Dr. Slaa: Natishwa

Dr. Slaa: Natishwa

Mussolin5 njoo huku utuondolee mtu wako umrudishe kule alipokukimbia

Nimemkimbia au yeye ndiye kanyoosha mikono hadi anawatumia members humu kuwa yaishe? au nikuwekee hapa pm za hao members ujiridhishe? Hakuna wa kunitisha humu haswa ktk vita ya cyber war na mimi na huyo huyo uliyemtaja hapo mwambie siku nyingine asipambane na id hii na zote hizo 13 asizozijua kwani ataumbuka. Wewe hujiulizi tu ni kwanini watu tupo humu 24/7? Mnalala mnatuacha na mnaamka mnatukuta? Si alisema kuwa ananijua tena kupitia sijui id's mbili na nikampa go ahead kuwa amwage vitu hadharani kisha na mimi nimwage vitu vya mkewe humu hadharani tena kwa picha na namba zake za simu. Members wenzako walilizima hili suala naona na wewe umelianzisha sasa msije mkanilaumu.
 
Leo hii ndio nimekuja kuamini kuwa ulevi wa pombe ni jambo baya sana sawa na laana tu. Asante Mungu.
 
Nimemkimbia au yeye ndiye kanyoosha mikono hadi anawatumia members humu kuwa yaishe? au nikuwekee hapa pm za hao members ujiridhishe? Hakuna wa kunitisha humu haswa ktk vita ya cyber war na mimi na huyo huyo uliyemtaja hapo mwambie siku nyingine asipambane na id hii na zote hizo 13 asizozijua kwani ataumbuka. Wewe hujiulizi tu ni kwanini watu tupo humu 24/7? Mnalala mnatuacha na mnaamka mnatukuta? Si alisema kuwa ananijua tena kupitia sijui id's mbili na nikampa go ahead kuwa amwage vitu hadharani kisha na mimi nimwage vitu vya mkewe humu hadharani tena kwa picha na namba zake za simu. Members wenzako walilizima hili suala naona na wewe umelianzisha sasa msije mkanilaumu.

Acha vitisho vya kizamani ww
 
Leo hii ndio nimekuja kuamini kuwa ulevi wa pombe ni jambo baya sana sawa na laana tu. Asante Mungu.

Wenzake wakina Ritz 1 na Huseein Mwinyi wanapiga pesa yeye amebaki kupayupayuka na kunywa Gongo.
 
Dr, tumeiona twitter yako. Hakika ni ya kwako. Tunaomba uwe jasiri, jitokeze useme kweli yako. Tufunge mjadala. Shujaa humuogopa mungu tu, sio watu.
 
Raia Tanzania nasikitsi sasa hivi wanapata malipo ya kipeperushi chaooka TSS manke gazet limeinga kenye mkmbo wa Jamb lo uru mzalendoo habri leo wananchi waeamua raisiwa misho toka ccm ni kikwete
 
Nimemkimbia au yeye ndiye kanyoosha mikono hadi anawatumia members humu kuwa yaishe? au nikuwekee hapa pm za hao members ujiridhishe? Hakuna wa kunitisha humu haswa ktk vita ya cyber war na mimi na huyo huyo uliyemtaja hapo mwambie siku nyingine asipambane na id hii na zote hizo 13 asizozijua kwani ataumbuka. Wewe hujiulizi tu ni kwanini watu tupo humu 24/7? Mnalala mnatuacha na mnaamka mnatukuta? Si alisema kuwa ananijua tena kupitia sijui id's mbili na nikampa go ahead kuwa amwage vitu hadharani kisha na mimi nimwage vitu vya mkewe humu hadharani tena kwa picha na namba zake za simu. Members wenzako walilizima hili suala naona na wewe umelianzisha sasa msije mkanilaumu.

kwa hiyo ukiwa jamvini masaa 24 siku saba kuna nn la zaidi hapo,,vitisho vya porini ivi mkuu.
 
Akaulize Israel mateka wa vita wanatunzwa kwa faida gani!kupata mbinu za adui ebo.
 
Ilimradi yeye yupo ccm bado wala asijali na sabuni za chadema maana hawanunulii yeye ni wenyewe chadema ndio watajua kama watumie komoa, mshindi, kodrai au gwanji za waha
 
Hakuna WA kumpinga Lowasa kuingia ikulu Oct,2015.. Watz tunataka mabadiliko, na mabdiliko hutokea ukawa izo nyingine n porojo za lumumba na mawakala WA majizi(ccm)
 
Kauli ya Mako imejaa hekima.Lowasa atachaguliwa tu na watu wenye itilafu kwenye bongo zao.
 
Mbona jamani hakuna mtu aliyesema atamsafisha Lowassa?Kama kujisafisha mwambieni Makongoro,Lowassa atajisafisha mwenyewe?

Hope Makongoro anajua ABC za ukatoliki na ukiwa MCHAFU unafanyeje...Basi uchafu wake huyo Lowassa atajua namna ya kuusafisha,siyo CDM,CUF,NCCR wala Mwanachama yoyote wa UKAWA atakayeweza kumsafisha Lowassa,Lowassa atajisafisha mwenyewe.Maana anayejua maovu yake ni Lowassa mwenyewe...

Siyo Pro-Lowassa lakini huku Tanzania mbona wachafu wengi sana?Huyu Lowassa ni kama kachembe kamoja ka tone kamoja tu ka chumvi ndani ya Beseni la maji baridi....

Jamani hata Mwenyekiti wa CHAMA CHA MAJAMBAZI naye ni mchafu,tena yawezekana ni MCHAFU kuliko LOWASSA.

Wakati wanapiga makelele ya kununu uongozi wako huko wengi asilimi 99 wamenunua watu kwenye kura za maoni.

Jamani anayesafisha wakosaji kwa wakristu ni aliyewaumba,siye wengine tusihukumu,kama kumuhukumu imetosha tumuache Mzee wa watu aendelee na safari yake...........
 
Nimemkimbia au yeye ndiye kanyoosha mikono hadi anawatumia members humu kuwa yaishe? au nikuwekee hapa pm za hao members ujiridhishe? Hakuna wa kunitisha humu haswa ktk vita ya cyber war na mimi na huyo huyo uliyemtaja hapo mwambie siku nyingine asipambane na id hii na zote hizo 13 asizozijua kwani ataumbuka. Wewe hujiulizi tu ni kwanini watu tupo humu 24/7? Mnalala mnatuacha na mnaamka mnatukuta? Si alisema kuwa ananijua tena kupitia sijui id's mbili na nikampa go ahead kuwa amwage vitu hadharani kisha na mimi nimwage vitu vya mkewe humu hadharani tena kwa picha na namba zake za simu. Members wenzako walilizima hili suala naona na wewe umelianzisha sasa msije mkanilaumu.

cc Mussolin5
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom