Dr. Slaa: Natishwa

Dr. Slaa: Natishwa

Mtachemka tuu
..mmemkaribisha bundi ndani ya nyumba?mtarogeka mpaka vizazi vyenu nyie msio na fadhira wenye kuthamini mali na siyo utu...mnathubutu kumkejeli Dr.na kusahau mema yake yotee? Leo mnataka nchi hii?Loooo
 
Dr.Slaa hana akaunti Twitter na hiyo akaunti ni Fake

Ile ya Yerico mbona alikuja kuikanusha mwenyewe?? Acha kumsemea mtu ambaye anaweza kuja mwenyewe na kujisemea...nyie endeleeni ni FISADI PAPA wenu namjue hizo hela anazodai anapata kwa marafiki zake akichukua nchi atazirudishaje
 
Dr.Slaa hana akaunti Twitter na hiyo akaunti ni Fake

Inashangaza! Kwa nimjuavyo Dr Slaa, hawezi kuwa na akaunti iliyokosewa jina kwa kujiita Dr Willibrord Slaa, badala ya Dr Wilbrod Slaa! Ni kweli hiyo ni fake account...
 
Inashangaza! Kwa nimjuavyo Dr Slaa, hawezi kuwa na akaunti iliyokosewa jina kwa kujiita Dr Willibrord Slaa, badala ya Dr Wilbrod Slaa! Ni kweli hiyo ni fake account...

Hilo jina ni lake na hiyo account ni yake, nachofurahi mwenyewe katuonya tuwapuuze nyie mnaosema account hiyo sio yake
 
Ukawa mnatakiwa kumuomba radhi Slaa, kila akifikiri ile top ten, anaona bora abaki ndani tu...

Hakuna atayeombwa radhi. Mapambano yanaendelea. Km ameacha apumzike tu. Mapambano yanahitaji kila mtu lkn km mtu hataki huwezi kumforce
 
dr slaa hakuna anae muogopaa na ukitaka kujua nin anachokiamin cheki battle ya jana polepole vs msgwa utaelewa slaa anaamin nn
 
Mtachemka tuu
..mmemkaribisha bundi ndani ya nyumba?mtarogeka mpaka vizazi vyenu nyie msio na fadhira wenye kuthamini mali na siyo utu...mnathubutu kumkejeli Dr.na kusahau mema yake yotee? Leo mnataka nchi hii?Loooo

Huo ni utoto, kama kweli mnamwona Dr. ni mali kiasi hicho kwanini msimchukuwe? Mimi nadhani hilo kwenu ndo bonge la goli la mkononi, kumpata Dr.Slaa, kiongozi mwadilifu mpambanaji, Mungu awape nini? Sasa kulalamikia CDM kwamba hawana akili, wamekaribisha bundi ndani, hiyo si faida kwenu? Iweje sasa mtokwe na mapovu, kutumia hela na hila za kila namna kuangaika na mtu mchafu asiye uzika, mjinga takataka kama Lowasa?

Ningekuwa mimi nishatangaza ushindi, na hata kampeini nisingepiga, za ninj kupoteza pesa wakati unayepambana naye ni kapi, mlilolikataa nyinyi waheshimiwa mliopewa haki ya kutawala, mnaojua kila jambo wengine sisi kajuha tu? Acheni kupoteza muda wenu na mali zenu kwa kuangaika na Lowasa!

Miaka 8 imepita toka ajiuzuru mmeshindwa kumtoa chamani, leo kwa utashi wake aamue kutoka ndo muanze kuvimba mshipa y shingo kumsema? MlikuwaIwapi? Acheni siasaza kitoto! Najua mna hofu, na lazima iwakae, kwani akiingia madarakani mbivu na mbichi hamtaacha kuziona, hakika ndo mtamjua ufisadi wake, nyinyi si mnatuimbia tu fisadi fisadi, yeye atawaonesha kwa vitendo! Siku zinaesabika!
 
Kawaambia ukweli jamani,akili vichwani mwenu...huyo jembe banaa...subirini kidogo mtasikia cheche zake...huyo anajitambua hamuwezi kumpeleka peleka na njaa zenu, alisha sema na kuapa yeye na mafisadi MARUFUKUU...mkataka kumnunua kwa visenti ili akae kimyaa...huyo ndio Dr bwanaa...siyo huyo mganga wa kienyeji wenu Aikael ...
 
Ile ya Yerico mbona alikuja kuikanusha mwenyewe?? Acha kumsemea mtu ambaye anaweza kuja mwenyewe na kujisemea...nyie endeleeni ni FISADI PAPA wenu namjue hizo hela anazodai anapata kwa marafiki zake akichukua nchi atazirudishaje
mbona OBAMA kachangiwa sana. ulimuuliza anarudishaje. Afadhaki kuchangiwa kuliko kuchota benki kuu.
 
Ccm mwaka huu mtajuta,
Nyiee komaen na lowasa,
Huku kila mkoa wenyevit wanaachia ngazi?
 
Leo ndo nimeshtuka kama ni Fake account, Dr hawezi kukosea kuandika jina lake kiboya kiasi hicho! Eti aandike Willi hiyo haiwezekan!
 
Back
Top Bottom