MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,413
- 4,888
Hivi hilo gazeti linamilikiwa na gamba gani?
Mkuu hata mimi nashangaa maana kila habari ya uongo kuhusu UKAWA Dr. Slaa imeandikwa na haka kagazeti. Sielewi mchango mpya wa sheria mpya ya mtandao kwa nini haiingilii upoyoyo kama huu unaopotosha umma.