Noel Joseph
New Member
- Jul 11, 2012
- 1
- 0
karbun Sgd wazee wa Magwanda
Mwigulu 2mbo joto
Unaijua amani wewe au unaropoka kwa ubongo kimagambaKule Chadema watakula za uso tu,, Iramba hawataki vyama vinavyochochea vurugu na uvunjifu wa amani. wamezoea kuishi kwa upendo
Leo saa saba kamili timu
chadema itatua kinampanda hivi sasa shamramra zaendelea kuusubiri ugeni
mzito bendera zapepea juu ya mzambarau tutakuwa tunawaletea habari kwani
tuko ndani ya kinampanda
Kule Chadema watakula za uso tu,, Iramba hawataki vyama vinavyochochea vurugu na uvunjifu wa amani. wamezoea kuishi kwa upendo
Kule Chadema watakula za uso tu,, Iramba hawataki vyama vinavyochochea vurugu na uvunjifu wa amani. wamezoea kuishi kwa upendo
Elezea vizuri sio kila mtu anapajua Kinampanda.
Wametoa taarifa bado wapo singida mjini mkutano utaanza saa kumi na watu hawajakasirika wanasubiri
Unaijua amani wewe au unaropoka kwa ubongo kimagamba
Hapo kwenye rangi nyekundu ungebadirisha na kuwa .......Wamezoea kuishi na umaskini!Kule Chadema watakula za uso tu,, Iramba hawataki vyama vinavyochochea vurugu na uvunjifu wa amani. wamezoea kuishi kwa upendo