Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Nimesoma pia leo ktk Jambo Leo kwamba Chadema wameahirisha kuwasilisha pingamizi lao dhidi ya JK le ili kuwapa nafasi wanasheria wake walinoe zaidi. lakini habari kutoka kwa swahiba wangu katika uongozi wa ndani ya Chadema zinasema kuwa wanasheria hao wanataka kuhakikisha kwamba Tendwa hapati escape route yoyote ya ki-hoja ya kulitupilia mbali pingamizi hilo -- isipokuwa tu ibakie ile ya kuibeba tu CCM!
Mungu twakuachia wewe utuokoe na hii ccm!