Kwani wanachoandika ni uwongo?
Mbona hakanushi
Dr. Hawez kufanya ujinga huo. Hilo gazeti la ccm linaweweseka. Mlisema Lissu, Mnyika, Baregu pia wamehama leo yako wapi? Siku atakaporejea tutawavalisha niqabu ili mfiche sura zenu.
Yaani mtu hata huoni tofauti Kati ya majina Raia Tanzania na Raia Mwema kwamba ni magazeti mawili tofauti halafu unabwatuka hovyo! Watu wengine kwa ujinga hadi mnaudhi. Hivi kweli mnadhani jenerali ulimwengu anaweza kuandika huo upuuzi!Mnacheza ngoma msioijua, punguzeni mbwembwe! Haiwezekani RAIA Tanzania wapate press conference ya wao peke yao! Kuondoka Kwa Dr Slaa, haihitaji uchunguzi ni kila chombo cha Habari kitatatoa habari hiyo! Propaganda machine at work!
Nafurahishwa na jinsi Dr Slaa alivyogeuka ghafla Kuwa kipenzi cha ccm na wana ccm,najiuliza ikitokea chadema wakampitisha kugombea urais mnapenz haya yataendelea ?au kwa uroho wa madaraka mliona atarudi Kuwa aduiDk amesema anatishwa yeye na familia yake. Akielezea amezidi kusema kama ni mapenzi ya mungu yatimizwe mm sitang"ang'ania.
Source: Rfa magazeti./RAIA TANZANIA.
Hili jambo kama movie vile ili raia wasiongelee kabisa ishu za CCM na Magufuli...
Dk amesema anatishwa yeye na familia yake. Akielezea amezidi kusema kama ni mapenzi ya mungu yatimizwe mm sitang"ang'ania.
Source: Rfa magazeti./RAIA TANZANIA.
Kwasasa mwenye access na Dr.slaa ni gazeti la Raia Tanzania Tu! Kazi kweli kweli!
tofautisha raia tanzania na raia mwemaRaia Tanzania ni kijalida cha ccm! Ingawa mmiliki ni jenerali Ulimwengu lkn nashangaa saaanaa
Dr.slaa aongezewe ulinzi la sivyo yatamkuta ya chacha wangwe
Raia Tanzania ni kijalida cha ccm! Ingawa mmiliki ni jenerali Ulimwengu lkn nashangaa saaanaa