Dr. Slaa: Natishwa

Dr. Slaa: Natishwa

Swali la kumuuliza DR Slaa,amekubalije kuwa UKAWA yaani kuungana na vyama alivyowai kuvipinga alafu ajidai anamkataa Lowassa? N a hata kwako wewe unayeshabikia,unatakiwa ujiulize hivyo,Kuwa kama unamkataa Lowassa kupokelewa Chadema basi ungekataa na kuhoji kwanini waungane hao waliokuwa wanaonana maadui?
 
Swali la kumuuliza DR Slaa,amekubalije kuwa UKAWA yaani kuungana na vyama alivyowai kuvipinga alafu ajidai anamkataa Lowassa? N a hata kwako wewe unayeshabikia,unatakiwa ujiulize hivyo,Kuwa kama unamkataa Lowassa kupokelewa Chadema basi ungekataa na kuhoji kwanini waungane hao waliokuwa wanaonana maadui?

Ndio umeandika nini hapa sasa? Karibu mlimani city
 
Kama uliitiwa siasa kweli huwezi kukimbia na kuachana nayo kabisa maana ni kitu cha ndani yako ila Inawezekana Slaa yeye aliitiwa utumishi wa Mungu akakimbilia huku ndio maana hawezi kustahimili mabadiliko ya siasa yanapotokea!Labda ni ajabu kwake Kuona anayoyaona
Kama ni mkongwe wa siasa utaelewa ktk siasa hakuna uadui wa kudumu
Hao unaowataja UKAWA hawakuwa hivyo mwanzo wote walikuwa wanaonana wabaya wenyewe kwa wenyewe!Wakikashifiana kwenye kampeni!
Lakini kwanini hamkuoji mwanzoni uUKAWA ilipoanza kuungana na kuwa kitu kimoja wakati Mwanzo walikuwa ni maadui wakubwa?
Lakini mmeonaje ajabu kwa lowassa wakati mngetakiwa kuhoji kwanza mwanzo kwanini CHADEMA muungane na CUF au NCCR wakati mliwai kuwakashifu?Hilo ndilo linanifanya niyadharau maneno mnayoyahoji kuwa Kwanini CHADEMA kumkubali mtu waliyemkashifu mwanzo?
Kabla ya kuwahoji chadema hivyo,Mngewahoji Ukawa wenyewe kwanini wameungana Tena wakati walikuwa maadui wakikashifiana Wenyewe kwa Wenyewe?


 
Nitaendelea kuwaona Wanafki au mna yenu kwa lowassa!!!Kama mtashindwa kunijibu maswali hayo juu.Kama Chadema iliweza kuungana na Cuf mpaka leo wanaitwa UKAWA!Maanake wamesameana kwa yote!!!!Kilichowaunganisha Ukawa ndicho kilichoweza kumkaribisha Lowassa ,Chadema hata kama Mwanzo walishawai kumkashifu kwa lolote!!
Hiyo ndio Siasa ilivyo,Ndio maana ninamuona Slaa kama hajakomaa kisiasa Kwani huyo huyo Slaa aliyemkashifu Lowasa ndiye alikuwa akiwaponda CUF na vyama vingine vya upinzani wakati wa kampeni zake 2010!
Kwanini hamuhoji hayo alafu mnaliona la ajabu Kwa Lowassa wakati yaliyofanyika ni yale yale!
Swali la kumuuliza DR Slaa,amekubalije kuwa UKAWA yaani kuungana na vyama alivyowai kuvipinga alafu ajidai anamkataa Lowassa? N a hata kwako wewe unayeshabikia,unatakiwa ujiulize hivyo,Kuwa kama unamkataa Lowassa kupokelewa Chadema basi ungekataa na kuhoji kwanini waungane hao waliokuwa wanaonana maadui?

Tafakari,Chukua hatua!!!!!! Acha Siasa za kufuata Upepo hasa za Wanasiasa wa Kitanzania ambao hata HawajuiSiasa ikoje hasa kwa mataifa mengine makubwa yaliyotutangulia!!!!!!Duniani, Je ni Ajabu Mtu Kuhama chama chake na kuingia chama Kingine ambacho mwanzo alikuwa anakashifiwa nacho na akaja kushinda?FUATILIA MAMBO ACHA KUPELEKWA NA MANENO YA WATU
 
Hii habari imenisitua kidogo. kwa usalama kisiasa wa ukawa Mh. Mbowe alitolee maelezo hili haraka iwezekanavyo. Siasa hizi zisitufanye waendawazimu na hata kufikia kusahau utu wetu. Dr. Slaa kama kaamua kukaa pembeni (kama alivyofanya Prof. Lipumba) kwa kutokubaliana na yaliyotokea ni muhimu uamuzi wake uheshimiwe. na hiyo ndo demokrasia ya kweli. tusilazimishe tu hata ambavyo haviwezekani.
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
 
watu wa karibu tujuzeni kama hii ni ID ya Dr. Slaa kweli. Kama sio Tafadhali Mods iondoeni hii thread mapema kuondoa taharuki isiyokuwa na sababu.
 
Hiyo ni akaunti feki kwaajili ya watu wenye mchecheto kama wewe...
Mheshimiwa anaitwa Wilbroad na sio Willibroad...
Hakuna mtu anayeweza kukosea jina lake
 
watu wa karibu tujuzeni kama hii ni ID ya Dr. Slaa kweli. Kama sio Tafadhali Mods iondoeni hii thread mapema kuondoa taharuki isiyokuwa na sababu.

Hiyo ni fake,mheshimiwa anaitwa Wilbroad na sio willibroad..
Mtu makini kama yeye hawezi kukosea jina lake..
 
Dk slaa kadhalilishwa sana ha wezi wa nchi hii
 
Back
Top Bottom