Dr Slaa ndani Kinampanda

pamoja makamanda,piteni hapo kinampanda madukani mwambieni rajabu dukani hapo awape timu nzima ya m4c soda nitalipa,kama vipi mpite na pale mbele kwa alex au kwa mzee makalla mpate ugali.
mmenifurahisha sana.
kamanda vipi chuo cha ualimu na tumaini secondary hapo wanapokea vipi m4c,salimieni hapo jirani kwa mh mbunge wa zamani.
Mkuu hapo Tumaini sekondari unanikumbusha miaka ya 90's nilikuwa hapo, mambo ya Chepo na n.k
 
pamoja makamanda,piteni hapo kinampanda madukani mwambieni rajabu dukani hapo awape timu nzima ya m4c soda nitalipa,kama vipi mpite na pale mbele kwa alex au kwa mzee makalla mpate ugali.
mmenifurahisha sana.
kamanda vipi chuo cha ualimu na tumaini secondary hapo wanapokea vipi m4c,salimieni hapo jirani kwa mh mbunge wa zamani.

Mkuu hivi yale maandishi ya zege yameandikwa TANU pale ofisi ya CCM bado yapo?,,,,na chepo je?Umenikumbusha sana headmaster wangu DINGI mungu amrehemu.
 
Jonh Mnyika apiga nondo Ndago na Kinampanda wakiwa pamoja na mbunge mtarajiwa Kitila Mkumbo kikubwa ni kwamba hii ni rasharasha mvua itanyesha katikati ya mwezi ujao watakaporudi awamu ya pili
 
Jonh Mnyika apiga nondo Ndago na Kinampanda wakiwa pamoja na mbunge mtarajiwa Kitila Mkumbo kikubwa ni kwamba hii ni rasharasha mvua itanyesha katikati ya mwezi ujao watakaporudi awamu ya pili

mkuu Luushu,
vipi mwitikio wa wananchi hapo!!
 
Last edited by a moderator:
Leo saa saba kamili timu chadema itatua kinampanda hivi sasa shamramra zaendelea kuusubiri ugeni mzito bendera zapepea juu ya mzambarau tutakuwa tunawaletea habari kwani tuko ndani ya kinampanda

Mkuu rekebisha title angalau isomeke "ndani YA kinampanda" hivyo ilivyokaa inakuwa kama inasema amewekwa ndani! me opinion!
 
Asante kwa kunirekebisha nilikuwa namaanisha kuwa Dr Slaa atafanya mkutano wa hadhara kinampanda hata hivyo Slaa hakuja walikuja Mnyika,Dr Kitila Mkumbo nawenzake mkutano ulianza saa kumi na moja na nusu watarudi tena katikati ya mwezi ujao kwa oparation ya kata kwa kata wilaya nzima ya Iramba
 
Mkuu hivi yale maandishi ya zege yameandikwa TANU pale ofisi ya CCM bado yapo?,,,,na chepo je?Umenikumbusha sana headmaster wangu DINGI mungu amrehemu. Maandishi ya zege neno TANU bado yapo ila chepo sikuhizi hakuna siunajua wanafunzi wakuwa watoto zaidi kuliko miaka ile unamkumbuka Ezra Mkumbo alikuwa mkubwa ukiambiwa ndiye mkuu wa shule unampa karo pia Tumaini siku hizi ni ya wasichana kuanzia kidado cha kwanza mpaka cha sita Mwenge niya wavulana
 
Mkuu hivi yale maandishi ya zege yameandikwa TANU pale ofisi ya CCM bado yapo?,,,,na chepo je?Umenikumbusha sana headmaster wangu DINGI mungu amrehemu. Maandishi ya zege neno TANU bado yapo ila chepo sikuhizi hakuna siunajua wanafunzi wakuwa watoto zaidi kuliko miaka ile unamkumbuka Ezra Mkumbo alikuwa mkubwa ukiambiwa ndiye mkuu wa shule unampa karo pia Tumaini siku hizi ni ya wasichana kuanzia kidado cha kwanza mpaka cha sita Mwenge niya wavulana

Dah!Ezra Mkumbo namkumbuka sana,alikuwa rafiki wa karibu wa Philemon Kitandu<comandoo>.Sijui yako wapi yale majamaa!
 
Back
Top Bottom