Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,440
- 1,962
Sa
sa aliyena mahaba hapa ni mimi au wewe. Sasa kama wakokwa mujibu wa shereia kwanini hawaingii Bungeni na mind yiu mimi sijasema Wabunge hawako kisheria hata kidogo.Ila nimesema wanatupotezea our precious time. Wakae Pembeni watupishe kwani sisis tunachotaka ni maendeleo nao wanaturudisha nyuma!Unajua ukizungumzacho kweli wewe?
Well, Tulia yuko pale kwa mujibu wa sheria.
Hawa usiowataka wewe wapo pale kwa mujibu wako kwani?...Watoe sasa!!
Jishughulishe kidogo kufahamu chanzo cha mgogoro wa wabunge hao na NS halafu uje tujadiliane
Vinginevyo naona kama tunabishana na mtu mwenye mahaba yasiyo na macho wala ufahamu asiyeona wala kuelewa chochote!!