Dr. Slaa & Mbowe, Right timing but wrong Strategy!!!!

RealMan: I greet you!
Thanks for your comments. ila i beg to differ with you or rather call your attention to the issues in blue color.


  1. To start with mimi sijatoka kwenye ukoo unaojiweza. ni mtoto wa peasant yaani wala hata sii mtoto wa mkulima nimesoma enzi za mwalimu. Halafu, kutoka kwenye familia yenye kujiweza sio issue, ni mtu tu jinsi utashi wake unavyo mtuma mfano Mzuri ni Mh. Freeman Aikael Mbowe, soote tunajua hana dhiki kihivyo, lakini yupo front line
  2. Pili muonekano wa kitaifa sii lazima watu waje na label zao, na kama ulivyosema sii rahisi waTZ 40M waje pamoja, no hiyo haiwezekani kwa sababu dhahiri tu. kwa mfano, pale Tahrir square palikuwapo watu wengi hakuna mtu aliyekuwa anajua yupo ni wa chama gani au mrengo gani, suala lao ni kwamba wamechoshwa na serikali so it has to go. If you feel kwamba CDM iko kwenye right track fine.
  3. issue zingine nafikiri niliisaha respond kadri zilivyoulizwa na wana JF na zingine i reserve my comments.
Thanks.

Sasa ndugu yangu kama umesoma enzi za mwalimu: Enzi tunakunywa uji skuli, daftari ikiisha unaenda kwa mwl mkuu, vitabu vya Juma na Roza vya kumwaga, enzi za kukimbia mchakamchaka, vitabu vya kumwaga Library, maabara za ukweli, sekondari tunapanda treni kwa warrant, chakula kipo tele, umiseta ndo usiseme n.k kwa nini unawahurumia hawa watesi wetu??

Wewe unajua ukienda kijijini unakuta watu wako hoi wamepigika yaani wewe uliyeenda na ka-RAV4 kako ndo unaonekana Bill Gates. Hawa tunawasaidiaje?? Watawala hawataki watu wawe positively inspired ndo maana wanalia na kuomba huruma huku wakitaka kutuaminisha Chadema wanavunja amani. Mwenye njaa toka lini akajua amani???

If you ask me; I dont care who is representing the cry of my poor fellows. For now Chadema is enjoying an edge over and above other political parties including CCM and for that reason I support them ingawa sio mwanachama. Wameamua kuonyesha njia na wakiongea tunaweza kuwaamini kuliko akiongea Sophia Simba, Makamba, Chiligati au JK.

Kwenye mafundisho ya dini tuliambiwa Daudi alipigana na giant Goliath kuleta ukombozi kwa watu wake waliokuwa wamegwaya jeshi la wavamizi. Wakati mwingine usisubiri wengine wakuelewe, tuwaache Chadema waendelee bila kuwakatisha tamaa ili hao wengine watakapojua watanzania wanataka nini wataungana nao mbele ya safari.

Ukweli tunahitaji ukombozi sasa kuliko wakati mwingine wowote!
 
Thread yako nzuri sana na inafaa kwa kubadilishana mawazo. Pengine tuangalie nini hasa kiini cha tatizo, kuliko kuhangaika sana na matokeo ya tatizo. Kwa kutumia falsafa za wanazuoni mbalimbali, wanasema "maendeleo si barabara nzuri, majumba ya maghorofa, magari ya kifahari na vitu vya anasa vya aina aina. Maendeleo ni maendeleo ya watu!!"
Na ili jamii yoyote iitwe imeendelea, inapimwa kwa kuangalia watu wake, afya zao, elimu yao, kipato chao na maisha yao. Hapa ndio kwenye mzizi wa tatizo letu, sijui tunaunganishaje umaskini wa mtanzania na CHADEMA.
Na ili tuendelee (Mwl. Nyerere) tunahitaji mambo manne, watu (walioelimika watakaoleta uzalishaji mali wenye tija kwa kutumia teknolojia ya kisasa waliyoibuni ili kuwasaidia katika uzalishaji), ardhi (itakayotumiwa na watu katika maisha yao na shughuli za uzalishaji mali, yaani nchi), siasa safi (mwongozo utakaotumiwa na watu katika kujiletea maendeleo, wengine wanaita dira) na UONGOZI BORA (hawa ni watu miongoni mwa wanajamii walioaminiwa kufahamu tatizo lililo katika jamii hiyo, kuonyesha njia ya kutatua tatizo hilo na kuongoza njia ya kuleta maendeleo kwa jamii hiyo).
Ukichambua kwa umakini hoja yako, utaona majibu ya maswali yako yote yanapatikana hapo juu.
1. Uongozi bora na si bora uongozi. Laiti tungekuwa na uongozi bora wenye kujua chanzo cha matatizo yetu na sababu zake, ungejua njia za kuyatatua, kuonyesha njia na kuongoza njia ya kuyatatua. Sidhani kama Mbowe na Dr. Slaa wangepata fursa ya kuongelea ugumu wa maisha. Kwanza wananchi tungewapuuza. Sasa panapokosekana kilongola, basi taifa liitwe limezimia? Ni nani basi mwenye wajibu wa kuongelea matatizo ya jamii anamoishi? Je, ni dhambi kwa watoto katika familia kulalamika njaa? Je, ni baba tu ndio mwenye uhalalali wa kusema njaa zinauma? Hivi mtoto mmoja katika nyumba akiwaamsha wenzie wadai chakula kwa wazazi wao ataitwa mhaini, ati kwa kusema hivyo atasababisha machafuko?
2. Tunisia walihamasishwa na kifo cha kijana wa kimachinga aliyejichoma moto. Walihamasishana kwa mitandao na vyombo vya habari, na viongozi wa maandamano yale wapo. Hakuna maandamano yasiyo na waasisi ndugu yetu.
3. Siasa za ushindani ni mchezo kama michezo mingine, kila upande unahitaji kushinda kwa mbinu mbalimbali. Moja ya mbinu kuu inayotumiwa na wanasiasa ni kudhoofisha mpinzani wako, ndio maana wenye akili wakawaambia "Dont just sit there, do something".
4. Biashara ni matangazo, huwezi kwenda kuuza biblia kambi ya fisi, hutapata wanunuzi. EU wanapiga kura nchi gani? Hii ni nchi huru jamani hata kama baadhi yetu, hasa viongozi wetu hawako huru kifikra, bado ni nchi huru tunaopaswa kujiamulia mambo yetu bila kuingiliwa na mtu ama taifa lolote.
5. Huo ni woga wa watawala, kila siku wanaota wanapinduliwa. Nani kasema wanaandaa mapinduzi, mbona tunafanya shughuli zetu pasi na woga wowote. Mboana hao wanaosemwa kwamba wanachochewa wanahudhuria mikutano kwa amani na wanarudi majumbani kwa amani. Tuache propaganda mufilisi, tatizo linaeleweka tulitatue.
" TUACHE MAJUNGU, TUTIMIZE WAJIBU WETU KILA MMOJA KWA NAFASI YAKE"
 
Nyantella yuko sahihi Kuhoji na kuwasilisha Mawazo yake, ila tatizo Nilionalo inaelekea wana CDM wengi Hawataki kuhojiwa na Kukosolewa, utaitwa Msaliti. Huo ni Udikteta. Nilimsikia Freeman akiwahamasisha Watu kule Mwanza wauondoe Utawala uliopo na wafanye Kama Tunisia na Misri! Lakini kama alivyofafanua Nyantella, kule Hakukuwa na Chama cha Siasa kilichohamasisha kuondolewa Viongozi wao, Hebu angalieni Maandamano ya Tunisia na Misri, hakukua na Bendera ya Chama chochote Bali walipeperusha Bendera za Taifa! Lakini hapa Kwetu tuliona Bendera za Chadema na Viongozi ambao Nia yao Dhahiri ni Kuingia Ikulu kwa njia Yoyote ile. CDM pamoja na Wale wote walioandamana Sio Majority ya WaTz na wala Hawawakilishi dhamira ya Kweli ya Watanzania wote Bali wana Capitalize kwenye Matatizo ya Kweli ya WaTz ili kutimiza Malengo Yao, Siamini kwamba Kweli CDM ukishika Madaraka Nchi yetu haitakuwa na Matatzo kabisa, itakuwa ni Asali na Maziwa tu. Si Slaa wala Freeman wanaojua Shida za Kweli za Mwananchi wa Hali ya Chini, wao wana Hali nzuri Kimaisha na wala Hawaijui njaa, Wahenga walisema "Ashibae hamjui Mwenye njaa" na Hata ilani ya CDM haina Tangible Strategies za kumuEngage Maskini katika Emancipation process yake! Slaa na Chadema tunaweza kuwalinganisha Vizuri zaidi na Savimbi na UNITA, wote Waligombea Urais wakashindwa, Wote walikataa Matokeo, Wote walianzisha Harakati za kutaka Kuuondoa Utawala ulioshinda kwenye Kura kwa madai Uchaguzi umechakachuliwa, Damu ya Angola ilimwagika sana kwa Miaka mingi, Mwishowe Savimbi alichinjwa na Amani ikapatikana kwa Kiwango kikubwa, lakini watawala ni Walewale na wala UNITA haikushinda. Sasa CDM nayo inalilia lazima Damu imwagike, basi na Waanze kujiua Slaa na Mbowe Kama alivyolianzisha Yule Kijana wa Tunisia alievunjiwa Mkokoteni wake na Polisi kwa Kujichoma moto Mbele ya Ofisi ya DC, kinyume chake itakuwa ni Sawa na ya Savimbi. Chadema msitupeleke huko! "... anyone who Abandons WHAT IS for WHAT SHOULD BE pursues his Downfall rather than his Preservation!" Nicollo Machiavelli, 1513.
 
Sasa ndugu yangu kama umesoma enzi za mwalimu: Enzi tunakunywa uji skuli, daftari ikiisha unaenda kwa mwl mkuu, vitabu vya Juma na Roza vya kumwaga, enzi za kukimbia mchakamchaka, vitabu vya kumwaga Library, maabara za ukweli, sekondari tunapanda treni kwa warrant, chakula kipo tele, umiseta ndo usiseme n.k kwa nini unawahurumia hawa watesi wetu??

Wewe unajua ukienda kijijini unakuta watu wako hoi wamepigika yaani wewe uliyeenda na ka-RAV4 kako ndo unaonekana Bill Gates. Hawa tunawasaidiaje?? Watawala hawataki watu wawe positively inspired ndo maana wanalia na kuomba huruma huku wakitaka kutuaminisha Chadema wanavunja amani. Mwenye njaa toka lini akajua amani???

If you ask me; I dont care who is representing the cry of my poor fellows. For now Chadema is enjoying an edge over and above other political parties including CCM and for that reason I support them ingawa sio mwanachama. Wameamua kuonyesha njia na wakiongea tunaweza kuwaamini kuliko akiongea Sophia Simba, Makamba, Chiligati au JK.

Kwenye mafundisho ya dini tuliambiwa Daudi alipigana na giant Goliath kuleta ukombozi kwa watu wake waliokuwa wamegwaya jeshi la wavamizi. Wakati mwingine usisubiri wengine wakuelewe, tuwaache Chadema waendelee bila kuwakatisha tamaa ili hao wengine watakapojua watanzania wanataka nini wataungana nao mbele ya safari.

Ukweli tunahitaji ukombozi sasa kuliko wakati mwingine wowote!

RealMan, Much respect!
well in a way we are together ila tatizo nililo liona ni CDM kutoa karata zake mapema. I will elaborate this tommorow as for now I sign off.
 
Thread yako nzuri sana na inafaa kwa kubadilishana mawazo. Pengine tuangalie nini hasa kiini cha tatizo, kuliko kuhangaika sana na matokeo ya tatizo. Kwa kutumia falsafa za wanazuoni mbalimbali, wanasema "maendeleo si barabara nzuri, majumba ya maghorofa, magari ya kifahari na vitu vya anasa vya aina aina. Maendeleo ni maendeleo ya watu!!"
Na ili jamii yoyote iitwe imeendelea, inapimwa kwa kuangalia watu wake, afya zao, elimu yao, kipato chao na maisha yao. Hapa ndio kwenye mzizi wa tatizo letu, sijui tunaunganishaje umaskini wa mtanzania na CHADEMA.
Na ili tuendelee (Mwl. Nyerere) tunahitaji mambo manne, watu (walioelimika watakaoleta uzalishaji mali wenye tija kwa kutumia teknolojia ya kisasa waliyoibuni ili kuwasaidia katika uzalishaji), ardhi (itakayotumiwa na watu katika maisha yao na shughuli za uzalishaji mali, yaani nchi), siasa safi (mwongozo utakaotumiwa na watu katika kujiletea maendeleo, wengine wanaita dira) na UONGOZI BORA (hawa ni watu miongoni mwa wanajamii walioaminiwa kufahamu tatizo lililo katika jamii hiyo, kuonyesha njia ya kutatua tatizo hilo na kuongoza njia ya kuleta maendeleo kwa jamii hiyo).
Ukichambua kwa umakini hoja yako, utaona majibu ya maswali yako yote yanapatikana hapo juu.
1. Uongozi bora na si bora uongozi. Laiti tungekuwa na uongozi bora wenye kujua chanzo cha matatizo yetu na sababu zake, ungejua njia za kuyatatua, kuonyesha njia na kuongoza njia ya kuyatatua. Sidhani kama Mbowe na Dr. Slaa wangepata fursa ya kuongelea ugumu wa maisha. Kwanza wananchi tungewapuuza. Sasa panapokosekana kilongola, basi taifa liitwe limezimia? Ni nani basi mwenye wajibu wa kuongelea matatizo ya jamii anamoishi? Je, ni dhambi kwa watoto katika familia kulalamika njaa? Je, ni baba tu ndio mwenye uhalalali wa kusema njaa zinauma? Hivi mtoto mmoja katika nyumba akiwaamsha wenzie wadai chakula kwa wazazi wao ataitwa mhaini, ati kwa kusema hivyo atasababisha machafuko?
2. Tunisia walihamasishwa na kifo cha kijana wa kimachinga aliyejichoma moto. Walihamasishana kwa mitandao na vyombo vya habari, na viongozi wa maandamano yale wapo. Hakuna maandamano yasiyo na waasisi ndugu yetu.
3. Siasa za ushindani ni mchezo kama michezo mingine, kila upande unahitaji kushinda kwa mbinu mbalimbali. Moja ya mbinu kuu inayotumiwa na wanasiasa ni kudhoofisha mpinzani wako, ndio maana wenye akili wakawaambia "Dont just sit there, do something".
4. Biashara ni matangazo, huwezi kwenda kuuza biblia kambi ya fisi, hutapata wanunuzi. EU wanapiga kura nchi gani? Hii ni nchi huru jamani hata kama baadhi yetu, hasa viongozi wetu hawako huru kifikra, bado ni nchi huru tunaopaswa kujiamulia mambo yetu bila kuingiliwa na mtu ama taifa lolote.
5. Huo ni woga wa watawala, kila siku wanaota wanapinduliwa. Nani kasema wanaandaa mapinduzi, mbona tunafanya shughuli zetu pasi na woga wowote. Mboana hao wanaosemwa kwamba wanachochewa wanahudhuria mikutano kwa amani na wanarudi majumbani kwa amani. Tuache propaganda mufilisi, tatizo linaeleweka tulitatue.
" TUACHE MAJUNGU, TUTIMIZE WAJIBU WETU KILA MMOJA KWA NAFASI YAKE"

Maka Kassimoto, I salute you!
Thanks for the remarks. Hapo kwnye red, ni kweli biashara ni matangazo ila kilicho nifanya actually kuandika thread hii ni baada kusikia CDM, inauza ile DVD ya vurugu za Arusha na bado sikubaliani kwa maana ina bendera ya CDM,sina uhakika aliyeitengeneza ila baada ya kuona Mh. Regia Mtema anainadi ilikera sana kwani huo sii mchezo wa kuigiza wa kina kanumba na kundi lake, ni picha halisi za vijana wa Arusha, na Police (ofcourse wanaweza kuhamishwa!), sasa uhasama wa makundi haya yatatupeleka wapi? na actually CDM, nionavyo itaharibu image yake. Ofcourse once again ni mawazo yangu.

Mengine yote tuko pamoja. jioni njema.
 
To all tanzanians freedom is coming now!!

Peopleeeeeeeeeee powerrrrrrrrrrrrrrr

chadema mwendo mdundo..
 
Hoja Chakavu zinaendelea kuja jamvini. Your argument lacks substance in every aspect. Go back and come over again, am I clear?
 
Acheni kutangaza hofu.......
Tekelezeni ahadi zenu......
Achenu uongo chapeni kazi .........
CCM jianadaeni kuwa chama cha upinzani.......
 

Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona udhaifu mkubwa au kutokuwapo ma-strategists wazuri CDM. Sababu za kusema hivyo ni kama zifuatazo:
  1. Mnataka wananchi wawaunge mkono kuandamana nchi nzima kama walivyofanya Tunisia, Egypt, Libya na nchi nyinginezo za kiarabu ili kumng'oa JK na serikali yake madarakani, kwa ajili ya kupinga hali ngumu maisha kwa wananchi, ufisadi na sababu nyingine nyingi. Ni kweli serikali ina mapungufu hayo, na wananchi woote wanajua. Tatizo ni kwamba, ni kwanini Wewe Dr. Slaa na Mbowe ndio muwaambie si wanayajua matatizo yao wenyewe??
  2. Kama ni kufuata mfano wa Tunisia, Egypt, Libya, Hivi huko kwao kuna mtu au watu mithili ya Slaa, Mbowe au for that chama kama CDM kilicho waambia watoke mtaani kuandamana??? si wametoka wenyewe hamna wa kuwaambia fanya hiki wala kile wametoka na lao ni moja serikali itoke na wamefanikiwa!!
  3. Katika mila na desturi zetu za kiafrika huwa tunashirikiana katika shughuli mbali mbali za kijamii ikowemo misiba na sherehe mbali mbali, katika msiba mara nyingi kuna waombolezaji wa aina tatu, wanandugu mara nyingi huwa wanalia kwa huzuni na ni rahisi kuwa gundua, kuna marafiki na majirani, lakini kuna watu wengine tu hulia kwa makelele saana hata kupita ndugu wa marehemu, CDM wanalia kama hilo kundi la tatu!! kwa nini? kwa nini tusilie pamoja kama wana ndugu (CUF,TLP,NCCR,UDP n.k) kwa nini CDM msiba wetu sote Watanzania wanalia kwa makelele? lipo tatizo hapo!
  4. Kuna vurugu zilitokea Arusha watu wakapoteza maisha, story zikawa nyiiiiingi ila watu wa Arusha pamoja na uongozi wa CDM hasa Slaa wanajua sababu ya hizo vurugu, Police kwa upande wao wametoa utetezi wa video ya matukio yote kwenye vyombo vya habari, CDM (Slaa) ikaahidi kujibu mapigo na kweli amejibu cd ziko sokoni!!! zinauzwa tena kwa Mujibu wa Mh. Regia Mtema, zinauzwa sh. 6000/=, kwa nini CDM iuze kanda mtaani badala ya kupeleka ubalozi wa EU, Wingereza, Marekani, au kwingineko kokote kuonyesha jinsi TZ isivyo kuwa democratic state ili CDM ipata hiyo sifa inayotaka? na pesa ya hiyo filamu inaenda kwa nani?
  5. Hivi CDM wanafikiri kama serikali ya CCM itapinduliwa kwa maandamano wakati watu watalifananisha hili na yale ya Tunisia, Egypt, Libya!! , this is being naive!!! maana itaonekana ni CDM na Slaa na wamepindua nchi baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana!! hivyo CDM haiata kuwa imeingia madarakani kihalali wala kidemokrasia!! hili mbona liko wazi??.
So far naona niishie hapo. naomba nieleweke kwamba i am an independet thinker so I hate baadhi wana JF wanaopenda kutukana wenzao ni vyema mtu ukajibu hoja ndio utakisaidia chama chako na sii kukilinda kwa matusi. thanks an I am out.

Ndugu!
Sijasoma habari yako yote lakini nafikiri wewe na Watanzania wengine wingi mnakosea mnaposema CDM wanaiga Tunisia, Lbya na Misri. Its deadly wrong to compare the situation here and those Countries!!
CDM wanafanya mikutano ya hadhara inayoelezea mapungufu ya serikali iliyoko madarakani. Shughuli za aina hii zinafanywa na vyama karibu vyote vya upinzani Duniani [Chukua mfano wa Republic walivyojaribu kumuondoa Clinton kwa hoja ya kashfa ya Monica Lewnsky]. What if it was Tanzania? What would you say?
Lazima ifike wakti Watanzania wote kwa wingi wetu tutambue kwamba Wajibu wa Vyama vya upinzani ni kuishinikiza serikali kukuza ustawi wa Raia wake. Kama vyama vya upinzani vitakaa kimya ilhali mambo yanaenda hovyo then hakuna haja ya vyama vya upinzani!!!
 
Are WE DARN CURSED OR WHAT?!!
HIVE MAMBO YANAYOFANYWA NA CCM KWELI WATU WANAENDELEA KUTETEA ETI KWA KUWA SERIKALI IMEPIGIWA KURA IKASHINDA!!
NI WAKTI WA KUACHANA NA SIASA ZA KIJINGA ZA KUFIKIRI UPINZANI UNALETA UMWAGAJI DAMU!!
MI NASEMA HAKUNA HAJA YA KUZUNGUMZIA AMANI KAMA NUSU YA WATANZANIA WANAISHI MAISHA TASA?!!
 

Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona udhaifu mkubwa au kutokuwapo ma-strategists wazuri CDM. Sababu za kusema hivyo ni kama zifuatazo:
  1. Mnataka wananchi wawaunge mkono kuandamana nchi nzima kama walivyofanya Tunisia, Egypt, Libya na nchi nyinginezo za kiarabu ili kumng'oa JK na serikali yake madarakani, kwa ajili ya kupinga hali ngumu maisha kwa wananchi, ufisadi na sababu nyingine nyingi. Ni kweli serikali ina mapungufu hayo, na wananchi woote wanajua. Tatizo ni kwamba, ni kwanini Wewe Dr. Slaa na Mbowe ndio muwaambie si wanayajua matatizo yao wenyewe??
  2. Kama ni kufuata mfano wa Tunisia, Egypt, Libya, Hivi huko kwao kuna mtu au watu mithili ya Slaa, Mbowe au for that chama kama CDM kilicho waambia watoke mtaani kuandamana??? si wametoka wenyewe hamna wa kuwaambia fanya hiki wala kile wametoka na lao ni moja serikali itoke na wamefanikiwa!!
  3. Katika mila na desturi zetu za kiafrika huwa tunashirikiana katika shughuli mbali mbali za kijamii ikowemo misiba na sherehe mbali mbali, katika msiba mara nyingi kuna waombolezaji wa aina tatu, wanandugu mara nyingi huwa wanalia kwa huzuni na ni rahisi kuwa gundua, kuna marafiki na majirani, lakini kuna watu wengine tu hulia kwa makelele saana hata kupita ndugu wa marehemu, CDM wanalia kama hilo kundi la tatu!! kwa nini? kwa nini tusilie pamoja kama wana ndugu (CUF,TLP,NCCR,UDP n.k) kwa nini CDM msiba wetu sote Watanzania wanalia kwa makelele? lipo tatizo hapo!
  4. Kuna vurugu zilitokea Arusha watu wakapoteza maisha, story zikawa nyiiiiingi ila watu wa Arusha pamoja na uongozi wa CDM hasa Slaa wanajua sababu ya hizo vurugu, Police kwa upande wao wametoa utetezi wa video ya matukio yote kwenye vyombo vya habari, CDM (Slaa) ikaahidi kujibu mapigo na kweli amejibu cd ziko sokoni!!! zinauzwa tena kwa Mujibu wa Mh. Regia Mtema, zinauzwa sh. 6000/=, kwa nini CDM iuze kanda mtaani badala ya kupeleka ubalozi wa EU, Wingereza, Marekani, au kwingineko kokote kuonyesha jinsi TZ isivyo kuwa democratic state ili CDM ipata hiyo sifa inayotaka? na pesa ya hiyo filamu inaenda kwa nani?
  5. Hivi CDM wanafikiri kama serikali ya CCM itapinduliwa kwa maandamano wakati watu watalifananisha hili na yale ya Tunisia, Egypt, Libya!! , this is being naive!!! maana itaonekana ni CDM na Slaa na wamepindua nchi baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana!! hivyo CDM haiata kuwa imeingia madarakani kihalali wala kidemokrasia!! hili mbona liko wazi??.
So far naona niishie hapo. naomba nieleweke kwamba i am an independet thinker so I hate baadhi wana JF wanaopenda kutukana wenzao ni vyema mtu ukajibu hoja ndio utakisaidia chama chako na sii kukilinda kwa matusi. thanks an I am out.

THINK OUT OF BOX, ndo maana mnatukanwa!!
 
Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona udhaifu mkubwa au kutokuwapo ma-strategists wazuri CDM. Sababu za kusema hivyo ni kama zifuatazo:

- Mkuu heshima yako sana, katika siasa opposition unatakiwa kuwa on top of the game, always capturing the attention of the people na hasa watawala do you really call what Chadema is doing now Udhaifu? Are you serious? Udhaifu unaoweza kuwafanya Rais na Waziri Mkuu wake kuhangika kila mahali nchini kuwajibu Chadema you call that udhaifu? No brother Chadema is right on the money and believe me it has some best political minds kulingana na mazingara ya siasa tuliyonayo bongo!

Mnataka wananchi wawaunge mkono kuandamana nchi nzima kama walivyofanya Tunisia, Egypt, Libya na nchi nyinginezo za kiarabu ili kumng'oa JK na serikali yake madarakani, kwa ajili ya kupinga hali ngumu maisha kwa wananchi, ufisadi na sababu nyingine nyingi. Ni kweli serikali ina mapungufu hayo, na wananchi woote wanajua. Tatizo ni kwamba, ni kwanini Wewe Dr. Slaa na Mbowe ndio muwaambie si wanayajua matatizo yao wenyewe??

- Mkuu wananchi wa Tanzania tunavilipa vyama vyote vya siasa nchini RUZUKU watufanyie kazi za kuwakosoa watawala, sasa wasipoambiwa na Chadema wataambiwa na nani? Mkuu angalia Katiba ya Jamhuri, hao uliowataja ni viongozi wa chama cha Upinzani nchini, taifa tunawalipa kufanya wanayoyafanya sasa for the best of our nation!

- CCM walipoambiwa na Wapiganaji wao hawakuwasikiliza, sasa kama husikii kutoka ndani ya nyumba yako utasikia kutoka nje and that is what is happening now! Mwenyekiti na Katibu wa Chadema wanatumia uwezo waliopewa na katiba ya jamhuri yetu mkuu, kuwakumbusha watwala wajibu wao, hawavunji sheria!

Kama ni kufuata mfano wa Tunisia, Egypt, Libya, Hivi huko kwao kuna mtu au watu mithili ya Slaa, Mbowe au for that chama kama CDM kilicho waambia watoke mtaani kuandamana??? si wametoka wenyewe hamna wa kuwaambia fanya hiki wala kile wametoka na lao ni moja serikali itoke na wamefanikiwa!!

- That is naive of you, unaamini kwamba wananchi wa huko North Africa walitoka tu ndani ya majumba yao na kuanza kuandamana bila kuambiwa na viongozi? Really?

  1. Katika mila na desturi zetu za kiafrika huwa tunashirikiana katika shughuli mbali mbali za kijamii ikowemo misiba na sherehe mbali mbali, katika msiba mara nyingi kuna waombolezaji wa aina tatu, wanandugu mara nyingi huwa wanalia kwa huzuni na ni rahisi kuwa gundua, kuna marafiki na majirani, lakini kuna watu wengine tu hulia kwa makelele saana hata kupita ndugu wa marehemu, CDM wanalia kama hilo kundi la tatu!! kwa nini? kwa nini tusilie pamoja kama wana ndugu (CUF,TLP,NCCR,UDP n.k) kwa nini CDM msiba wetu sote Watanzania wanalia kwa makelele? lipo tatizo hapo!
- Our National politics unazilinganisha na mila na desturi zetu za ki-Africa? Umeme hamna unasema tulie? Badala ya kuwauliza waahusika WHY? hatuna umeme unasema tulie pamoja?


  1. Hivi CDM wanafikiri kama serikali ya CCM itapinduliwa kwa maandamano wakati watu watalifananisha hili na yale ya Tunisia, Egypt, Libya!! , this is being naive!!! maana itaonekana ni CDM na Slaa na wamepindua nchi baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana!! hivyo CDM haiata kuwa imeingia madarakani kihalali wala kidemokrasia!! hili mbona liko wazi??.
- Hakuna anayetaka kupindua anybody, CCM wanatakiwa kusimama na kutetea their record kwamba kwa nini after 50 years za utawala wao bado hatuna umeme mpaka leo, ingawa tunalipa mapesa mengi sana through IPTL, Richimond na Dowans! Unasema kuuliza haya maswali valid through maandamano ni kutaka kupindua nchi? Damn!
So far naona niishie hapo. naomba nieleweke kwaba i am an independet thinker so I hate baadhi wana JF wanaopenda kutukana wenzao ni vyema mtu ukajibu hoja ndio utakisaidia chama chako na sii kukilinda kwa matusi. thanks an I am out.

- You are a naive thinker who hates hoja za wasiokubaliana na zako, I mean how can you hate baadhi ya wana JF ambao hujawahi kuwaona? You hate their guts makes more sense, independent thinker you are not, ungekuwa usingekurupuka na hukumu over Chadema bila FACTS, maandamano ya chama cha siasa sio kupindua nchi ila kuwakumbusha wajibu watawala!

Thanks!


FMeS!
 
Wanaojitokeza mikutanoni ni watanzania kwa ujumla wao isipokua ccm tu,

Mang'ang'a nakuhakikishia wapo pia ccm wanaotoka na la muhimu siyo hilo la kutoka tu, there is that moral support from many ccm members, but its from the poor! wale ambao wana mwanafamilia kule juu hawawezi hata mara moja! maana shamba la bibi bado lina mavuno na linavunika kirahisi kwao.
 
Padre Slaa ni Dictator ambaye hafai kuwa Rais wa nchi. Anakiongoza Chadema kwa ubabe na Udini ili akamilishe agenda yake. Huyu jamaa hafai kuwa kiongozi hata kidogo. Tamaa kubwa aliyokuwa nayo ni kuwa Rais. Huyu jamaa soon atakuwa Mrema #2.
 

Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona udhaifu mkubwa au kutokuwapo ma-strategists wazuri CDM. Sababu za kusema hivyo ni kama zifuatazo:

  1. Mnataka wananchi wawaunge mkono kuandamana nchi nzima kama walivyofanya Tunisia, Egypt, Libya na nchi nyinginezo za kiarabu ili kumng'oa JK na serikali yake madarakani, kwa ajili ya kupinga hali ngumu maisha kwa wananchi, ufisadi na sababu nyingine nyingi. Ni kweli serikali ina mapungufu hayo, na wananchi woote wanajua. Tatizo ni kwamba, ni kwanini Wewe Dr. Slaa na Mbowe ndio muwaambie si wanayajua matatizo yao wenyewe??
  2. Kama ni kufuata mfano wa Tunisia, Egypt, Libya, Hivi huko kwao kuna mtu au watu mithili ya Slaa, Mbowe au for that chama kama CDM kilicho waambia watoke mtaani kuandamana??? si wametoka wenyewe hamna wa kuwaambia fanya hiki wala kile wametoka na lao ni moja serikali itoke na wamefanikiwa!!
  3. Katika mila na desturi zetu za kiafrika huwa tunashirikiana katika shughuli mbali mbali za kijamii ikowemo misiba na sherehe mbali mbali, katika msiba mara nyingi kuna waombolezaji wa aina tatu, wanandugu mara nyingi huwa wanalia kwa huzuni na ni rahisi kuwa gundua, kuna marafiki na majirani, lakini kuna watu wengine tu hulia kwa makelele saana hata kupita ndugu wa marehemu, CDM wanalia kama hilo kundi la tatu!! kwa nini? kwa nini tusilie pamoja kama wana ndugu (CUF,TLP,NCCR,UDP n.k) kwa nini CDM msiba wetu sote Watanzania wanalia kwa makelele? lipo tatizo hapo!
  4. Kuna vurugu zilitokea Arusha watu wakapoteza maisha, story zikawa nyiiiiingi ila watu wa Arusha pamoja na uongozi wa CDM hasa Slaa wanajua sababu ya hizo vurugu, Police kwa upande wao wametoa utetezi wa video ya matukio yote kwenye vyombo vya habari, CDM (Slaa) ikaahidi kujibu mapigo na kweli amejibu cd ziko sokoni!!! zinauzwa tena kwa Mujibu wa Mh. Regia Mtema, zinauzwa sh. 6000/=, kwa nini CDM iuze kanda mtaani badala ya kupeleka ubalozi wa EU, Wingereza, Marekani, au kwingineko kokote kuonyesha jinsi TZ isivyo kuwa democratic state ili CDM ipata hiyo sifa inayotaka? na pesa ya hiyo filamu inaenda kwa nani?
  5. Hivi CDM wanafikiri kama serikali ya CCM itapinduliwa kwa maandamano wakati watu watalifananisha hili na yale ya Tunisia, Egypt, Libya!! , this is being naive!!! maana itaonekana ni CDM na Slaa na wamepindua nchi baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana!! hivyo CDM haiata kuwa imeingia madarakani kihalali wala kidemokrasia!! hili mbona liko wazi??.
So far naona niishie hapo. naomba nieleweke kwamba i am an independet thinker so I hate baadhi wana JF wanaopenda kutukana wenzao ni vyema mtu ukajibu hoja ndio utakisaidia chama chako na sii kukilinda kwa matusi. thanks an I am out.


....hacha kutupa CV yako,,,,,hayo ya "indipendent thinker" kaa nayo mwenyewe!!!
1. Nani alikwambia kuwa huko Tunisia na Misri watu walitoka tu???? hivi unakumbuka mbinu zote za kimtandao zilizotumika kuwahamasisha
watu waende kwenye maandamano mpaka serikali ika"disable" mitandao kwenye nchi hizo ili kupunguza kasi za "mobilization of people"

2. Wewe unadhani bila kupewa kuelimishwa vizuri mwananchi wa kijijini kabisa atajua undani wa mambo ya wizi unaofanywa na serikali kama vile kesi za Richmond, Dowans, na kesi kibao zinazofanywa na viongozi wasiojali utu wa watu?

3. HOJALESS!!!
 
....hacha kutupa CV yako,,,,,hayo ya "indipendent thinker" kaa nayo mwenyewe!!!
1. Nani alikwambia kuwa huko Tunisia na Misri watu walitoka tu???? hivi unakumbuka mbinu zote za kimtandao zilizotumika kuwahamasisha
watu waende kwenye maandamano mpaka serikali ika"disable" mitandao kwenye nchi hizo ili kupunguza kasi za "mobilization of people"

2. Wewe unadhani bila kupewa kuelimishwa vizuri mwananchi wa kijijini kabisa atajua undani wa mambo ya wizi unaofanywa na serikali kama vile kesi za Richmond, Dowans, na kesi kibao zinazofanywa na viongozi wasiojali utu wa watu?

3. HOJALESS!!!

Sorry the thread was no meant for you!! it is for the people with brains!!!!! kakojoe ukalale!!
 

Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona udhaifu mkubwa au kutokuwapo ma-strategists wazuri CDM. Sababu za kusema hivyo ni kama zifuatazo:

  1. Mnataka wananchi wawaunge mkono kuandamana nchi nzima kama walivyofanya Tunisia, Egypt, Libya na nchi nyinginezo za kiarabu ili kumng'oa JK na serikali yake madarakani, kwa ajili ya kupinga hali ngumu maisha kwa wananchi, ufisadi na sababu nyingine nyingi. Ni kweli serikali ina mapungufu hayo, na wananchi woote wanajua. Tatizo ni kwamba, ni kwanini Wewe Dr. Slaa na Mbowe ndio muwaambie si wanayajua matatizo yao wenyewe??
  2. Kama ni kufuata mfano wa Tunisia, Egypt, Libya, Hivi huko kwao kuna mtu au watu mithili ya Slaa, Mbowe au for that chama kama CDM kilicho waambia watoke mtaani kuandamana??? si wametoka wenyewe hamna wa kuwaambia fanya hiki wala kile wametoka na lao ni moja serikali itoke na wamefanikiwa!!
  3. Katika mila na desturi zetu za kiafrika huwa tunashirikiana katika shughuli mbali mbali za kijamii ikowemo misiba na sherehe mbali mbali, katika msiba mara nyingi kuna waombolezaji wa aina tatu, wanandugu mara nyingi huwa wanalia kwa huzuni na ni rahisi kuwa gundua, kuna marafiki na majirani, lakini kuna watu wengine tu hulia kwa makelele saana hata kupita ndugu wa marehemu, CDM wanalia kama hilo kundi la tatu!! kwa nini? kwa nini tusilie pamoja kama wana ndugu (CUF,TLP,NCCR,UDP n.k) kwa nini CDM msiba wetu sote Watanzania wanalia kwa makelele? lipo tatizo hapo!
  4. Kuna vurugu zilitokea Arusha watu wakapoteza maisha, story zikawa nyiiiiingi ila watu wa Arusha pamoja na uongozi wa CDM hasa Slaa wanajua sababu ya hizo vurugu, Police kwa upande wao wametoa utetezi wa video ya matukio yote kwenye vyombo vya habari, CDM (Slaa) ikaahidi kujibu mapigo na kweli amejibu cd ziko sokoni!!! zinauzwa tena kwa Mujibu wa Mh. Regia Mtema, zinauzwa sh. 6000/=, kwa nini CDM iuze kanda mtaani badala ya kupeleka ubalozi wa EU, Wingereza, Marekani, au kwingineko kokote kuonyesha jinsi TZ isivyo kuwa democratic state ili CDM ipata hiyo sifa inayotaka? na pesa ya hiyo filamu inaenda kwa nani?
  5. Hivi CDM wanafikiri kama serikali ya CCM itapinduliwa kwa maandamano wakati watu watalifananisha hili na yale ya Tunisia, Egypt, Libya!! , this is being naive!!! maana itaonekana ni CDM na Slaa na wamepindua nchi baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana!! hivyo CDM haiata kuwa imeingia madarakani kihalali wala kidemokrasia!! hili mbona liko wazi??.
So far naona niishie hapo. naomba nieleweke kwamba i am an independet thinker so I hate baadhi wana JF wanaopenda kutukana wenzao ni vyema mtu ukajibu hoja ndio utakisaidia chama chako na sii kukilinda kwa matusi. thanks an I am out.

Nimefurahishwa sana na hapo nilipo RED. Hakika hao ni wapambe tu wanaochochea moto ima kwa kulipwa ujira na kuharibu mazingira au wanajipendekeza kwa nia au ahadi maalum.

Mimi naomba kwa nia zote hizo za Chadema basi washindwe na walegee
 
Are WE DARN CURSED OR WHAT?!!
HIVE MAMBO YANAYOFANYWA NA CCM KWELI WATU WANAENDELEA KUTETEA ETI KWA KUWA SERIKALI IMEPIGIWA KURA IKASHINDA!!
NI WAKTI WA KUACHANA NA SIASA ZA KIJINGA ZA KUFIKIRI UPINZANI UNALETA UMWAGAJI DAMU!!
MI NASEMA HAKUNA HAJA YA KUZUNGUMZIA AMANI KAMA NUSU YA WATANZANIA WANAISHI MAISHA TASA?!!

Hivi chadema ana jipya gani hapa nchini.
 

Dr. WSlaa na Mh. F. Mbowe, nimefuatilia kwa karibu mbinu mnazo tumia ili kukipa umaarufu CDM, likiwapo hili mnalofanya kwa wakati huu. Tatizo ninaloona na wale waliosoma theory of games, wanaona udhaifu mkubwa au kutokuwapo ma-strategists wazuri CDM. Sababu za kusema hivyo ni kama zifuatazo:
  1. Mnataka wananchi wawaunge mkono kuandamana nchi nzima kama walivyofanya Tunisia, Egypt, Libya na nchi nyinginezo za kiarabu ili kumng'oa JK na serikali yake madarakani, kwa ajili ya kupinga hali ngumu maisha kwa wananchi, ufisadi na sababu nyingine nyingi. Ni kweli serikali ina mapungufu hayo, na wananchi woote wanajua. Tatizo ni kwamba, ni kwanini Wewe Dr. Slaa na Mbowe ndio muwaambie si wanayajua matatizo yao wenyewe??
  2. Kama ni kufuata mfano wa Tunisia, Egypt, Libya, Hivi huko kwao kuna mtu au watu mithili ya Slaa, Mbowe au for that chama kama CDM kilicho waambia watoke mtaani kuandamana??? si wametoka wenyewe hamna wa kuwaambia fanya hiki wala kile wametoka na lao ni moja serikali itoke na wamefanikiwa!!
  3. Katika mila na desturi zetu za kiafrika huwa tunashirikiana katika shughuli mbali mbali za kijamii ikowemo misiba na sherehe mbali mbali, katika msiba mara nyingi kuna waombolezaji wa aina tatu, wanandugu mara nyingi huwa wanalia kwa huzuni na ni rahisi kuwa gundua, kuna marafiki na majirani, lakini kuna watu wengine tu hulia kwa makelele saana hata kupita ndugu wa marehemu, CDM wanalia kama hilo kundi la tatu!! kwa nini? kwa nini tusilie pamoja kama wana ndugu (CUF,TLP,NCCR,UDP n.k) kwa nini CDM msiba wetu sote Watanzania wanalia kwa makelele? lipo tatizo hapo!
  4. Kuna vurugu zilitokea Arusha watu wakapoteza maisha, story zikawa nyiiiiingi ila watu wa Arusha pamoja na uongozi wa CDM hasa Slaa wanajua sababu ya hizo vurugu, Police kwa upande wao wametoa utetezi wa video ya matukio yote kwenye vyombo vya habari, CDM (Slaa) ikaahidi kujibu mapigo na kweli amejibu cd ziko sokoni!!! zinauzwa tena kwa Mujibu wa Mh. Regia Mtema, zinauzwa sh. 6000/=, kwa nini CDM iuze kanda mtaani badala ya kupeleka ubalozi wa EU, Wingereza, Marekani, au kwingineko kokote kuonyesha jinsi TZ isivyo kuwa democratic state ili CDM ipata hiyo sifa inayotaka? na pesa ya hiyo filamu inaenda kwa nani?
  5. Hivi CDM wanafikiri kama serikali ya CCM itapinduliwa kwa maandamano wakati watu watalifananisha hili na yale ya Tunisia, Egypt, Libya!! , this is being naive!!! maana itaonekana ni CDM na Slaa na wamepindua nchi baada ya kushindwa uchaguzi mwaka jana!! hivyo CDM haiata kuwa imeingia madarakani kihalali wala kidemokrasia!! hili mbona liko wazi??.
So far naona niishie hapo. naomba nieleweke kwamba i am an independet thinker so I hate baadhi wana JF wanaopenda kutukana wenzao ni vyema mtu ukajibu hoja ndio utakisaidia chama chako na sii kukilinda kwa matusi. thanks an I am out.

Hujasahau kitu kaka?
Hakuna uasi wala mapinduzi yasiyokuwa na uongozi. Ni kwamba huna taarifa za kutosha tu. Tunisia, Misri na Libya kote huko kuna brains zinazowaleta watu pamoja na kupanga mikakati ndo maana wamefanikiwa. Wananchi wamaanza maandamano wenyewe hovyohovyo tu halafu nani akawapanga kuchukua kambi za kijeshi (mfano wa Libya)?
By the way, Chadema wana akili si kama wanakurupuka tu kama unavyofikiria. Wangekuwa wajinga kiasi hicho wangefanya vurugu kipindi SiSiMafisadi wanachakachua kura ili kupunguza aibu ya chama chao na hasa JK kwa kuwa kura zilikuwa chache mno na pengine kufikia kushindwa kabisa urais.
 
nabadliko duniani kote huletwa na wachache na kuenezwa kwa wengi hata huko misri, tunisia walianza wachache. nia ni 2015 CCM isiwepo kabisa watakaokuwepo wajindae kuzomewa mwanzo mwisho
Nina maana siku watu wakitoka nje basi iwe ni watanzania woote wametoka na sii CDM na wapenzi wao.
 
Back
Top Bottom