Mkulima mimi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2009
- 233
- 31
- Thread starter
- #21
Hiyo nyekundu ni ungo mkubwa. Dr. Slaa hiyo sheria kaisomea wapi au sheria ya kanisa ndio inamfanya kubobea kitaaluma katika sheria?
Nawasiwasi kama Dr. Slaa hana washauri wa kweli. kwani habari ya mshahara kuongezeka sio ya leo na wala hajaanza baada ya kampeni. watu wamesha kula mishahara miwili mpya na kampeni hazina hata wiki sasa hapo si ukilaza jamani. Hao FOS au FOD wanamshauri nini kama ndio anatuletea hizi pumba hata kabla hajaanza kampeni.
Tatizo la jf hatujui umri wa mtu na elimu yake. Hili ndilo linachangia waropokaji kama wewe kupata jukwaa la kufukiza moshi! Sijakuelewa umeuliza unataka kujibiwa! Au umejijibu tayari? unahitaji kuwa na msimamo kama hujui kuwa kasoma sheria subiri sio unajifanya kuuliza na kujibu. Hatutaki mtu anayesaidia watu kufikiri kwa kuwapa uwanja mdogo tena ukiwaelekeza kwenye dini!
Kama unasema mishahara ilishaongezwa miezi miwili kwa nini haikutangazwa miezi hiyo miwili ya mwanzo? Badala yake anatangazia jukwaani kwenye kampeni? Ina maanisha alifanya siri ili iwe sera/ilani ya uchaguzi kipindi cha kuomba kura! Hii ni rusha au takrima!