Dr. Slaa: Kukimbia bunge hakusaidii

Hakuna mwenye leseni ya kuitawala tanzania,hilo lazima likae vichwani mwenu,nchi hii ni yetu sote
nchi hii ni yetu sote kwel, lakin hatuwezi kumkabidhi fisadi atuongoze, aende akachunge ng'ombe wake huko elkasmet, tena mumwambie awahi kwa maana ugonjwa wa BONDE LA UFA uko karibu kurud, asije shangaa akapoteza hata hao ng'ombe wote.
 
Mufulisi huyo

Mufilisi sio Slaa ni hawa hapa

13233029_1590768097881921_7440964151336377693_n-jpg.360620
 
hebu muwe mnahifadhi maneno yenu . dr slaa anaweza kurudi hata kesho chadema na still akawa na cheo kikubwa chamani, haraf akakukuta ww na kile cheo chako cha kufagia ofisi ya makene kwa maana ww hapo ufipa huna hata hadhi ya kufagia ofisi ya mbowe. muwe mnatunza maneno wafipa. jifunzeni kwa wenzenu cuf waliyemwita msaliti amerudi na anataka kiti chake na keshokutwa anakabidhiwa kiti.
Aaah!!;pole sana hivi unanijua Mimi vizuri wewe Mimi siyo wewe wa LUMUMBA UNAYEISHI KWA KUTEGEMEA BUKU 3!! Mimi Nina kazi yangu ya MAANA hata mshahara wangu huyo mwenykt HD raic wwn hanifikii!!
 
Aaah!!;pole sana hivi unanijua Mimi vizuri wewe Mimi siyo wewe wa LUMUMBA UNAYEISHI KWA KUTEGEMEA BUKU 3!! Mimi Nina kazi yangu ya MAANA hata mshahara wangu huyo mwenykt HD raic wwn hanifikii!!
mkuu kwani nani amekataa kuwa kufagia ofcni kwa makene hapo ufipa kunalipa vizuri kuliko kazi yangu mm hapa lumumba? hongera sana mkuu msalimie boss wako makene but nipigie pande na mm nipate day waka hapo ufipa tuje tusaidiane kupga deki. HIYO OFISI NI KUBWA HUUMII MGONGO?
 
Unatoa Maamuzi yanayohitaji Akidi wAKATI HUNA HUO UWEZO Kweli?
Na kibaya zaidi watu unaotaka wakuunge mkono kutokana na uchache wenu unatengeneza nao BIFF ?
MAAJABU.
 
Muulizeni Dr.Slaa , kwanini aliagiza wabunge wa Bunge la Katiba kutoka ? Mara hii kashasahau ? Ila sitaki kuamini kuwa yeye ndio kaandika haya .........inawezekana Delila ndio kaandika .......
 
Asituletee ya Ulipumba Hapa! Mbona yeye Kipindi Chake Walikuwa Wanatoka?! Nakwataarifa Yako Siye Siyo Kama CUF Hukija tena tunakuchinjia Baharini Nenda Ukawa shauri WALUMUMBA jinsi ya KUWANUNUA Viongozi Wenzako Uchwara Na WAJALI MATUMBO YAO Wa UKAWA
Wewe ni mtoto kifikra umejaa chiki busara zero
 
Kwani nayeye yumo Kwenye nafasi za uDC nauRC,samahani nauliza tu,maana huku kwetu hatuna Radio na TV
 
Dr Slaa amelonga kutoka huko Canada aliko.

Amesema kulikimbia bunge kwa mbinu za kulikwepa, ati kumpinga Dr Tulia Ackson kwa uonevu, hakusaidii upinzani katika malengo mapana.

Kulingana na gazeti la Raia Mwema toleo la June29~July2, 2016, Dr Slaa amesema msimamo huo ungekuwa na maana kama UKAWA ungekuwa na nguvu ya wingi bungeni.

Dr Slaa amesema alikuwa KUB katika bunge la Tisa na Kumi, na amekuwa bungeni toka bunge la Nane.

Amesema,
"Kambi rasmi ya upinzani daima tulitambua uchache wetu, na hivyo kwa kutambua hili, hatukuwahi kufanya maamuzi, kwa mfano ya kumsusia Spika, kwa kutambua kuwa hata kama hatumtaki, hatuna wingi wa kutosha kumkataa"

Dr Slaa amesema mbaya zaidi ni tamko la Mbowe ati kupambana na serikali, tamko alilolitoa Kahama, Shinyanga, hivi karibuni.

Matamshi hayo, Dr Slaa amesema si ya kisiasa kwa mwanasiasa makini.
Dr Slaa amesema tangazo la mapambano na serikali haliko katika shughuli za kawaida za kisiasa, kulingana na Sheria na 5/1992, na hivyo basi ukianza mapambano na dola mtu utegemee consequences.

MY TAKE
UKAWA huo ushauri wa bure toka kwa "kichwa" wa upinzani nchini.
Sasa hivi UKAWA hakuna uelekeo unaoeleweka, kazi kwenu.
Hivi Raia Mwema/ Raia Tanzania wana maslahi gani na Dk Slaa kwa habari zinazohusu Ukawa? Katika upeo wao (wahariri) wanadhani Mzee Slaa anaweza kuzungumza kitu positive kwa Ukawa. Inashangaza Raia Mwema wanamkariri Dk Slaa leo aki crash kauli ya Mbowe ya kupambana na serikali ilhali kauli kama hiyo ilikuwa kama kifungua kinywa kwake! Btw nani hajui kama mpinzani wa kweli ni lazima atarajie consequences?
 
Na yeye kukimbia kuwakomboa Watanzania kwa tamaa za tumbo lake hajajua ni usaliti unaostahili apigwe mawe mpaka afee???
Huyu hana cha kushari upinzani. Aendelee kulelewa na Ccm. Tumesha msahau na kumpuuza
Hilo swali kamuulize mbowe alilamba bei gani toka kwa fisadi mkuu
 
Back
Top Bottom