Dr. Slaa & Mbowe, Right timing but wrong Strategy!!!!

nyantella

JF-Expert Member
Dec 17, 2010
889
180

Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona udhaifu mkubwa au kutokuwapo ma-strategists wazuri CDM. Sababu za kusema hivyo ni kama zifuatazo:
  1. Mnataka wananchi wawaunge mkono kuandamana nchi nzima kama walivyofanya Tunisia, Egypt, Libya na nchi nyinginezo za kiarabu ili kumng'oa JK na serikali yake madarakani, kwa ajili ya kupinga hali ngumu maisha kwa wananchi, ufisadi na sababu nyingine nyingi. Ni kweli serikali ina mapungufu hayo, na wananchi woote wanajua. Tatizo ni kwamba, ni kwanini Wewe Dr. Slaa na Mbowe ndio muwaambie si wanayajua matatizo yao wenyewe??
  2. Kama ni kufuata mfano wa Tunisia, Egypt, Libya, Hivi huko kwao kuna mtu au watu mithili ya Slaa, Mbowe au for that chama kama CDM kilicho waambia watoke mtaani kuandamana??? si wametoka wenyewe hamna wa kuwaambia fanya hiki wala kile wametoka na lao ni moja serikali itoke na wamefanikiwa!!
  3. Katika mila na desturi zetu za kiafrika huwa tunashirikiana katika shughuli mbali mbali za kijamii ikowemo misiba na sherehe mbali mbali, katika msiba mara nyingi kuna waombolezaji wa aina tatu, wanandugu mara nyingi huwa wanalia kwa huzuni na ni rahisi kuwa gundua, kuna marafiki na majirani, lakini kuna watu wengine tu hulia kwa makelele saana hata kupita ndugu wa marehemu, CDM wanalia kama hilo kundi la tatu!! kwa nini? kwa nini tusilie pamoja kama wana ndugu (CUF,TLP,NCCR,UDP n.k) kwa nini CDM msiba wetu sote Watanzania wanalia kwa makelele? lipo tatizo hapo!
  4. Kuna vurugu zilitokea Arusha watu wakapoteza maisha, story zikawa nyiiiiingi ila watu wa Arusha pamoja na uongozi wa CDM hasa Slaa wanajua sababu ya hizo vurugu, Police kwa upande wao wametoa utetezi wa video ya matukio yote kwenye vyombo vya habari, CDM (Slaa) ikaahidi kujibu mapigo na kweli amejibu cd ziko sokoni!!! zinauzwa tena kwa Mujibu wa Mh. Regia Mtema, zinauzwa sh. 6000/=, kwa nini CDM iuze kanda mtaani badala ya kupeleka ubalozi wa EU, Wingereza, Marekani, au kwingineko kokote kuonyesha jinsi TZ isivyo kuwa democratic state ili CDM ipata hiyo sifa inayotaka? na pesa ya hiyo filamu inaenda kwa nani?
  5. Hivi CDM wanafikiri kama serikali ya CCM itapinduliwa kwa maandamano wakati watu watalifananisha hili na yale ya Tunisia, Egypt, Libya!! , this is being naive!!! maana itaonekana ni CDM na Slaa na wamepindua nchi baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana!! hivyo CDM haiata kuwa imeingia madarakani kihalali wala kidemokrasia!! hili mbona liko wazi??.
So far naona niishie hapo. naomba nieleweke kwamba i am an independet thinker so I hate baadhi wana JF wanaopenda kutukana wenzao ni vyema mtu ukajibu hoja ndio utakisaidia chama chako na sii kukilinda kwa matusi. thanks an I am out.
 
[*]Kuna vurugu zilitokea Arusha watu wakapoteza maisha, story zikawa nyiiiiingi ila watu wa Arusha pamoja na uongozi wa CDM hasa Slaa wanajua sababu ya hizo vurugu, Police kwa upande wao wametoa utetezi wa video ya matukio yote kwenye vyombo vya habari, CDM (Slaa) ikaahidi kujibu mapigo na kweli amejibu cd ziko sokoni!!! zinauzwa tena kwa Mujibu wa Mh. Regia Mtema, zinauzwa sh. 6000/=, kwa nini CDM iuze kanda mtaani badala ya kupeleka ubalozi wa EU, Wingereza, Marekani, au kwingineko kokote kuonyesha jinsi TZ isivyo kuwa democratic state ili CDM ipata hiyo sifa inayotaka? na pesa ya hiyo filamu inaenda kwa nani?

mtaani ndio kuna wapiga kura wa TZ na sio ubalozi wa uingereza, eu or us. chadema wanawajibikwa kwanza kwa watz before any outsider. they (wazungu) knows tz is not a democratic state, they follow the events very closely ila wanasubiria tu watu waamke zaidi ndio na wao waanze kuongea lakini sisi tukilala wao ni business as usual
 

Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona udhaifu mkubwa au kutokuwapo ma-strategists wazuri CDM. Sababu za kusema hivyo ni kama zifuatazo:

  1. Mnataka wananchi wawaunge mkono kuandamana nchi nzima kama walivyofanya Tunisia, Egypt, Libya na nchi nyinginezo za kiarabu ili kumng'oa JK na serikali yake madarakani, kwa ajili ya kupinga hali ngumu maisha kwa wananchi, ufisadi na sababu nyingine nyingi. Ni kweli serikali ina mapungufu hayo, na wananchi woote wanajua. Tatizo ni kwamba, ni kwanini Wewe Dr. Slaa na Mbowe ndio muwaambie si wanayajua matatizo yao wenyewe??
  2. Kama ni kufuata mfano wa Tunisia, Egypt, Libya, Hivi huko kwao kuna mtu au watu mithili ya Slaa, Mbowe au for that chama kama CDM kilicho waambia watoke mtaani kuandamana??? si wametoka wenyewe hamna wa kuwaambia fanya hiki wala kile wametoka na lao ni moja serikali itoke na wamefanikiwa!!
  3. Katika mila na desturi zetu za kiafrika huwa tunashirikiana katika shughuli mbali mbali za kijamii ikowemo misiba na sherehe mbali mbali, katika msiba mara nyingi kuna waombolezaji wa aina tatu, wanandugu mara nyingi huwa wanalia kwa huzuni na ni rahisi kuwa gundua, kuna marafiki na majirani, lakini kuna watu wengine tu hulia kwa makelele saana hata kupita ndugu wa marehemu, CDM wanalia kama hilo kundi la tatu!! kwa nini? kwa nini tusilie pamoja kama wana ndugu (CUF,TLP,NCCR,UDP n.k) kwa nini CDM msiba wetu sote Watanzania wanalia kwa makelele? lipo tatizo hapo!
  4. Kuna vurugu zilitokea Arusha watu wakapoteza maisha, story zikawa nyiiiiingi ila watu wa Arusha pamoja na uongozi wa CDM hasa Slaa wanajua sababu ya hizo vurugu, Police kwa upande wao wametoa utetezi wa video ya matukio yote kwenye vyombo vya habari, CDM (Slaa) ikaahidi kujibu mapigo na kweli amejibu cd ziko sokoni!!! zinauzwa tena kwa Mujibu wa Mh. Regia Mtema, zinauzwa sh. 6000/=, kwa nini CDM iuze kanda mtaani badala ya kupeleka ubalozi wa EU, Wingereza, Marekani, au kwingineko kokote kuonyesha jinsi TZ isivyo kuwa democratic state ili CDM ipata hiyo sifa inayotaka? na pesa ya hiyo filamu inaenda kwa nani?
  5. Hivi CDM wanafikiri kama serikali ya CCM itapinduliwa kwa maandamano wakati watu watalifananisha hili na yale ya Tunisia, Egypt, Libya!! , this is being naive!!! maana itaonekana ni CDM na Slaa na wamepindua nchi baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana!! hivyo CDM haiata kuwa imeingia madarakani kihalali wala kidemokrasia!! hili mbona liko wazi??.
So far naona niishie hapo. naomba nieleweke kwamba i am an independet thinker so I hate baadhi wana JF wanaopenda kutukana wenzao ni vyema mtu ukajibu hoja ndio utakisaidia chama chako na sii kukilinda kwa matusi. thanks an I am out.

anagalia falsafa ya peoples power ya CHADEMA ipo tangu august 13, 2006 chama kilipofanyiwa reforms ..... Falsafa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo
 

Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona udhaifu mkubwa au kutokuwapo ma-strategists wazuri CDM. Sababu za kusema hivyo ni kama zifuatazo:

  1. Mnataka wananchi wawaunge mkono kuandamana nchi nzima kama walivyofanya Tunisia, Egypt, Libya na nchi nyinginezo za kiarabu ili kumng'oa JK na serikali yake madarakani, kwa ajili ya kupinga hali ngumu maisha kwa wananchi, ufisadi na sababu nyingine nyingi. Ni kweli serikali ina mapungufu hayo, na wananchi woote wanajua. Tatizo ni kwamba, ni kwanini Wewe Dr. Slaa na Mbowe ndio muwaambie si wanayajua matatizo yao wenyewe??
  2. Kama ni kufuata mfano wa Tunisia, Egypt, Libya, Hivi huko kwao kuna mtu au watu mithili ya Slaa, Mbowe au for that chama kama CDM kilicho waambia watoke mtaani kuandamana??? si wametoka wenyewe hamna wa kuwaambia fanya hiki wala kile wametoka na lao ni moja serikali itoke na wamefanikiwa!!
  3. Katika mila na desturi zetu za kiafrika huwa tunashirikiana katika shughuli mbali mbali za kijamii ikowemo misiba na sherehe mbali mbali, katika msiba mara nyingi kuna waombolezaji wa aina tatu, wanandugu mara nyingi huwa wanalia kwa huzuni na ni rahisi kuwa gundua, kuna marafiki na majirani, lakini kuna watu wengine tu hulia kwa makelele saana hata kupita ndugu wa marehemu, CDM wanalia kama hilo kundi la tatu!! kwa nini? kwa nini tusilie pamoja kama wana ndugu (CUF,TLP,NCCR,UDP n.k) kwa nini CDM msiba wetu sote Watanzania wanalia kwa makelele? lipo tatizo hapo!
  4. Kuna vurugu zilitokea Arusha watu wakapoteza maisha, story zikawa nyiiiiingi ila watu wa Arusha pamoja na uongozi wa CDM hasa Slaa wanajua sababu ya hizo vurugu, Police kwa upande wao wametoa utetezi wa video ya matukio yote kwenye vyombo vya habari, CDM (Slaa) ikaahidi kujibu mapigo na kweli amejibu cd ziko sokoni!!! zinauzwa tena kwa Mujibu wa Mh. Regia Mtema, zinauzwa sh. 6000/=, kwa nini CDM iuze kanda mtaani badala ya kupeleka ubalozi wa EU, Wingereza, Marekani, au kwingineko kokote kuonyesha jinsi TZ isivyo kuwa democratic state ili CDM ipata hiyo sifa inayotaka? na pesa ya hiyo filamu inaenda kwa nani?
  5. Hivi CDM wanafikiri kama serikali ya CCM itapinduliwa kwa maandamano wakati watu watalifananisha hili na yale ya Tunisia, Egypt, Libya!! , this is being naive!!! maana itaonekana ni CDM na Slaa na wamepindua nchi baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana!! hivyo CDM haiata kuwa imeingia madarakani kihalali wala kidemokrasia!! hili mbona liko wazi??.
So far naona niishie hapo. naomba nieleweke kwamba i am an independet thinker so I hate baadhi wana JF wanaopenda kutukana wenzao ni vyema mtu ukajibu hoja ndio utakisaidia chama chako na sii kukilinda kwa matusi. thanks an I am out.

For me this a timing and strategic move ndiyo maana kumetokea impact kubwa kwa muda mfupi. CDM has just visited kanda ya ziwa and kila mwana CCm including u is fighting this move. This move is unstoppable and i assure soon or later Tanzania is going to be free.
freedom is coming count on me
 

Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona udhaifu mkubwa au kutokuwapo ma-strategists wazuri CDM. Sababu za kusema hivyo ni kama zifuatazo:

  1. Mnataka wananchi wawaunge mkono kuandamana nchi nzima kama walivyofanya Tunisia, Egypt, Libya na nchi nyinginezo za kiarabu ili kumng'oa JK na serikali yake madarakani, kwa ajili ya kupinga hali ngumu maisha kwa wananchi, ufisadi na sababu nyingine nyingi. Ni kweli serikali ina mapungufu hayo, na wananchi woote wanajua. Tatizo ni kwamba, ni kwanini Wewe Dr. Slaa na Mbowe ndio muwaambie si wanayajua matatizo yao wenyewe??
  2. Kama ni kufuata mfano wa Tunisia, Egypt, Libya, Hivi huko kwao kuna mtu au watu mithili ya Slaa, Mbowe au for that chama kama CDM kilicho waambia watoke mtaani kuandamana??? si wametoka wenyewe hamna wa kuwaambia fanya hiki wala kile wametoka na lao ni moja serikali itoke na wamefanikiwa!!
  3. Katika mila na desturi zetu za kiafrika huwa tunashirikiana katika shughuli mbali mbali za kijamii ikowemo misiba na sherehe mbali mbali, katika msiba mara nyingi kuna waombolezaji wa aina tatu, wanandugu mara nyingi huwa wanalia kwa huzuni na ni rahisi kuwa gundua, kuna marafiki na majirani, lakini kuna watu wengine tu hulia kwa makelele saana hata kupita ndugu wa marehemu, CDM wanalia kama hilo kundi la tatu!! kwa nini? kwa nini tusilie pamoja kama wana ndugu (CUF,TLP,NCCR,UDP n.k) kwa nini CDM msiba wetu sote Watanzania wanalia kwa makelele? lipo tatizo hapo!
  4. Kuna vurugu zilitokea Arusha watu wakapoteza maisha, story zikawa nyiiiiingi ila watu wa Arusha pamoja na uongozi wa CDM hasa Slaa wanajua sababu ya hizo vurugu, Police kwa upande wao wametoa utetezi wa video ya matukio yote kwenye vyombo vya habari, CDM (Slaa) ikaahidi kujibu mapigo na kweli amejibu cd ziko sokoni!!! zinauzwa tena kwa Mujibu wa Mh. Regia Mtema, zinauzwa sh. 6000/=, kwa nini CDM iuze kanda mtaani badala ya kupeleka ubalozi wa EU, Wingereza, Marekani, au kwingineko kokote kuonyesha jinsi TZ isivyo kuwa democratic state ili CDM ipata hiyo sifa inayotaka? na pesa ya hiyo filamu inaenda kwa nani?
  5. Hivi CDM wanafikiri kama serikali ya CCM itapinduliwa kwa maandamano wakati watu watalifananisha hili na yale ya Tunisia, Egypt, Libya!! , this is being naive!!! maana itaonekana ni CDM na Slaa na wamepindua nchi baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana!! hivyo CDM haiata kuwa imeingia madarakani kihalali wala kidemokrasia!! hili mbona liko wazi??.
So far naona niishie hapo. naomba nieleweke kwamba i am an independet thinker so I hate baadhi wana JF wanaopenda kutukana wenzao ni vyema mtu ukajibu hoja ndio utakisaidia chama chako na sii kukilinda kwa matusi. thanks an I am out.

Nani aliyesema kwamba CHADEMA wanaiga Misri au Libya? Are you Cheyo?
 
I really doubt if you're independent thinker!Inakuwaje unaamini matatizo ya TZ wanaopaswa kupelekewa ni EU,USA na wazungu wengine?!?Thread yako inaonyesha how much wewe ni mtumwa wa fikra mgando,inawezekanaje watu kwa wingi wao wakaanzisha move bila kiongozi/viongozi?Tafiti kabla ya kurusha hoja otherwise utajikuta unaandika PUMBA na kukaribisha matusi.
 
Not a wrong strategy!.
The BASIC QUESTION is...does the Government fulfil the needs of Tanzanians, even down to only 25% of their rights?
 
Umezoea siasa nyepesi ndio maana unaingiwa na uoga na hofu kubwa sana na umezoea kuona vyama vya msimu , Kupingana, Kujibizana na kukusoana na kuandamani ni haki ya kila chama au mwananchi, Alivyofanya Pinda kule Kagera sawa na CHADEMA hivyo kusema hivyo na wewe unakuwa na theory za kikwetelization ya kimawazo na kuingia humo, Fikiria mara kadhaa na kuona jinsi gani unaweza kujenga demokrasia nzuri hapa kwetu, Tanzania, CHADEMA wapo sahihi
 
Sitaki kuamini ile CD ndiyo ya chadema sababu mimi niliiona original cd na nikaiweka kwenye youtube, mimi naona ni wanaharakati wametegeneza, kama ni hivyo sijui kama ni sawa kuwa laumu CHADEMA kwa nini wanaziuza badala ya kuzigawa bure ili watu wajue.. kama ni wana harakati wana haki ya kuziuza kupata picha siku hiyo ilikuwa siyo mchezo nikiwa katika ya mkutano wa tarehe 5-1--2011 nilifatwa na mtu akinitaka nisipige picha ni kamuliza kwanini akaniambia nitakamatwa na kuvunjiwa kamera yangu, nilimwambia nimekusikia lakini niliendelea, kuna waandishi wa habari kwenye hotel ya mount meru walivunjiwa kamera zao na kufuta walichokuwa wamerecord, kwenye sehemu husika mfano polisi na hospital ilikuwa huruhusiwi kufika uwe mwandishi au mpita njia hii ni pamoja na siku ya kikao cha meya waandishi walikataliwa kuingia kinyume na sheria ninayowaruhusu hivyo hawa jamaa kukusanya angalau kidogo na kutegengeza hii cd na garama za utegenezaji ni sawa kuuza....
 
Kinacho nishangaza ni hao craps CCM na wote wanaokuja na hoja za egypt libya na tunisi, badala wajibu hoja kwa nini hali ya maisha imetriple sio kuleta oho mara msichezee amani bla bla bla kibao! Amani haiubiriwi jukwaani inajengwa!
 
Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona udhaifu mkubwa au kutokuwapo ma-strategists wazuri CDM. Sababu za kusema hivyo ni kama zifuatazo:
  1. Mnataka wananchi wawaunge mkono kuandamana nchi nzima kama walivyofanya Tunisia, Egypt, Libya na nchi nyinginezo za kiarabu ili kumng'oa JK na serikali yake madarakani, kwa ajili ya kupinga hali ngumu maisha kwa wananchi, ufisadi na sababu nyingine nyingi. Ni kweli serikali ina mapungufu hayo, na wananchi woote wanajua. Tatizo ni kwamba, ni kwanini Wewe Dr. Slaa na Mbowe ndio muwaambie si wanayajua matatizo yao wenyewe??
  2. Kama ni kufuata mfano wa Tunisia, Egypt, Libya, Hivi huko kwao kuna mtu au watu mithili ya Slaa, Mbowe au for that chama kama CDM kilicho waambia watoke mtaani kuandamana??? si wametoka wenyewe hamna wa kuwaambia fanya hiki wala kile wametoka na lao ni moja serikali itoke na wamefanikiwa!!
  3. Katika mila na desturi zetu za kiafrika huwa tunashirikiana katika shughuli mbali mbali za kijamii ikowemo misiba na sherehe mbali mbali, katika msiba mara nyingi kuna waombolezaji wa aina tatu, wanandugu mara nyingi huwa wanalia kwa huzuni na ni rahisi kuwa gundua, kuna marafiki na majirani, lakini kuna watu wengine tu hulia kwa makelele saana hata kupita ndugu wa marehemu, CDM wanalia kama hilo kundi la tatu!! kwa nini? kwa nini tusilie pamoja kama wana ndugu (CUF,TLP,NCCR,UDP n.k) kwa nini CDM msiba wetu sote Watanzania wanalia kwa makelele? lipo tatizo hapo!
  4. Kuna vurugu zilitokea Arusha watu wakapoteza maisha, story zikawa nyiiiiingi ila watu wa Arusha pamoja na uongozi wa CDM hasa Slaa wanajua sababu ya hizo vurugu, Police kwa upande wao wametoa utetezi wa video ya matukio yote kwenye vyombo vya habari, CDM (Slaa) ikaahidi kujibu mapigo na kweli amejibu cd ziko sokoni!!! zinauzwa tena kwa Mujibu wa Mh. Regia Mtema, zinauzwa sh. 6000/=, kwa nini CDM iuze kanda mtaani badala ya kupeleka ubalozi wa EU, Wingereza, Marekani, au kwingineko kokote kuonyesha jinsi TZ isivyo kuwa democratic state ili CDM ipata hiyo sifa inayotaka? na pesa ya hiyo filamu inaenda kwa nani?
  5. Hivi CDM wanafikiri kama serikali ya CCM itapinduliwa kwa maandamano wakati watu watalifananisha hili na yale ya Tunisia, Egypt, Libya!! , this is being naive!!! maana itaonekana ni CDM na Slaa na wamepindua nchi baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana!! hivyo CDM haiata kuwa imeingia madarakani kihalali wala kidemokrasia!! hili mbona liko wazi??.
So far naona niishie hapo. naomba nieleweke kwamba i am an independet thinker so I hate baadhi wana JF wanaopenda kutukana wenzao ni vyema mtu ukajibu hoja ndio utakisaidia chama chako na sii kukilinda kwa matusi. thanks an I am out.
uko sawa kwa upande wa CCM, siku moja nilikwa vijijini nikamkuta mkulima anaishi mahali ambapo mnara wa TIGO uko karibu na nyumba yake yaani mita 7 hivi. Nilimuuliza unajua madhara ya hii kitu, akajibu hajui. Si watanzania wote wanajua haki zao na si viongozi wote wanaitakia mema Tz. Naimani kabisa wataalaam wa sayansi TIGO wanajua madhara ya minra kuwa karibu na jamii, lakini kwa sababu hawaumii wao na ndugu zao bali wanapata kuwanyonya hao waliomo kwenye athari hizo.Na wakijagungua basi watakuwa wavujifu wa amani. Cdm imegundua ufisadi mwingi basi wamekuwa wavunjifu wa amani kama vile huyo mwanakijiji anayeishi yeye na famila yake kwenye mnara wa TIGO. Inabidi usalim amri iwapo wakuu wanapata maslahi hapo na wewe na generation yako mkiteketea duniani isibaki hata chembe yenu moja.
 
Usipanick ndugu, mimi ni mtu wa mara nimetahiriwa kwa kisu na kichwa changu pia kimetahiriwa vema na situmii ugali wa sembe kwa sababu unapunguza na kumaliza uwezo wa kufikiri nakushauri na wewe ule dona, sawa kisura?
 
bei ya mafuta ilipanda mwaka 2009 sana ewura ikapendekeza serikali iagize au tpdc waagize mafuta in bulk kwa wafanyabiashara wote bei ingepungua,hatimae bei ilishuka mpaka sh1360 per litre.sasa imepanda tena mpaka sh 6000 huko kasulu,sumbawanga juzi tena ewura inaimbia serikali ifuate ushauri wa tpdc kuagiza mafuta in bulk!jee kwa nini tangu 2009 mpaka leo govt haijatekeleza maagizo ya taasisi yake yenyewe?habari za ndani zinasema tpdc wamepigwa marufuku kuingilia mambo ya mafuta wao washughulikie gesi tuu!makampuni ya mafuta ni ya mafisadi ya wakubwa wa ccm ndiyo yanatumaliza watanzania.sasa hapo amani isivunjike?
 
For me this a timing and strategic move ndiyo maana kumetokea impact kubwa kwa muda mfupi. CDM has just visited kanda ya ziwa and kila mwana CCm including u is fighting this move. This move is unstoppable and i assure soon or later Tanzania is going to be free.
freedom is coming count on me

Timing yes, maana vugu vugu la mapinduzi ndio limepamba moto, ila ingekua bora kama lingefaa muonekano wa kitaifa badala ya u CDM. hakuna mtu au chama kinachoweza nguvu ya umma wa kitanzania lakini kama tafsiri ya umma ni CDM then kutakua na vurugu tu but no change, same old shit bur different day! hence, wrong strategy!
 
Timing yes, maana vugu vugu la mapinduzi ndio limepamba moto, ila ingekua bora kama lingefaa muonekano wa kitaifa badala ya u CDM. hakuna mtu au chama kinachoweza nguvu ya umma wa kitanzania lakini kama tafsiri ya umma ni CDM then kutakua na vurugu tu but no change, same old shit bur different day! hence, wrong strategy!
Unamaanisha nini unaposema muonekano wa kitaifa?
 
Tatizo ripoti za kiinteligengesia hazisaidii vyama, lakini chademe wameonyesha wako juu ya intelinsia. Waacheni wafanye siasa. hatutaki watu wanaokwenda msituni.:rain:
 
mtaani ndio kuna wapiga kura wa TZ na sio ubalozi wa uingereza, eu or us. chadema wanawajibikwa kwanza kwa watz before any outsider. they (wazungu) knows tz is not a democratic state, they follow the events very closely ila wanasubiria tu watu waamke zaidi ndio na wao waanze kuongea lakini sisi tukilala wao ni business as usual
kaka hoja ya huyu bwana ni pana zaidi ya hii observation yako..me nadhan chukua muda kuisoma huku ukiweka upenzi kando ili tuje na jambo la maana kidogo..me still nasoma hii thread kwa umakin ina kitu nadhan
 
Back
Top Bottom