singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,538
Raia Tanzania = Uhuru = Mzalendo = Habari Leo. Yameshindwa kumnadi Magufuli.
Kama tanzania daima na mawio yalivyoshindwa kumsafisha lowasa kwa ufisadi
Raia Tanzania = Uhuru = Mzalendo = Habari Leo. Yameshindwa kumnadi Magufuli.
kwa hiyo ukiwa jamvini masaa 24 siku saba kuna nn la zaidi hapo,,vitisho vya porini ivi mkuu.
Kama vipi na wewe nunua basi hili bifu ili tuliendeleze. Nawapendaga mno " mambwigiri " kama wewe.
Huyo ni mtoto mdogo, obviously hata akili zake ni ndogo.
Uzuri hata Dr Slaa naye ameshasahaulika.
Nilishakupuuzaga siku nyingi sana tangu kwenye ile ID yako nyingine iliyopo Lupango.
Huyo ni mtoto mdogo, obviously hata akili zake ni ndogo.
Mkuu achana nae wala usipate shida sana,sababu unapokuwa unaoga halafu kichaa akaja kukuibia nguo zako na wewe ukaanza kumkimbiza watu hawatakuelewa. Huyu jamaa nilishampuuza siku nyingi sana kwenye ile ID yake iliyopo lupango kwa sababu ya mdomo wake mchafu na kujifanya yeye much know sana.
Nilishakupuuzaga siku nyingi sana tangu kwenye ile ID yako nyingine iliyopo Lupango.
Inashangaza! Kwa nimjuavyo Dr Slaa, hawezi kuwa na akaunti iliyokosewa jina kwa kujiita Dr Willibrord Slaa, badala ya Dr Wilbrod Slaa! Ni kweli hiyo ni fake account...
baada ya post hii nilitoa angalizo kama sio verified account ya slaa mods waiondoe kabisa na sio hata kuja kui-merge humu. sina mawazo hayo uliyonayo. wengine tunabaki kwenye uhalisia. propaganda tunawaachia nyie.Hii ni account feki, wanajamvii ipuuzeni tu! Haya tunasubiri mtoe singo nyingine....