Hakuna mtu anayemziba mdomo ila nampa tahadhari tu Tanzania ya leo siyo ya 2010.usimzibe mdomo mkuu hiyo siyo demokrasia...hata kama wewe hutakubaliana nae kuna watu bado tunaamini falsafa zake licha ya kutuita majina yanayowapendeza nyie
Hakuna mtu anayemziba mdomo ila nampa tahadhari tu Tanzania ya leo siyo ya 2010.usimzibe mdomo mkuu hiyo siyo demokrasia...hata kama wewe hutakubaliana nae kuna watu bado tunaamini falsafa zake licha ya kutuita majina yanayowapendeza nyie
ameenda kujifunza lugha na namna ya kudanganyaKashamaliza ile course yake ya Lugha?
Dr. Slaa asiwe tu kapewa shinikizo na mkewe. Atumie akili yake maana inaonekana kama ameiazimisha siku zinavyokwenda.
Sasa kwanza tujiulize hao CCM walishakataa kwenye Katiba yetu ya nchi tusiwe na wagonbea binafsi.usimzibe mdomo mkuu hiyo siyo demokrasia...hata kama wewe hutakubaliana nae kuna watu bado tunaamini falsafa zake licha ya kutuita majina yanayowapendeza nyie
Hoja mfu za Gwajoo zina ushahidi wa kutosha?? Hahahah
Kuna tetesi kuwa huenda Dr Slaa akaibuka wiki ijayo kumjibu askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Dr Slaa anamtuhumu mtumishi huyo wa Mungu kumleta Laigwanan Lowassa ndani ya UKAWA hivyo kumnyima fursa ya kugombea urais kupitia muungano huo wa vyama vya siasa.
Majibu ya Dr Slaa yanakuja baada ya kimya cha muda mrefu tangu askofu Gwajima alipoanika hadharani ukweli kuhusu Dr Slaa kustaafu siasa. Inadaiwa kwamba Dr Slaa amechukua muda mrefu kwa kuwa kwanza alikuwa akitafuta bomu kali la kuja kulipua.
Kwa sasa Dr Slaa yupo nchini Marekani akipumzika na mchumba wake Josephine Mushumbushi.
Awali askofu Gwajima alitahadhalisha kwamba atalipua bomu kali sana endapo Dr Slaa atajitokeza hadharani kumjibu. Haifahamiki mwanasiasa huyo mstaafu amejiandaa kiasi gani kupangua hoja za Gwajima ambazo zina ushahidi wa kutosha. Ni suala la kusubiri na kuona jinsi alivyojiandaa kujibu hoja.
MAONI YANGU
Naomba watanzania wenzangu tutulize mawazo yetu kwenye kampeni; tusiyumbishwe kamwe.
:yield:
usimzibe mdomo mkuu hiyo siyo demokrasia...hata kama wewe hutakubaliana nae kuna watu bado tunaamini falsafa zake licha ya kutuita majina yanayowapendeza nyie
Kuna tetesi kuwa huenda Dr Slaa akaibuka wiki ijayo kumjibu askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Dr Slaa anamtuhumu mtumishi huyo wa Mungu kumleta Laigwanan Lowassa ndani ya UKAWA hivyo kumnyima fursa ya kugombea urais kupitia muungano huo wa vyama vya siasa.
Majibu ya Dr Slaa yanakuja baada ya kimya cha muda mrefu tangu askofu Gwajima alipoanika hadharani ukweli kuhusu Dr Slaa kustaafu siasa. Inadaiwa kwamba Dr Slaa amechukua muda mrefu kwa kuwa kwanza alikuwa akitafuta bomu kali la kuja kulipua.
Kwa sasa Dr Slaa yupo nchini Marekani akipumzika na mchumba wake Josephine Mushumbushi.
Awali askofu Gwajima alitahadhalisha kwamba atalipua bomu kali sana endapo Dr Slaa atajitokeza hadharani kumjibu. Haifahamiki mwanasiasa huyo mstaafu amejiandaa kiasi gani kupangua hoja za Gwajima ambazo zina ushahidi wa kutosha. Ni suala la kusubiri na kuona jinsi alivyojiandaa kujibu hoja.
MAONI YANGU
Naomba watanzania wenzangu tutulize mawazo yetu kwenye kampeni; tusiyumbishwe kamwe.
:yield: