Dr. Slaa ndani ya Morogoro tarehe 25 Aprili, 2015

Dr. Slaa ndani ya Morogoro tarehe 25 Aprili, 2015

Kila la kheri mabaloI wa ukombozi, fanyeni kazi makamanda tupo pamoja nanyi
Tuliopo na tutakao kuwa mkutanoni tunaomba update please!
 
hii staili chadema wamekuja nayo ni noma sana nafikiri watani zetu ccm hawawezi kupata usingizi kabisa
 
Naomba kuambiwa ni sehem gani maana gari limepita linatangaza sikuwapata vizuri mahali pamkutano
 
Nitakuja na live update utaficha wapi uso wako
Nifiche uso wangu kwa ajili ya nini? Hivi wewe akili zako huwa ni timamu kweli? Ulete live updates halafu mimi mwanachama wa CCM inayoongoza nchi miaka 200 ijayo nifiche uso? Nina mashaka na upeo wako!
BABU kwangu ni mtu wa kawaida sana, sijawahi kumuona mtu wa maana hata siku moja!
 
Nifiche uso wangu kwa ajili ya nini? Hivi wewe akili zako huwa ni timamu kweli? Ulete live updates halafu mimi mwanachama wa CCM inayoongoza nchi miaka 200 ijayo nifiche uso? Nina mashaka na upeo wako!
BABU kwangu ni mtu wa kawaida sana, sijawahi kumuona mtu wa maana hata siku moja!
Lazima ufiche kwa haya maongezi yako yakijinga hapa, anavyowaumbua mafisadi lazima muombe poo huna ujanja wewe Choo
 
Nifiche uso wangu kwa ajili ya nini? Hivi wewe akili zako huwa ni timamu kweli? Ulete live updates halafu mimi mwanachama wa CCM inayoongoza nchi miaka 200 ijayo nifiche uso? Nina mashaka na upeo wako!
BABU kwangu ni mtu wa kawaida sana, sijawahi kumuona mtu wa maana hata siku moja!
Upeo wangu kamulize Mzee wa upara aka Pembe Man anaujua maana anaumbuka kule nilipopita
 
Tunaomba kujua venue.. nina coaster zangu nne zimekodiwa kutoka mikese kwenda mkutanoni....
 
hii staili chadema wamekuja nayo ni noma sana nafikiri watani zetu ccm hawawezi kupata usingizi kabisa

Nimependa hii post yako, kweli sisi ni Wamoja ila utani wetu unakuwa na hoja bila kutengana kwa ajili ya siasa.
 
Mabandiko yako hapa jukwaani yanaonyesha jinsi ulivyo mweupe kichwani!

Leo hii ujifananishe na nani ndani ya CCM?
Ndio Maana nimekwambia kamulize Futuhi Man ananijua huko apitako siongei kwa maneno kwa vitendo pia
 
Mbona hakuna Anayeuliza pesa ya kugawa vikosi karibu vinne nchi nzima zinatoka wapi?
Mkijaambiwa chama kinadaiwa tena kwa riba msihamaki .
 
Back
Top Bottom