Kweli kukimbia bunge hakusaidii, je yeye kukimbia nchi kumesaidia nini?
Ukiona hivyo fungu alilosepa nalo canada ndio limekwisha hivyo anatafuta gia ya kuingilia bongo,si umemuona lipumba?Alishakula pesa akasaliti mabadiliko basi akae kimya,upinzani haumuhusu tena!
ujinga wao wanataka kuongoza serikali wakati wao ni wapinzani.Dr Slaa amelonga kutoka huko Canada aliko.
Amesema kulikimbia bunge kwa mbinu za kulikwepa, ati kumpinga Dr Tulia Ackson kwa uonevu, hakusaidii upinzani katika malengo mapana.
Kulingana na gazeti la Raia Mwema toleo la June29~July2, 2016, Dr Slaa amesema msimamo huo ungekuwa na maana kama UKAWA ungekuwa na nguvu ya wingi bungeni.
Dr Slaa amesema alikuwa KUB katika bunge la Tisa na Kumi, na amekuwa bungeni toka bunge la Nane.
Amesema,
"Kambi rasmi ya upinzani daima tulitambua uchache wetu, na hivyo kwa kutambua hili, hatukuwahi kufanya maamuzi, kwa mfano ya kumsusia Spika, kwa kutambua kuwa hata kama hatumtaki, hatuna wingi wa kutosha kumkataa"
Dr Slaa amesema mbaya zaidi ni tamko la Mbowe ati kupambana na serikali, tamko alilolitoa Kahama, Shinyanga, hivi karibuni.
Matamshi hayo, Dr Slaa amesema si ya kisiasa kwa mwanasiasa makini.
Dr Slaa amesema tangazo la mapambano na serikali haliko katika shughuli za kawaida za kisiasa, kulingana na Sheria na 5/1992, na hivyo basi ukianza mapambano na dola mtu utegemee consequences.
MY TAKE
UKAWA huo ushauri wa bure toka kwa "kichwa" wa upinzani nchini.
Sasa hivi UKAWA hakuna uelekeo unaoeleweka, kazi kwenu.
Alisema ame acha siasa " abaki kwenye point yake
Wewe ukikuwa mmoja wao, umejitoa lini? Aaah kumbe wewe cdm masalia! Huyo slaa ni kati ya wanafiki10 bora duniani na ni mfuasi wa Yuda Isiariot aliyemsaliti Yesu. Dua za uliowasakiti itamchafua daima. Amewafanya wasomi watengwe na kutoaminiwa tena na jamii. Aibu yake na huyo anayemzuzua. Kama kweli kidume arudi ayaseme haya anayotumwa na ccm wenzake apime upepo wa wataka demokrasia utakavyompulizia mbali.Mkuu Ukawa wajiuzulu kabisa ubunge kuonyesha udhati wao kumpinga Dr Ackson.
Kwa sasa wanacheza makida makida, mchezo wa kitoto.
Hayo ndio yalikuwa matamshi ya kisiasa..Dr Slaa si ndiyo alisema atahakikisha nchi haitawaliki?
kimsingi UKAWA wanamgomea nani? Ikiwa wanadai bunge ni chombo huru, sasa ni nani wakuja kutatua huo mzozo wa kitoto! poor CDM, Poor UKAWA! poor KUB!Hana chochote alicho kisahau upinzani,yeye na lyatonga pamoja na cheyo lao ni moja tu
Mihogo ya Canada mzee imemchanganya mpaka kasahau kwaoIla kukimbia uchaguzi ndio kulisaidia demokrasia?! Akili za ukimbizi wa uzeeni ni shida.
hebu muwe mnahifadhi maneno yenu . dr slaa anaweza kurudi hata kesho chadema na still akawa na cheo kikubwa chamani, haraf akakukuta ww na kile cheo chako cha kufagia ofisi ya makene kwa maana ww hapo ufipa huna hata hadhi ya kufagia ofisi ya mbowe. muwe mnatunza maneno wafipa. jifunzeni kwa wenzenu cuf waliyemwita msaliti amerudi na anataka kiti chake na keshokutwa anakabidhiwa kiti.Asituletee ya Ulipumba Hapa! Mbona yeye Kipindi Chake Walikuwa Wanatoka?! Nakwataarifa Yako Siye Siyo Kama CUF Hukija tena tunakuchinjia Baharini Nenda Ukawa shauri WALUMUMBA jinsi ya KUWANUNUA Viongozi Wenzako Uchwara Na WAJALI MATUMBO YAO Wa UKAWA
kwani huyo lowaxa anayewapa ushauri nan kakwambia si mwana ccm?Tangu lini mwana ccm akatoa ushauri mzuri na wenye anufaa kwa wapinzani wake kisiasa?huyo slaaa ni ccm na sasa anatafuta gia ya kuingilia bongo baada ya mpunga kumuishia
Wenye Chadema hawawezi kumsema vibaya Dr. Slaa hawa kama ulivyowaita Wafagiaji ni MAVUVUZELA tu.hebu muwe mnahifadhi maneno yenu . dr slaa anaweza kurudi hata kesho chadema na still akawa na cheo kikubwa chamani, haraf akakukuta ww na kile cheo chako cha kufagia ofisi ya makene kwa maana ww hapo ufipa huna hata hadhi ya kufagia ofisi ya mbowe. muwe mnatunza maneno wafipa. jifunzeni kwa wenzenu cuf waliyemwita msaliti amerudi na anataka kiti chake na keshokutwa anakabidhiwa kiti.