Ni upuuzi kumpeleka mahakamani huyo mwehu. Anatafuta umaharufu wa bure. Ni sawa na kumkimbiza mwehu aliyepeleka nguo zako ulipokua unaoga mtoni.
Na kwa uzi huu unalipwa??? Dah ccm mnalo mwaka huu...
Nani ni mtu maarufu kuzidi wote nchi hii kama siyo slaa?Dr slaa akianza ziara tu ccm huhaha!slaa ni maarufu kuliko wakubwa zako.
usisahau ule mkanda wa china na sembe upo. kazi kwenu
Huyu Mzee apuuzwe tu!
Hiyo ndiyo adhabu yake! Anatafuta attention tu! Hana lolote!
Huyu Mzee apuuzwe tu!
Hiyo ndiyo adhabu yake! Anatafuta attention tu! Hana lolote!
Huyu Mzee apuuzwe tu!
Hiyo ndiyo adhabu yake! Anatafuta attention tu! Hana lolote!
Hivi unajua Dr slaa ni mwana sheria? Na kawaida ya mwanasheria awezi sema kitu bila kuwa na ushahidi
Hahahaha! Magamba bwana haya bado tunasubiri Tamko la Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu....Hivi alipo warusha mafisadi live pale Mwembe yanga....Mkatishia mtakwenda mahakamani mliishia wapi?
Thubutu!! nani ampeleke akamkaange mkuu dunia nzima isikie!! vitisho tuu!! TL, jipangeni kusanyeni hata zile za uvunguni ili tuwaaibishe hawa majizi waliokalia juu ya sheria!!WanaJF,
Kufuatia tuhuma mbalimbali ambazo Dr Slaa amezielekeza kwa mkuu wa nchi, rais wa JMT, Dr Kikwete, wadau mbalimbali wamejipanga kuhakikisha Dr Slaa anapelekwa mahakamani kwa lengo moja tu, nalo ni kuthibitisha tuhuma zake dhidi ya mkuu wa nchi.
Dr Slaa ambae ni katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini (CHADEMA) ameelekeza tuhuma nzito kwa rais Kikwete bila kutoa ushahidi wowote wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari siku ya alhamisi ya tarehe 16/10/2014.
Wadau hao wamesema kwa kipindi kirefu tu wamekuwa wakimpuuza Dr Slaa kutokana na tuhuma zake hewa dhidi ya CCM na viongozi wa serikali, lakini wadau hao wameongeza kwamba, kwa hatua ambayo Dr Slaa ameifikia sio tena ya kupuuzwa, bali anapaswa kuwajibishwa.
Aidha, itakumbukwa kuwa ni desturi ya Dr Slaa kuongea maneno ya hovyo kutokana na tabia yake ya kuokoteza habari za vijiweni ambazo kimsingi hazina tija yoyote kwa Watanzania. Hivyo wadau hao wameazimia kumuadabisha kutokana na tabia yake.