Dr. Slaa: Kukimbia bunge hakusaidii

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,856
13,139
Dr Slaa amelonga kutoka huko Canada aliko.

Amesema kulikimbia bunge kwa mbinu za kulikwepa, ati kumpinga Dr Tulia Ackson kwa uonevu, hakusaidii upinzani katika malengo mapana.

Kulingana na gazeti la Raia Mwema toleo la June29~July2, 2016, Dr Slaa amesema msimamo huo ungekuwa na maana kama UKAWA ungekuwa na nguvu ya wingi bungeni.

Dr Slaa amesema alikuwa KUB katika bunge la Tisa na Kumi, na amekuwa bungeni toka bunge la Nane.

Amesema,
"Kambi rasmi ya upinzani daima tulitambua uchache wetu, na hivyo kwa kutambua hili, hatukuwahi kufanya maamuzi, kwa mfano ya kumsusia Spika, kwa kutambua kuwa hata kama hatumtaki, hatuna wingi wa kutosha kumkataa"

Dr Slaa amesema mbaya zaidi ni tamko la Mbowe ati kupambana na serikali, tamko alilolitoa Kahama, Shinyanga, hivi karibuni.

Matamshi hayo, Dr Slaa amesema si ya kisiasa kwa mwanasiasa makini.
Dr Slaa amesema tangazo la mapambano na serikali haliko katika shughuli za kawaida za kisiasa, kulingana na Sheria na 5/1992, na hivyo basi ukianza mapambano na dola mtu utegemee consequences.

MY TAKE
UKAWA huo ushauri wa bure toka kwa "kichwa" wa upinzani nchini.
Sasa hivi UKAWA hakuna uelekeo unaoeleweka, kazi kwenu.
 
Asituletee ya Lipumba Hapa! Mbona yeye Kipindi Chake Walikuwa Wanatoka?! Nakwataarifa Yako Siye Siyo Kama CUF Hukija tena tunakuchinjia Baharini Nenda Ukawa shauri WALUMUMBA jinsi ya KUWANUNUA Viongozi Wenzako Uchwara Na WAJALI MATUMBO YAO Wa UKAWA
 
Dr Slaa amelonga kutoka huko Canada aliko.

Amesema kulikimbia bunge kwa mbinu za kulikwepa, ati kumpinga Dr Tulia Ackson kwa uonevu, hakusaidii upinzani katika malengo mapana.

Kulingana na gazeti la Raia Mwema toleo la June29~July2, 2016, Dr Slaa amesema msimamo huo ungekuwa na maana kama UKAWA ungekuwa na nguvu ya wingi bungeni.

Dr Slaa amesema alikuwa KUB katika bunge la Tisa na Kumi, na amekuwa bungeni toka bunge la Nane.

Amesema,
"Kambi rasmi ya upinzani daima tulitambua uchache wetu, na hivyo kwa kutambua hili, hatukuwahi kufanya maamuzi, kwa mfano ya kumsusia Spika, kwa kutambua kuwa hata kama hatumtaki, hatuna wingi wa kutosha kumkataa"

Dr Slaa amesema mbaya zaidi ni tamko la Mbowe ati kupambana na serikali, tamko alilolitoa Kahama, Shinyanga, hivi karibuni.

Matamshi hayo, Dr Slaa amesema si ya kisiasa kwa mwanasiasa makini.
Dr Slaa amesema tangazo la mapambano na serikali haliko katika shughuli za kawaida za kisiasa, kulingana na Sheria na 5/1992, na hivyo basi ukianza mapambano na dola mtu utegemee consequences.

MY TAKE
UKAWA huo ushauri wa bure toka kwa "kichwa" wa upinzani nchini.
Sasa hivi UKAWA hakuna uelekeo unaoeleweka, kazi kwenu.
Tangu lini mwana ccm akatoa ushauri mzuri na wenye anufaa kwa wapinzani wake kisiasa?huyo slaaa ni ccm na sasa anatafuta gia ya kuingilia bongo baada ya mpunga kumuishia
 
Dr Slaa amesema mbaya zaidi ni tamko la Mbowe ati kupambana na serikali, tamko alilolitoa Kahama, Shinyanga, hivi karibuni.
Matamshi hayo, Dr Slaa amesema si ya kisiasa kwa mwanasiasa makini.
Dr Slaa amesema tangazo la mapambano na serikali haliko katika shughuli za kawaida za kisiasa, kulingana na Sheria na 5/1992, na hivyo basi ukianza mapambano na dola mtu utegemee consequences.
.

UKAWA wa sasa hawajielewi kabisa.
Wanapambana na Spika bungeni
Wanapambana na serikali
wanapambana na polisi
Wanapambana na mahakama

Haya weeeee!!!! Wamejipa kuwa wao ni muhimili wa nne unaojitegemea
 
Tangu lini mwana ccm akatoa ushauri mzuri na wenye anufaa kwa wapinzani wake kisiasa?huyo slaaa ni ccm na sasa anatafuta gia ya kuingilia bongo baada ya mpunga kumuishia
Mkuu Ukawa wajiuzulu kabisa ubunge kuonyesha udhati wao kumpinga Dr Ackson.
Kwa sasa wanacheza makida makida, mchezo wa kitoto.
 
Na yeye kukimbia kuwakomboa Watanzania kwa tamaa za tumbo lake hajajua ni usaliti unaostahili apigwe mawe mpaka afee???
Huyu babu hana cha kushari upinzani. Aendelee kulelewa na Ccm kama katoto. Tumesha msahau na kumpuuza
Hana chochote alicho kisahau upinzani,yeye na lyatonga pamoja na cheyo lao ni moja tu
 
Slaa anatoa ushauri akiwa gizani... aje nchini
Kama ameamua kujificha atulize maul lake
 
Mkuu Ukawa wajiuzulu kabisa ubunge kuonyesha udhati wao kumpinga Dr Ackson.
Kwa sasa wanacheza makida makida, mchezo wa kitoto.
Kwani wao walipelekwa bungeni na huyo tulia?sisi wapiga kura ndiyo tuliyo watuma bungeni na hivyo tupo nao na tuna wapongeza kwa wanacho endelea kufanya
 
UKAWA wa sasa hawajielewi kabisa.
Wanapambana na Spika bungeni
Wanapambana na serikali
wanapambana na polisi
Wanapambana na mahakama

Haya weeeee!!!! Wamejipa kuwa wao ni muhimili wa nne unaojitegemea
UKAWA sikio la kufa halisikii cha mhubiri wala muadhini.
 
Dr Slaa amelonga kutoka huko Canada aliko.

Amesema kulikimbia bunge kwa mbinu za kulikwepa, ati kumpinga Dr Tulia Ackson kwa uonevu, hakusaidii upinzani katika malengo mapana.

Kulingana na gazeti la Raia Mwema toleo la June29~July2, 2016, Dr Slaa amesema msimamo huo ungekuwa na maana kama UKAWA ungekuwa na nguvu ya wingi bungeni.

Dr Slaa amesema alikuwa KUB katika bunge la Tisa na Kumi, na amekuwa bungeni toka bunge la Nane.

Amesema,
"Kambi rasmi ya upinzani daima tulitambua uchache wetu, na hivyo kwa kutambua hili, hatukuwahi kufanya maamuzi, kwa mfano ya kumsusia Spika, kwa kutambua kuwa hata kama hatumtaki, hatuna wingi wa kutosha kumkataa"

Dr Slaa amesema mbaya zaidi ni tamko la Mbowe ati kupambana na serikali, tamko alilolitoa Kahama, Shinyanga, hivi karibuni.

Matamshi hayo, Dr Slaa amesema si ya kisiasa kwa mwanasiasa makini.
Dr Slaa amesema tangazo la mapambano na serikali haliko katika shughuli za kawaida za kisiasa, kulingana na Sheria na 5/1992, na hivyo basi ukianza mapambano na dola mtu utegemee consequences.

MY TAKE
UKAWA huo ushauri wa bure toka kwa "kichwa" wa upinzani nchini.
Sasa hivi UKAWA hakuna uelekeo unaoeleweka, kazi kwenu.

Kichwa kilichoshindwa mapambano na kukimbilia nje ni kichwa cha kujivunia hicho?
 
Ni yeye ndo alosababisha watu kuuawa Arusha kwa maandamano ya kijinga eti nchi haitotawalika! Naona laana ya JK juu yake inazidi kumtafuna, kwa sasa hana tena ule umaarufu na heshima alokuwa nayo kutoka kwa wana mageuzi na watanzania kwa ujumla. Aliamini JPM atamkumbuka kwa kujipendekeza sasa imekula kwake.
 
Anataka upinzani ubariki maovu kwa sababu ya uchache wao bungeni?

Fikira finyu haziwezi kulikomboa taifa

Mbona yeye alitoroka nchi na akijua hana impact yoyote kwenye chama
 
Back
Top Bottom