silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
no one is perfect Kikwete anatakiwa atulie asianze kuleta Taarabu kwasababu huu si wakati wa Taarabu na maneno ya kwenye kanga, (vijembe) anatakiwa akae chini then afikirie kwanini Chadema wanamuwekea pingamizi siyo aanze vijembe kwasababu mmambumbumbu wake wawakilishi wa majimboni nao wanampigia meza tuu