Chuki ya Mbowe na Dr. Slaa kwa Zitto yabainika!

Chuki ya Mbowe na Dr. Slaa kwa Zitto yabainika!

Status
Not open for further replies.

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,830
Wana Ukumbi,

Mpaka sasa wanachama wa CHADEMA na Watanzania wengine wenye mapenzi na chama hicho bado hawajawekwa wazi kuhusu kosa ambalo limemfukuzisha Zitto wadhifa wake ndani ya CHADEMA na majaribio kadhaa ya kumuondoa uanachama wake.

Zaidi zaidi wanachama wanasikia tetesi na vijihabari kuwa Zitto ni msaliti wa chama chake, lakini kimantiki hakuna hata chembe ya uthiitisho kuonyesha usaliti wake dhidi ya chake.

Kwa sababu hiyo ya kukosekana uthibitisho juu ya sababu za kutimuliwa kwa ZItto, ililazimu uchunguzi wa ziada ufanywe ili kubaini hasa chuki ya vigogo wa CHADEMA kwa ZItto inasababishwa na nini hasa?

Baada ya uchunguzi kukamilika, yafuatayo ndio yalibainika kuwasumbua sana viongozi wa CHADEMA na kufanya wakose amani pindi wamuonapo Zitto ndani ya chama chao:

ELIMU

Hapa sitaandika chochote zaidi ya kuambatanisha CV za wanasiasa wawili, yani Mbowe na Zitto. Kwa taarifa ni kwamba, Zitto ana tarajiwa kutunukiwa PhD yake hivi karibuni kwa kuwa tayari amekamilisha tafiti zake. Hongera Zitto. Kwa upande wa Mbowe, huyu aliishia kidato cha sita (6) ingawa HANA cheti cha kuhitimu, kwa maana alipata daraja sifuri (0).

SalutationHonourable
First Name: Kabwe
Middle Name:Zuberi
Last Name:Zitto
Constituent:Kigoma Kaskazini
Political Party:CHADEMA
Office Location:P.O.Box 325, Kigoma
Office Phone: +255 713 730 256
Ext.:
Office Fax: +255 22 2112538
Office E-mail: kzitto@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 24 September 1976

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="align: center"] Member picture
1403.jpg
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
School Name/Location Course/Degree/Award
Bucerius Law School, Germany
University of Dar es Salaam
Inwent -IHK, Bonn, Federal Republic of Germany
Galanos Secondary School
Tosamaganga Secondary School
Kigoma Secondary School
Kibohehe Secondary School
Kigoma Primary School
Otto Beisheim School of Management, Germany

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]MLB[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]

[TD="align: center"]BA (Economics )[/TD]
[TD="align: center"]1999[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE[/TD]

[TD="align: center"]Advanced Training on International Marketing[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]
[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]

[TD="align: center"]PhD[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]
[TD="align: center"]NOT COMPLETED[/TD]
Company Name
Ministry of Finance - PSU (NSA Support for Cotonou Agreement)Moderator
Ministry of Finance -Tanzania & Ministry of Trade & IndustriesEvent Manager
The Parliament of TanzaniaMember - Kigoma North
IHK - Bonn & TIC-Tanzania (Business Mission to SIAL Pans)Project Manager
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMADirector, Campaigns and Elections
Friedrich Ebert Foundation - FESProject Manager
Tanzania Gender Network (TGNP)Training & Research Internship
National Youth Forum (NYF)Programme Officer

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]2004[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]

[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
CHADEMADeputy Secretary General
CHADEMASecretary Parliamentary Group
CHADEMADirector Foreign Office
DARUSOSecretary General
Tanzania Students Networking Programme (TSNP)Chief Executive Officer

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]

[TD="align: center"]2001[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]

KUKUBALIKA KITAIFA NA KIMATAIFA

Ni ukweli usiohitaji mjadala kuwa ZItto ana jina kubwa ndani na nje ya nchi linapokuja suala la siasa safi za kujenga hoja. Ingawa sipingi kuwa wapo wanasiasa wenye jina kama Lema, lakini tukiangalia kilichowapa jina sio kitu cha kujivunia kabisa. Kwa mfano wote tunajua kuwa Lema bila ya sakata la kuliwa "mtaro wa majitaka" asingepata jina kwenye siasa.

View attachment 163421Akiwa na rais Kikwete View attachment 163422Akiwa na balozi wa marekani nchini

UZALENDO USIO PIMIKA

Kwenye uzalendo na mapenzi mema ya nchi, Zitto hana wa kumtolea mfano. Kwa hali ya kawaida, mwanasiasa kama Zitto kukubali kuteseka na kuumia kwenye mafunzo ya "national service" sio jambo dogo. Ni mtu mwenye uzalendo tu ndiye atakubali kujumuika kwenye mafunzo yale. Tuliopita tunajua hali ya kule. Kama itakumbukwa, Mbowe, Nassari, Lema na wengineo waliogopa kabisa kushiriki.

View attachment 163420


Kwa ufupi tu ni kwamba, haya machache ndio yanawatia hofu na wasiwasi vigogo wa CHADEMA juu ya hatma yao endapo Zitto akiendelea kubakia CHADEMA. Woga huo wa Mbowe na Dr Slaa ndio umepelekea vigogo hao kumuanzishia visa na mikasa Zitto kwa namna tofauti tofauti ili tu watimize azma yao ya kumuondoa kwenye chama chao.

"Zitto huenda akafutwa CHADEMA. Lakini kamwe hawezi kufutwa mioyoni mwa Watanzania"
 
Kama anakubalik kimataifa si aanzishe mambo yake akubalike zaidi kimataifa,cdm tunasema hatumtaki kwann anakomalia si aende?


Kwan elimu ni nini ww,mbna pro. magembe kila wizara inamshinda na anaitwa prof. ?

Kwan cdm aliambia atakufa nae,uzalendo si auonyeshe kwa nchi,sie hatuitaji uzalendo wake wa kijinga. Huku anakula. pesa za mashirika ya umma.


Ye si mwanaume kwann akazane kukatalia cdm ambayo yy amekuta wanaume washaanzisha? ,si ajenge chake kama anaona sie hatuna sifa za kuwa na chama? .

Nyambaf. u mkubwa ww
 
Mleta mada huwa anahangaika sana! Pole sana mkuu.
 
Utumbo mwingine bwana!!! Hivi mtu kupiga picha na mzungu ndo kukubalika kimataifa?
 
Zitto kwishney magamba walimtumia tu kama kondomu ili kuvuruga upinzani. Kondomu sasa imekwisha matumizi yake! CCM hebu mchukueni sasa mmfanye kuwa mwenyekiti wenu wa CCM taifa tuone!
 
Utumbo mwingine bwana!!! Hivi mtu kupiga picha na mzungu ndo kukubalika kimataifa?

Kumbe hata hujui ni nani kapiga nae picha!? Wewe hili jukwaa sio kwa ajili yako. Akili zako bado hazijapevuka vya kutosha kushiriki hii mijadala.
 
Hivi shida ni Mazishi ya Ghafla ya mama SHida na Harusi iliyopangwa siku nyingi sana ya Nassery?Zitto anajipa shida sana:Anataabika sana.....sasa km ana vyote hivyo anavyotaka tuamini mbona sana anajitesa hivi?au ndio ile kufukuzwa kunauma....historia inaonyesha Mtalikiwa hachoki kutaka jua Ex-wake anaendelea vipi ana fanya nini?Je ananimiss au lah..akisikia hakuna kummiss anaumia zaidi kuwa nilichokwa siku nyingi...anaamua singizia kuwa alikuwa hanipendi mbaya kabisa..........Tatizo la Zitto hakupenda iambia akili yake kuwa HE IS A MUCH SMALLER DOG TO TAKE THIS FIGHT.Alimiss calcuate sna kuona mbowe anacheka nae, anakula nae anamwita mheshimiwa..akadhani keshambit ..akadhani anaweza mpiindua km anavyokimbizana na wanawake wa watu wa karibu naye....kajipa fight kubwa sana kwake unfairly....
 
Wana Ukumbi,

Mpaka sasa wanachama wa CHADEMA na Watanzania wengine wenye mapenzi na chama hicho bado hawajawekwa wazi kuhusu kosa ambalo limemfukuzisha Zitto wadhifa wake ndani ya CHADEMA na majaribio kadhaa ya kumuondoa uanachama wake.

Zaidi zaidi wanachama wanasikia tetesi na vijihabari kuwa Zitto ni msaliti wa chama chake, lakini kimantiki hakuna hata chembe ya uthiitisho kuonyesha usaliti wake dhidi ya chake.

Kwa sababu hiyo ya kukosekana uthibitisho juu ya sababu za kutimuliwa kwa ZItto, ililazimu uchunguzi wa ziada ufanywe ili kubaini hasa chuki ya vigogo wa CHADEMA kwa ZItto inasababishwa na nini hasa?

Baada ya uchunguzi kukamilika, yafuatayo ndio yalibainika kuwasumbua sana viongozi wa CHADEMA na kufanya wakose amani pindi wamuonapo Zitto ndani ya chama chao:

ELIMU

Hapa sitaandika chochote zaidi ya kuambatanisha CV za wanasiasa wawili, yani Mbowe na Zitto. Kwa taarifa ni kwamba, Zitto ana tarajiwa kutunukiwa PhD yake hivi karibuni kwa kuwa tayari amekamilisha tafiti zake. Hongera Zitto. Kwa upande wa Mbowe, huyu aliishia kidato cha sita (6) ingawa HANA cheti cha kuhitimu, kwa maana alipata daraja sifuri (0).

SalutationHonourable
First Name: Kabwe
Middle Name:Zuberi
Last Name:Zitto
Constituent:Kigoma Kaskazini
Political Party:CHADEMA
Office Location:P.O.Box 325, Kigoma
Office Phone: +255 713 730 256
Ext.:
Office Fax: +255 22 2112538
Office E-mail: kzitto@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 24 September 1976

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="align: center"] Member picture
1403.jpg
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
School Name/Location Course/Degree/Award
Bucerius Law School, Germany
University of Dar es Salaam
Inwent -IHK, Bonn, Federal Republic of Germany
Galanos Secondary School
Tosamaganga Secondary School
Kigoma Secondary School
Kibohehe Secondary School
Kigoma Primary School
Otto Beisheim School of Management, Germany

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="align: center"] Start Date [/TH]
[TH="align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]MLB[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]

[TD="align: center"]BA (Economics )[/TD]
[TD="align: center"]1999[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE[/TD]

[TD="align: center"]Advanced Training on International Marketing[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]
[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]

[TD="align: center"]PhD[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]
[TD="align: center"]NOT COMPLETED[/TD]
Company Name
Ministry of Finance - PSU (NSA Support for Cotonou Agreement)Moderator
Ministry of Finance -Tanzania & Ministry of Trade & IndustriesEvent Manager
The Parliament of TanzaniaMember - Kigoma North
IHK - Bonn & TIC-Tanzania (Business Mission to SIAL Pans)Project Manager
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMADirector, Campaigns and Elections
Friedrich Ebert Foundation - FESProject Manager
Tanzania Gender Network (TGNP)Training & Research Internship
National Youth Forum (NYF)Programme Officer

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]2004[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]

[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
CHADEMADeputy Secretary General
CHADEMASecretary Parliamentary Group
CHADEMADirector Foreign Office
DARUSOSecretary General
Tanzania Students Networking Programme (TSNP)Chief Executive Officer

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]

[TD="align: center"]2001[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]

KUKUBALIKA KITAIFA NA KIMATAIFA

Ni ukweli usiohitaji mjadala kuwa ZItto ana jina kubwa ndani na nje ya nchi linapokuja suala la siasa safi za kujenga hoja. Ingawa sipingi kuwa wapo wanasiasa wenye jina kama Lema, lakini tukiangalia kilichowapa jina sio kitu cha kujivunia kabisa. Kwa mfano wote tunajua kuwa Lema bila ya sakata la kuliwa "mtaro wa majitaka" asingepata jina kwenye siasa.

View attachment 163421Akiwa na rais Kikwete View attachment 163422Akiwa na balozi wa marekani nchini

UZALENDO USIO PIMIKA

Kwenye uzalendo na mapenzi mema ya nchi, Zitto hana wa kumtolea mfano. Kwa hali ya kawaida, mwanasiasa kama Zitto kukubali kuteseka na kuumia kwenye mafunzo ya "national service" sio jambo dogo. Ni mtu mwenye uzalendo tu ndiye atakubali kujumuika kwenye mafunzo yale. Tuliopita tunajua hali ya kule. Kama itakumbukwa, Mbowe, Nassari, Lema na wengineo waliogopa kabisa kushiriki.

View attachment 163420


Kwa ufupi tu ni kwamba, haya machache ndio yanawatia hofu na wasiwasi vigogo wa CHADEMA juu ya hatma yao endapo Zitto akiendelea kubakia CHADEMA. Woga huo wa Mbowe na Dr Slaa ndio umepelekea vigogo hao kumuanzishia visa na mikasa Zitto kwa namna tofauti tofauti ili tu watimize azma yao ya kumuondoa kwenye chama chao.

"Zitto huenda akafutwa CHADEMA. Lakini kamwe hawezi kufutwa mioyoni mwa Watanzania"



Lakini ni nani anayewakimbia wenzake? Ni ZITTO KABWE au ni hao CHADEMA ?

Mama yake ZITTO KABWE alikuwa MJUMBE wa KAMATI KUU YA CHADEMA TAIFA... HIYO kamati imekutana na Imeweka MUDA wa KUOMBOLEZA kifo chake... Sasa haujui kama wametuma RambiRambi na Mjumbe alitumwa ambaye Mimi na wewe hatumjui kwasababu ya VITISHO na MBINDE kuhusu kitu kinaitwa CHADEMA huko KIGOMA...

So... Safety 1st ---- Au Ulitaka waende waaibike IWE ndio the TOP of YOUR TOPIC??? JUST LOVE TO HUMILIATE HUMAN BEING... eh???

ZITTO Kufutwa MIOYONI Mwa Watanzania inawezekana kabisaaa kwasababu yeye sio Mpenda watanzania; Lakini labda kwenye MIOYO ya hao wa KIGOMA labda sababu ana ile tabia ya KIBAGUZI na U-MIMI... sidhani WATANZANIA are fond of such kind of a person...


c.c
PATIENT ZERO
 
Zitto ameshaanzisha chama chake cha ACT anayemtaka amfuate huko. Huu upumbavu wenu nyani wa lumumba tumeuchoka.
 
Vipi ulifanya utafiti kwa nini maprofesa wengi waliopo ccm wanafeli katika majukumu yao mengi ya kitaifa? Je pia ulifanya utafiti kwa nini jk elimu yake ni kadigri kamoja ka gentlemen ilhali anawaongoza maprofesa na wasomi ndani ya ccm? Hongera kwa kumpamba zitto!
 
Only a fool can stand on the side of hypocricy
 
Acha kupotosha watu wewe kenge,fuatilia habari,ina maana wakati anapewa rushwa na ccm ili aisambaratishe chadema hukusoma??msiwe mnapotosha watu,kama zitto kakupa pesa ili uandike utumbo humu acha kutuhadaa wananchi tunajua kilichomtoa zitto
 
mkuu kumbe mbowe alitaga? da! hii nilikuwa sijui kabisa.

Wana Ukumbi,

Mpaka sasa wanachama wa CHADEMA na Watanzania wengine wenye mapenzi na chama hicho bado hawajawekwa wazi kuhusu kosa ambalo limemfukuzisha Zitto wadhifa wake ndani ya CHADEMA na majaribio kadhaa ya kumuondoa uanachama wake.

Zaidi zaidi wanachama wanasikia tetesi na vijihabari kuwa Zitto ni msaliti wa chama chake, lakini kimantiki hakuna hata chembe ya uthiitisho kuonyesha usaliti wake dhidi ya chake.

Kwa sababu hiyo ya kukosekana uthibitisho juu ya sababu za kutimuliwa kwa ZItto, ililazimu uchunguzi wa ziada ufanywe ili kubaini hasa chuki ya vigogo wa CHADEMA kwa ZItto inasababishwa na nini hasa?

Baada ya uchunguzi kukamilika, yafuatayo ndio yalibainika kuwasumbua sana viongozi wa CHADEMA na kufanya wakose amani pindi wamuonapo Zitto ndani ya chama chao:

ELIMU

Hapa sitaandika chochote zaidi ya kuambatanisha CV za wanasiasa wawili, yani Mbowe na Zitto. Kwa taarifa ni kwamba, Zitto ana tarajiwa kutunukiwa PhD yake hivi karibuni kwa kuwa tayari amekamilisha tafiti zake. Hongera Zitto. Kwa upande wa Mbowe, huyu aliishia kidato cha sita (6) ingawa HANA cheti cha kuhitimu, kwa maana alipata daraja sifuri (0).

SalutationHonourable
First Name: Kabwe
Middle Name:Zuberi
Last Name:Zitto
Constituent:Kigoma Kaskazini
Political Party:CHADEMA
Office Location:P.O.Box 325, Kigoma
Office Phone: +255 713 730 256
Ext.:
Office Fax: +255 22 2112538
Office E-mail: kzitto@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 24 September 1976

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="align: center"] Member picture
1403.jpg
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
School Name/Location Course/Degree/Award
Bucerius Law School, Germany
University of Dar es Salaam
Inwent -IHK, Bonn, Federal Republic of Germany
Galanos Secondary School
Tosamaganga Secondary School
Kigoma Secondary School
Kibohehe Secondary School
Kigoma Primary School
Otto Beisheim School of Management, Germany

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]MLB[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]

[TD="align: center"]BA (Economics )[/TD]
[TD="align: center"]1999[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE[/TD]

[TD="align: center"]Advanced Training on International Marketing[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]
[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]

[TD="align: center"]PhD[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]
[TD="align: center"]NOT COMPLETED[/TD]
Company Name
Ministry of Finance - PSU (NSA Support for Cotonou Agreement)Moderator
Ministry of Finance -Tanzania & Ministry of Trade & IndustriesEvent Manager
The Parliament of TanzaniaMember - Kigoma North
IHK - Bonn & TIC-Tanzania (Business Mission to SIAL Pans)Project Manager
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo - CHADEMADirector, Campaigns and Elections
Friedrich Ebert Foundation - FESProject Manager
Tanzania Gender Network (TGNP)Training & Research Internship
National Youth Forum (NYF)Programme Officer

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]2004[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]

[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2002[/TD]
CHADEMADeputy Secretary General
CHADEMASecretary Parliamentary Group
CHADEMADirector Foreign Office
DARUSOSecretary General
Tanzania Students Networking Programme (TSNP)Chief Executive Officer

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2004[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2002[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]

[TD="align: center"]2001[/TD]
[TD="align: center"]2003[/TD]

KUKUBALIKA KITAIFA NA KIMATAIFA

Ni ukweli usiohitaji mjadala kuwa ZItto ana jina kubwa ndani na nje ya nchi linapokuja suala la siasa safi za kujenga hoja. Ingawa sipingi kuwa wapo wanasiasa wenye jina kama Lema, lakini tukiangalia kilichowapa jina sio kitu cha kujivunia kabisa. Kwa mfano wote tunajua kuwa Lema bila ya sakata la kuliwa "mtaro wa majitaka" asingepata jina kwenye siasa.

View attachment 163421Akiwa na rais Kikwete View attachment 163422Akiwa na balozi wa marekani nchini

UZALENDO USIO PIMIKA

Kwenye uzalendo na mapenzi mema ya nchi, Zitto hana wa kumtolea mfano. Kwa hali ya kawaida, mwanasiasa kama Zitto kukubali kuteseka na kuumia kwenye mafunzo ya "national service" sio jambo dogo. Ni mtu mwenye uzalendo tu ndiye atakubali kujumuika kwenye mafunzo yale. Tuliopita tunajua hali ya kule. Kama itakumbukwa, Mbowe, Nassari, Lema na wengineo waliogopa kabisa kushiriki.

View attachment 163420


Kwa ufupi tu ni kwamba, haya machache ndio yanawatia hofu na wasiwasi vigogo wa CHADEMA juu ya hatma yao endapo Zitto akiendelea kubakia CHADEMA. Woga huo wa Mbowe na Dr Slaa ndio umepelekea vigogo hao kumuanzishia visa na mikasa Zitto kwa namna tofauti tofauti ili tu watimize azma yao ya kumuondoa kwenye chama chao.

"Zitto huenda akafutwa CHADEMA. Lakini kamwe hawezi kufutwa mioyoni mwa Watanzania"
 
Vipi ulifanya utafiti kwa nini maprofesa wengi waliopo ccm wanafeli katika majukumu yao mengi ya kitaifa? Je pia ulifanya utafiti kwa nini jk elimu yake ni kadigri kamoja ka gentlemen ilhali anawaongoza maprofesa na wasomi ndani ya ccm? Hongera kwa kumpamba zitto!
usisahau pia JK anawongoza hata wazazi wako, wewe mwenyewe wakiwemo hao unaowaabudu akina slaa na mbowe. na wakiitwa kwenda kunywa juice ikulu wanaenda.
 


Lakini ni nani anayewakimbia wenzake? Ni ZITTO KABWE au ni hao CHADEMA ?

Mama yake ZITTO KABWE alikuwa MJUMBE wa KAMATI KUU YA CHADEMA TAIFA... HIYO kamati imekutana na Imeweka MUDA wa KUOMBOLEZA kifo chake... Sasa haujui kama wametuma RambiRambi na Mjumbe alitumwa ambaye Mimi na wewe hatumjui kwasababu ya VITISHO na MBINDE kuhusu kitu kinaitwa CHADEMA huko KIGOMA...

So... Safety 1st ---- Au Ulitaka waende waaibike IWE ndio the TOP of YOUR TOPIC??? JUST LOVE TO HUMILIATE HUMAN BEING... eh???

ZITTO Kufutwa MIOYONI Mwa Watanzania inawezekana kabisaaa kwasababu yeye sio Mpenda watanzania; Lakini labda kwenye MIOYO ya hao wa KIGOMA labda sababu ana ile tabia ya KIBAGUZI na U-MIMI... sidhani WATANZANIA are fond of such kind of a person...


c.c
PATIENT ZERO
Niliwahi kuandika hapa,maneno ya kijinga yalisababisha karibu watu watolewe roho msiba wa Chacha Wangwe huo Tarime.Wajinga wangependa yatokee tena Kigoma.
Yote kwa yote,ZZK anatakiwa atoke mafichoni na awakanushe au kuwa support watu watu wanaoneza ujinga katika mitandao.
 
Jana mlitueleza hapa kwamba ACT-Tanzania ni JIPU LA KWAPA! Ukiinua mkono linauma, ukiteremsha mkono linauma, ukitulia tuli linauma .............. Sasa hizi "mboyoyo" zote za nini?! Kweli MALAYA ni MALAYA tu haachi asili yake! Malaya aliyezoea KUHONGWA pesa (blood money) hawezi kufanya kazi ya halali. CCM wamekutumia kama kondomu sasa kwishney, hawawezi kuendelea kukuhonga pesa za bure tena wakati matumizi yako yamewisha. You wrote your own political obituary Mr. Zitto Zuberi Kabwe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom