nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Afadhali apelekwe mahakamani ili tukajue mbivu na mbichi huko.
Huyu si mwanamke ni mwanaume msemaji wa CCM, siku za hivi karibuni alikiwa natumia akaunti ya Tandaleone.Ulikuwa matenity leave nin sijakuona siku ming kwel
Kumpeleka chizi mahakamani ni kumuonea tu
Kumpeleka chizi mahakamani ni kumuonea tu
Anaza na Kinana, kingunge, msekwa, Lowassa , Sitta, Mangula, kikwete na mshua wako.Huyu Mzee apuuzwe tu!
Hiyo ndiyo adhabu yake! Anatafuta attention tu! Hana lolote!