Dr Slaa kufikishwa Mahakamani!

Dr Slaa kufikishwa Mahakamani!

alishindwa mtoto wa rais kwenda mahakamani watakuwa hao WADAU wasio hata na majina....labda kama ni WANYARWANDA
 
Hivi chenge ameshafungwa kwa lile kosa la ufisadi?

Ndugu yangu afungwe tena? ukistaajabu ya Mussa, yaani yeye ndo staa wa Magamba yote, kwani gamba liling'ang'ania na sasa kazawaidia kutunga katiba ya kifisadi kwa kwenda mbele! only in TZ
 
Habari hii haikuwa na maana yoyote kuletwa hapa. wanaoenda mahakamani la msingi ni kuenda huko siyo kututangazia hapa.

Mkuu mahakama yao iko hapa jf kupitia keyboard za lap top za msaada toka china wakiwa wamekaa pale Lumumba wewe subiri watakuja na hukumu muda si mrefu ili wawahi mgao wa buku 7 c unajua weekend inaanza
 
Waliufyata alipotajwa kwenye list of shame itakuwa hili? Hao ni wajinga wachache wanaoishi kwa kujikomba. Wanataka kusema wao wanauchungu kuliko mkewe au wanae. Hawana akili

Wadau wenyewe ndio hawa mkuu wanaomba posho ya kushinda nyuma ya key board pale lumumba wakitetea uozo na ufisadi wa viongozi wa ccm
wadau.jpg
 
Thread zingine bwana. Hii haina tofauti na mada inayojadiliwa kuhusu Dr. Slaa alimradi tu mtu kajisikia anaandika. Mnatujazia jukwaa na thread zisizo na tija.
 
Ukweli unaumaaaaah ona wanavyotapatapa sasa kama muongo nendeni mahakamani.
 
WanaJF,

Kufuatia tuhuma mbalimbali ambazo Dr Slaa amezielekeza kwa mkuu wa nchi, rais wa JMT, Dr Kikwete, wadau mbalimbali wamejipanga kuhakikisha Dr Slaa anapelekwa mahakamani kwa lengo moja tu, nalo ni kuthibitisha tuhuma zake dhidi ya mkuu wa nchi.

Dr Slaa ambae ni katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini (CHADEMA) ameelekeza tuhuma nzito kwa rais Kikwete bila kutoa ushahidi wowote wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari siku ya alhamisi ya tarehe 16/10/2014.

Wadau hao wamesema kwa kipindi kirefu tu wamekuwa wakimpuuza Dr Slaa kutokana na tuhuma zake hewa dhidi ya CCM na viongozi wa serikali, lakini wadau hao wameongeza kwamba, kwa hatua ambayo Dr Slaa ameifikia sio tena ya kupuuzwa, bali anapaswa kuwajibishwa.

Aidha, itakumbukwa kuwa ni desturi ya Dr Slaa kuongea maneno ya hovyo kutokana na tabia yake ya kuokoteza habari za vijiweni ambazo kimsingi hazina tija yoyote kwa Watanzania. Hivyo wadau hao wameazimia kumuadabisha kutokana na tabia yake.

Habari ingekuwa ni kwamba mmefungua kesi na kutuwekea file no;ya kesi yenyewe.Vinginevyo ni vitisho tu.MTU MZIMA HATISHIWI NYAU.
 
kumbe bado unaexist? Mzima lakini? Manake wewe umekuwa kazi yako ni moja tu kuapmbana na dr slaa. Ila kwa muda haukuwepo hewani au ulikuwa unakuja kwa id tofauti. Au wewe ni nape?

alikuwa amekua ban huyu dogo.
 
Aroba una akili sawa na picha ya kwenye wall yako. That shows how your mind is set. Ridiculous!!! Jifunze ku-argue usijivunje kuropoka. Dr Slaa is another figure that no one can 'just try' to shake him. Kwanza hahitaji hata wakili. Mi nashangaa ooh wadau wamejipanga kwenda mahakamani sijui nini. Mhusika si aongee mnamwongelesha nini au ndio mnajikomba awape nafasi kabla ya kuondoka?
 
Wadau hao ni Nape, Kinana, Wasira., Mwandiwani, Ritz et al!
 
WanaJF,

Kufuatia tuhuma mbalimbali ambazo Dr Slaa amezielekeza kwa mkuu wa nchi, rais wa JMT, Dr Kikwete, wadau mbalimbali wamejipanga kuhakikisha Dr Slaa anapelekwa mahakamani kwa lengo moja tu, nalo ni kuthibitisha tuhuma zake dhidi ya mkuu wa nchi.

Dr Slaa ambae ni katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini (CHADEMA) ameelekeza tuhuma nzito kwa rais Kikwete bila kutoa ushahidi wowote wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari siku ya alhamisi ya tarehe 16/10/2014.

Wadau hao wamesema kwa kipindi kirefu tu wamekuwa wakimpuuza Dr Slaa kutokana na tuhuma zake hewa dhidi ya CCM na viongozi wa serikali, lakini wadau hao wameongeza kwamba, kwa hatua ambayo Dr Slaa ameifikia sio tena ya kupuuzwa, bali anapaswa kuwajibishwa.

Aidha, itakumbukwa kuwa ni desturi ya Dr Slaa kuongea maneno ya hovyo kutokana na tabia yake ya kuokoteza habari za vijiweni ambazo kimsingi hazina tija yoyote kwa Watanzania. Hivyo wadau hao wameazimia kumuadabisha kutokana na tabia yake.

hao wadau ndio akina nani??
 
Tulia Hamida,acha kutuletea story za saluni,kwanza tunahamasishana kujiandikisha kwenya daftari la kudumu la wapiga kura,halafu uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu,na kura ya maoni ya ile katiba yenu na Sitta mliyochakachua,baada ya hapo ndio urudi kubwabwaja.
 
1.Nani kapora mke mtu?.
2.Nani kashindwa upadri?
3.Nani kavunjwa mkono na demu wake?
Na mengineyo
Nani mwenye watoto wasiojua mama zao?
Nani amevunja ndoa za MADC watano?
Nani amemzuia mbunge viti maalum mwanza asiolewe?
Ni nani anayekimbia kubadilisha damu ughaibuni sababu ya ngoma?
Ni nani ambaye kodi zetu zinaishia kwa mahawara!
Ni nani mwenye ngoma anayeanguka majukwaani hovyo hovyo?
 
Back
Top Bottom