Dr Slaa ndani Kinampanda

Dr Slaa ndani Kinampanda

pamoja makamanda,piteni hapo kinampanda madukani mwambieni rajabu dukani hapo awape timu nzima ya m4c soda nitalipa,kama vipi mpite na pale mbele kwa alex au kwa mzee makalla mpate ugali.
mmenifurahisha sana.
kamanda vipi chuo cha ualimu na tumaini secondary hapo wanapokea vipi m4c,salimieni hapo jirani kwa mh mbunge wa zamani.
Kumbe mkuu hivyo ni viwanja vyako????

 
singida mjini itakua lini kwa mwenye ratiba wakuu tumewamiss makamanda
 
Pamoja sana makamanda,uzeni sera na elimu ya uraia kwa mtindo uleule.
 
Kumbe mkuu hivyo ni viwanja vyako????

kamanda hapo vilikuwa viwanja vjangu miaka ya 89,90 na 2008-2010.
hapo panahitaji ukombozi lakini si watu wagumu sana ni waelewa sema walikuwa hawajaonjeshwa mapishi tofauti na ya mama.
m4c nafikiri ikifika pale itasafisha uchafu kibao.
 
DR. anawakomboa wanyiramba kwa nguvu zote.Magamba wanahaha kumnyamazisha.Big up presida, Mungu yu pamoja nawe
 
Hawajafika mpaka sasa wananchi wamekasirika hasa baada ya tetesi kuwa slaa hatakuja kutoka na kesi yake ya ndoa inayomkabili. Wananchi wamesubiri tangu saa nne kulikuwa na mikutano miwili leo. Wabunge tulioambiwa watakuja badala ya slaa hawajafika , hii kashfa kwa nini hawatoi taarifa
Akili zako zina alama kama avator yako so we cannot blame you hakika
 
Hawajafika mpaka sasa wananchi wamekasirika hasa baada ya tetesi kuwa slaa hatakuja kutoka na kesi yake ya ndoa inayomkabili. Wananchi wamesubiri tangu saa nne kulikuwa na mikutano miwili leo. Wabunge tulioambiwa watakuja badala ya slaa hawajafika , hii kashfa kwa nini hawatoi taarifa

Kweli ww unasadifu jina lako
 
Makamanda wapitishe mchango wa kumsaidia shangazi yake Mwigulu yule mwenye maradhi ya ukoma aliye telekezwa na Mwigulu pale kambi ya Sukamahela.Kijana pamoja na kujiita 1st class Economist na waziri wa fedha wa CCM bado ana mnyanyapaa shangaziye kwa maradhi ya ukoma? Kweli ana laana.
 
Hawajafika mpaka sasa wananchi wamekasirika hasa baada ya tetesi kuwa slaa hatakuja kutoka na kesi yake ya ndoa inayomkabili. Wananchi wamesubiri tangu saa nne kulikuwa na mikutano miwili leo. Wabunge tulioambiwa watakuja badala ya slaa hawajafika , hii kashfa kwa nini hawatoi taarifa

Kama ilivyo ID yako mnajaribu kudilute ukweli na kupandikiza fujo ili M4C isifanikiwe lakini imekula kwenu kama mweka hazina wenu ndo anasponsor show mwambie haiulizi.
 
Magwanda wamefika mkutano umeaanza
 
Makamanda wapitishe mchango wa kumsaidia shangazi yake Mwigulu yule mwenye maradhi ya ukoma aliye telekezwa na Mwigulu pale kambi ya Sukamahela.Kijana pamoja na kujiita 1st class Economist na waziri wa fedha wa CCM bado ana mnyanyapaa shangaziye kwa maradhi ya ukoma? Kweli ana laana.

Aisee !!!....ana dhambi sana!
 
jamani kuna taarifa nimezipata kuhusu mkutano wa chadema iramba katika kijiji cha ndago kwamba kuna vurugu zimetokea na mpaka sasa watu wawili wamedhibitika kufariki dunia.
 
Back
Top Bottom