Dr Slaa kufikishwa Mahakamani!

Dr Slaa kufikishwa Mahakamani!

kiutaratibu au kisheria huwezi kumkashifu rais kumtukana au kumbeza hadharani chadema wanatakôa vurugu na vurugu hawaiwezi cuf katika kumbukumbu zangu sijawahi kumbuka kutenda vitendo kama chadema anavyofanya.
lakini naishauri serikali sheria zipo vyombo vya usalama ndipo mnapodharaulika kutokuwachukulia hatua watu wanaojifanya machizi
Wewe ni mwana CCM mwenzangu lakini ni mjinga sana. Futeni basi demokrasia ya vyama vingi tubaki peke yetu tukiimbiana nyimbo za hewala bwana hata kama umeingizwa dole la machoni
 
Mtu wa watu Babu seya atoke kwanza ndo Dr slaa aitwe sawa mleta uzi?
Thread ipo kama mama yako ndo kaiandika.
 
Nendeni mahakamani haraka sana! Kama ambavyo mmekuwa mnatishia kwenda halafu hamuendi.
 
Mie nadhani waendelee kumpuuza tu Dr.Slaa hana athari yeyote kwa watanzania, hakuna adhabu kali kama kumpuuza mtu mropokaji.
 
kwan kesi ngap mmefungua na hakuna ht moja mmeshinda mtu hawezi kukurupuka na kuongea kitu bila ushahidi. ok. tusubiri
 
Dr. Slaa sio wa kushitaki mahakamani,hata yale ambao yalikuwa yamejificha yatawekwa hadharani,jaribuni muone moto wake.
Hapa yataibuka mengne,msitishie kujamba wakati mnaharisha. Dr. Slaa atawavua nguo mmbaki uchi wa mbuzi
 
Kibabu kijinga sana kile, upadri umekishinda kinapora wake za watu!

Hujui kuwa Kikwete ndie aliyesababisha Viki Kamata asiolewe?

Au hujui ugomvi wa Viki Kamata na wale machangu wenzake wa bungeni ni kwa sababu ya Jakaya Kikwete?

Umesahau kuwa Kkwete alipoenda Bukoba badala ya kulala Ikulu ndogo ya Bukoba alilala kwa Anna Tibaijuka?

Unajua kwenye hiyo safari ya kulala kwa Anna Kikwete alikataa kata kata kwenda na Salma?

Sasa jibu swali langu. Kikwete ni mzinzi au sio mzinzi?
 
Vizuri! hiyo ni dalili kuwa kama hiyo habari ilikuwa ya kweli basi imeshindikana.back Tanganyika
 
Hao wanao taka kuenda mahakaman wanataka kumchongea baba rz.
 
Miye nikikuona unamuita Dr mzinifu! ninakutaka ulinganishe na huyo mwasherati wa karne aliyekalia magogoni!! Acha utani tusikutajie vimada wanaohongwa vyeo na wengine fedha za walipa kodi! Acha utani usija ukamuaibisha mkuu wa nchi yako!! Acha utani usije ukaumbuka kwa ukweli!!

1.Nani kapora mke mtu?.
2.Nani kashindwa upadri?
3.Nani kavunjwa mkono na demu wake?
Na mengineyo
 
Hujui kuwa Kikwete ndie aliyesababisha Viki Kamata asiolewe?

Au hujui ugomvi wa Viki Kamata na wale machangu wenzake wa bungeni ni kwa sababu ya Jakaya Kikwete?

Umesahau kuwa Kkwete alipoenda Bukoba badala ya kulala Ikulu ndogo ya Bukoba alilala kwa Anna Tibaijuka?

Unajua kwenye hiyo safari ya kulala kwa Anna Kikwete alikataa kata kata kwenda na Salma?

Sasa jibu swali langu. Kikwete ni mzinzi au sio mzinzi?

Sio mzinzi.
 
Back
Top Bottom