Dr. Slaa ndani ya Morogoro tarehe 25 Aprili, 2015

Dr. Slaa ndani ya Morogoro tarehe 25 Aprili, 2015

vunjajungu

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2011
Posts
576
Reaction score
246
Wanaukumbi,

Kesho kutakua na mkutano mkubwa Morogoro Mjini ukiongozwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA.

Karibuni wote
.
updates....
eneo la mkutano ni shule ya msingi kiwanja cha ndege.
 
duh!! Hii sasa CCM na pacha wake ACT lazima wahamaki na kurudi kupanga upya mkakati,I can see CHADEMA wameamua kuthibitisha how they think big kwa ku-counter attack kibaraka with positive effect!!!
 
Safi Sana na kesho kuna mkutano pia wa chama Viwanja vya Makumbusho
 
Wanaukumbi,

Kesho kutakua na mkutano mkubwa Morogoro Mjini ukiongozwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA.

Karibuni wote
.

Inaonyesha ufipa kulikuwa na salio la maana kila mmoja anachomoka ili naye achukumo perdiem
 
Safi sana hii strategy, nchi inashambuliwa kila kona.

Hakutakuwa na kazi ngumu wakati rasmi wa kampeni ukifika
 
huyo anayezunguka nchi nzima peke yake atalijua jiji mwaka huu.
 
Inaonyesha ufipa kulikuwa na salio la maana kila mmoja anachomoka ili naye achukumo perdiem

Wakati nyie mnaendeleza unafiki, majungu na siasa za chafu, CHADEMA wako field wanaeneza neno la ukombozi.
 
Back
Top Bottom