jabali gumu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 229
- 46
CHADEMA kweli imedhamiria kukamata Dola Oct, inashambulia Kwa pamoja na kulinda goli Kwa pamoja, Magamba kazi mnayo mwaka huu.
huyo anayezunguka nchi nzima peke yake atalijua jiji mwaka huu.
Hata hiyo ni ajenda muhimu sana.Zaidi ya kumsema Zitto ana ajenda ipi mpya?
Shikamoo chadema
Hebu mwambie Zitto aiseme chadema jukwaani kama hajashushwa na mawe ya wananchi wanaotaka mabadiliko
Kweli CHADEMA inataka mageuzi ila wengine basi2
fisi wameumbwa na nani?
chadema inatunisha account hata wakipewa ikulu watuza
Wanaukumbi,
Kesho kutakua na mkutano mkubwa Morogoro Mjini ukiongozwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA.
Karibuni wote.
Si mlisema Ruzuku wanakula wachaga leo povu nilanini?