundi yake ya kuyanunua

ACT

1. Zitto Kabwe na timu yake.

WHAT YOU SEE?

10. Godbless Lema na timu yake

11. Joseph Mbilinyi (sugu) na timu yake

12. Mch. Msigwa na timu yake
 
Wewe nawe sijui nikutukane? Sasa mkutano utafanyikia uwanja gani? Muda pia hujayuwekea sasa tukueleweje?

s/m kiwanja cha ndege mkuu....ila tukana tu kama hilo litaufurahisha moyo wako....
 
Hivi naomba kuuliza wadau. Dr Slaa ni doctor wa nini. Fani yake ni nini hasa aliyosomea. Kuna mambo ya anitatiza kiukweli sielewi.
 
10. Godbless Lema na timu yake

11. Joseph Mbilinyi (sugu) na timu yake

12. Mch. Msigwa na timu yake

Nyinyi msilete vitu vya kuchekesha hapa. Hivi lichama Giant kama ccm nao wakiorodhesha unadhani hapa patatosha. Chama kimekaa miaka zaidi ya 50 tangu enzi za Tanu mpaka leo unafananisha na chama kilichoundwa mwaka 1992. Hahahha.ushabiki bwana hatari kwa maendeleo ya nchi. Na tena kati ya hao hao uliowataja wengi bado wana kadi za ccm. Wakiongozwa na daktari wao mkuu wa mambo ya dini .siasa ni kitu cha ajabu
 
Nitaanza kuviamini tena vyama kama viongozi wakianza kuridisha kadi za vyama vingine basi. Kama hawajarudisha nasi tunajua bado wana link na vyama hivyo.
 
Wadau aliye na taarifa za hivi karibun kuhusu askofu Gwajima na Pengo atusaidie kwn huyu askofu anamakuu kuhusu ccm na alisema polisi wakiendelea kumsumbua atalipuka
 
Hibu tulitazame hili

CHADEMA
1. Kamanda Mboe na timu yake

2. Dr. Slaa na Timu yake

3. John Mnyika na timu yake

4.Tindu Lissu na Timu yake.

5. Salim Mwalimu na timu yake

6. Kamanda Lwakatare na timu yake

7. Mabele Marandu na timu yake

8. Prof. Safari & Prof. Baregu na timu yao

9. Halima Mdee na timu yake

CCM

1. Kinana & Nape na timu yao

2. Mwigulu & Kibajaji na Timu yao

3 . Lowasa na makundi yake ya kuyanunua

ACT

1. Zitto Kabwe na timu yake.

WHAT YOU SEE?

Mkuu,
Ninachokiona hapa ni kwamba ni kwamba Team CDM ni wamoja tofauti na Team CCM na Team ACT.
 
Back
Top Bottom