Dr. Slaa, mbowe, wanachama and the top management

Dr. Slaa, mbowe, wanachama and the top management

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,361
Reaction score
6,441
Kwa vile akina Kabwe and Co. LTD wamekili makosa yao, wasamehe. Muanze ukurasa mpya. Hata Baba wa Taifa alimsamehe Bibi Titi (RIP) alipotaka kumpindua! Wageuzie na shavu la pili kujenga CHADEMA! Wamejifunza, inatosha.
 
Kwa vile akina Kabwe and Co. LTD wamekili makosa yao, wasamehe. Muanze ukurasa mpya. Hata Baba wa Taifa alimsamehe Bibi Titi (RIP) alipotaka kumpindua! Wageuzie na shavu la pili kujenga CHADEMA! Wamejifunza, inatosha.

Hizi hofu zenu zote ni kwa kuwa wote mnakiri uwezo mkubwa wa ZZK, na mnajua ukweli unaokuja kuwapata. Kama mnadhani alikuwa anakisaliti chama chenu kwa faida ya maccm basi jueni kuwa mmejiroga wenyewe kwani maamuzi yatawagharimu sana sana
 
Wazo zuri ndugu yangu na mimi navyomjua mhm,zitto ndo ataanza kupiga kazi to the extent hakuna shaka bila tofauti hamwezi kwenda,,ajifunze kitu hakuna maarufu kuliko chama,,,,wapi dr wald kaburu,lamwai,mabere, na wengine wenngi,,bila kumsahau kidenishi wao juliana shoza !chezea upepo wewe utapeperuka faster,,peoples poweerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hizi hofu zenu zote ni kwa kuwa wote mnakiri uwezo mkubwa wa ZZK, na mnajua ukweli unaokuja kuwapata. Kama mnadhani alikuwa anakisaliti chama chenu kwa faida ya maccm basi jueni kuwa mmejiroga wenyewe kwani maamuzi yatawagharimu sana sana

Ushauri wako ni upi hata kama si mwanaCDM
 
Hizi hofu zenu zote ni kwa kuwa wote mnakiri uwezo mkubwa wa ZZK, na mnajua ukweli unaokuja kuwapata. Kama mnadhani alikuwa anakisaliti chama chenu kwa faida ya maccm basi jueni kuwa mmejiroga wenyewe kwani maamuzi yatawagharimu sana sana

Pili, uwezo sio hoja, hakuna ambaye aliamini kuwa Tanzania ingelikuwa bila vita / au ilivyo sasa baada ya Nyerere kufa!
 
Kwamba waliandika waraka wa kukigawa chama/kikihujumu! Kutenda mambo nje ya katiba, sheria na miongozo ya chama wakiwa katika Top management!
Laiti kama wangekuwa na hatia kweli aminmi nakuambia, wangevuliwa uanachama siku ile ile kama walivyovuliwa akina Mwampamba.
 
ushauri mzuri mi naomba tuukubali tunaambiwa mchawi mkabizi mtoto amlee hataweza kumdhuru
 
wewe huna akili kabisa zinduka acha kushikiwa akili kwa hiyo zzk akifa cdm immekufa/au slaa/au mbowe>>Acha kukarii mambo utachelewa maisha..MAKALIO YA SUFURIA HAYAOGOPI MOTO....
 
wewe huna akili kabisa zinduka acha kushikiwa akili kwa hiyo zzk akifa cdm immekufa/au slaa/au mbowe>>Acha kukarii mambo utachelewa maisha..MAKALIO YA SUFURIA HAYAOGOPI MOTO....

Sasa matusi ya nini. Mbona unanitukana. Mimi ni muungwana sitakutukana. Nitakurudisha kwa mama yako na baba yako wakufundishe namna ya kuishi na watu katika mitandao hii! EE BABA YETU ULIYE MBINGUNI WASAMEHE HAWAJUI WALITENDALO. AMEN
 
Kwamba waliandika waraka wa kukigawa chama/kikihujumu! Kutenda mambo nje ya katiba, sheria na miongozo ya chama wakiwa katika Top management!

Hee kijana hayo mambo ya kukiri huwezi jua kuwa ni technique au ni dhamira kweli kutoka moyoni...Inaweza kuwa anakiri ili aendelee kuwepo chadema ili aendelee kukiharibu kwa mbinu yingine au ikitokea kufukuzwa basi ionekane uongozi ndio wanamuundia zengwe pamoja na kukiri makosa yake.

Nyoka ni nyoka tu hataweza badilika kuwa jongoo hata siku moja,sioni sababu ya kumuacha huyo mtu na kuendelea kuishi naye kwa taabu ya wasiwasi.

Hivi wewe utajisikiaje kuishi na mke ambaye utakuwa na wasiwasi naye kuwa mda wowote anaweza kukuua kwa sumu.nafikiri hata chakula chake hutakula,sasa hiyo ina maana gani ya kuishi na mtu wa namna hiyo.


Na je ni kweli huwa hafiki makao makuu ya chama,na kwanini?
 
ushauri mzuri mi naomba tuukubali tunaambiwa mchawi mkabizi mtoto amlee hataweza kumdhuru

Jaribu wewe kwa kwenda safari kisha umtume matumizi ya mkeo kupitia kwa mtu unayehisi anamdoe mkeo ili akusaidie kumfikishia!
 
ushauri mzuri mi naomba tuukubali tunaambiwa mchawi mkabizi mtoto amlee hataweza kumdhuru
Siamini ninachokisoma hapa. Hii ni dalili ya woga. Jiulizeni kwanini mnapatwa woga sasa hivi? Haya mawazo mbona sikuyaona wakati ule na badala yake mlikuwa mnashabikia kuwa wasaliti wote watolewe ndani ya chama. Ninachokiona hapa ni kuwa mmeanza kuuona ukweli kuhusu tuhuma anazo pewa ZZK, Pamoja na nguvu aliyonayo kukisambaratisha chama hata Kama ni asilimia 15 tu. Msiposimamia NGO Irudi kuwa chama hata nyie mtanyolewa tu. Ombeni MUNGU muendelee kubaki ndani ya kiza, Siku mkaona mwanga tu, you are the next
 
Hata sijielewi nasimamia wapi "Mbowe na wenzake vs Zitto na supporters wake".... ngoja niongeze glass moja ya juice nirudi kwa mke wangu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom