SUPER PREDATOR
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 2,093
- 725
Mpaka sasa hivi ninapozungumza Dr. Slaa bado hajapita kwenye mstari uliochorwa na baba askofu mch. Gwajima. Kama mtakumbuka vizuri wakati baba Askofu mch. Gwajima anamjibu Dr. Slaa kwa kumuita mshenga aliahidi kuwa endapo Dr. Slaa atajitokeza na kukanusha aliyosema basi angeweka hadharani mambo yote ya Dr. Slaa na mchumba wake. wananchi wanamuomba baba Askofu mch. Gwajima aweke tu hadharani mambo hayo kwa sababu inaonekana wazi kuwa Dr. Slaa hawezi kuvuka ule mstari.