Dr. Slaa ndani ya Morogoro tarehe 25 Aprili, 2015

Dr. Slaa ndani ya Morogoro tarehe 25 Aprili, 2015

Jaman me ACTccm naomba poo kumbe michadema kumbe ni taasisi si mtu kumbe? Nchi nzima wameenea najuta kumfata kaka yuda naomba msamaha nirudi kundini cdm
 
Jamani tunaomba muende na vijijini otherwise fisiemu wataendelea kusumbua raiya kwa ulevi wa madaraka.
 
Baadhi ya watu humu mnashangaza,tunawafaham ni Lumumba,leo mko act kuna siri gani kati ccm na act au mmekodishwa?
 
Haya...BABU ana AGENDA ipi mpya zaidi ya kusema Zitto ndio adui yao namba moja?

Ajenda nikwenda kuwaambia wanna Morogoro jinsi Brother K Kinana alivyo msanii aliyetukuka. Maana Kinana hana tofauti na Waigizaji FUTUHI.
 
Chadema adui yake namba moja ni ccm,nyiemaccm ndo mnatupeleka huko etitunasema adui yetu ni zitto,mbona zito mwenyewe anakataa kuisema chadema mwambieni aiseme chadema aone tutamshusha jukwaani yuda asikariot yule,aliyejimaliza mwenyewe asisingizie chadema.
 
This is president slaa.
 

Attachments

  • IMG_8428.JPG
    IMG_8428.JPG
    50.7 KB · Views: 183
10485890_552547448218602_4150151554201717214_n.jpg
wana morogoro jiandaeni kumpokea raisi mtarajiwa anakuja kusambaza upendo .
 
nimeskia wametangaza ktk viwanja vya shule ya msing kyandege nafkir,, itakua karibu na sabasaba


Sawa sawa mmoja wa wanaharakati wameshanipa ramani nitakuwa kazini kupeleka watu nikiwa nimekodishwa hapohapo napata na neno la ukombozi... hahahaa naipenda nchi yangu
 
Tunaisubiri kwa hamu hotuba ya raisi wetu wa awamu ya tano.tulianza na mungu na tutamaliza na mungu.chadema ni mpango wa mungu..
 
Wakati huo huo,siku hiyo hiyo na tar.hiyo hiyo kamanda salum mwalim na Joshua nassari(dogo janja )watakuwa makambako
 
Back
Top Bottom