Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Nani amtishie huyo babu!!!! labda hilo sugar mammy lake (josphine) lililompa kilema cha mkono
sasa tofauti hapo iko wapi?agenda ya ufisadi illishazikwa huko haipo tena we bdo unaikumbuka? lol akishatubu tu anasameheewa ni silah hiyo ya kungoa mfumoHivi kweli Dr Slaa aondoke aliko ingia anaetuhumiwa ufisadi ahamie aliko fisadi mwenyewe !!???
Huyu mzee kweli Msaliti.
Dr.Slaa lazima ajue umuhimu wa kuigawa CCM.Na ujio wa Lowassa ni faida zaidi kwa chama na mageuzi.....Lowassa ameshajiandaa wakati naona Dr alikuwa bado.
basi mnabahati mbaya kila mtu anayewaza tofauti ni ninyi ni masaliti. ufalme wa giningiHuyu mzee kweli Msaliti.
Wewe na akili yako gazeti la rostam na bashe unaamini litasema kweli kuhusu Dr Slaa?Dk amesema anatishwa yeye na familia yake. Akielezea amezidi kusema kama ni mapenzi ya mungu yatimizwe mimi sitang"ang'ania.
Chanzo: Rfa magazeti/RAIA TANZANIA.
Chama kikuu cha upinzani Tanzania hakina access na katibu wake mkuu na wala hakionyeshi jitihada za kujua aliko kiko busy na Yule kiliemuita fisadi for years!
ni kweli akubaliane na maoni ya weng ila huo msemo w maoni ya wengi pia bado una utata. wengi wa aina gani wangapi wanaweza kua sawa na wachche wa aina nyingine wangapi? hawa wengi/ wa kugawiwa nguo/ zidumu fikira za mwenykiti ndo wawe sawa na thinker km slaa?Huyu jamaa swala lake lisipofanyiwa kazi haraka atakuwa mwiba kwa ukawa. Kinachoshangaza hata kama kweli source ni hayo magzt ya mrengo fulani mbona asijitokeze kupinga hadharani. Ni bora ukawa iamue either kumwondoa kabisa na kubadili mindset kuwa tunaweza hata bila slaa. Au kama bado ni mwanachama basi akubaliane na maoni ya wengi ndani ya chama. Lengo kubwa ni ushindi kwanza tofauti zingine ndogondogo kati ya mtu na mtu ni kuzitatua pembeni.
niUmekwenda mbali mno ndg. Dr Slaa kama mtz mwingine yeyote, anayo haki ya kuwa na maamuzi na msimamo wake. Lakini kama katibu wa CDM anatakiwa aweke wazi. Kama hawezi basi uongozi wa CDM utoe tamko rasmi kuhusu kinachoendelea. Kama kabwaga manyanga, tufahamu lakini tuheshimu maamuzi yake na kumtakia heri kwa amani.
Aibu kwa chadema kula matapishi huioni?kweli nyie misukule ya mbowe,na mbowe angekua basha.....
Raia Tanzania ni kijalida cha ccm! Ingawa mmiliki ni jenerali Ulimwengu lkn nashangaa saaanaa
Sikujua kama Dr. Slaa ana akili za namna hii.... Kweli 2010 tungempa urais tungepoteza sana kura zetu
Kama mtakavyopoteza kwa Lowassa ambaye HATAKUWA raisSikujua kama Dr. Slaa ana akili za namna hii.... Kweli 2010 tungempa urais tungepoteza sana kura zetu
Siamini kama gazeti la jenerali ulimwengu leo linaandika mavi kiasi hiki!!