Dr. Slaa: Kikwete mmiliki wa DOWANS...

unapoamua kutoona kwa makusudi kabisa ni lazima hutoona
wenzako wanavyoviona.
hivyo msaada ni bora ufungue macho uone

vinginevyo utabaki kutoona japo uwezo wa kuona unao. ni hilo tuu.

- Ninachoona ni kwamba CCM ina wabunge wengi waliochaguliwa na wanachi wengi, politically maana yake ni kwamba wataendelea kuwa na the upperhand kwenye maamuzi yote muhimu ya taifa bungeni, including marekebisho ya katiba kama yatakuwepo na kupitia bungeni kwa their approval, sihitaji PhD kuelewa hili, infact Dr. Slaa na Chadema wangekua wawazi from now on kwamba chances za kupata katiba mpya yenye mawazo yake tu na Chadema ni zero, ili tusije mbele ya safari tukasikia maneno ya kuchakachua, wakati ukweli uko very clear kwamba uwezekano ni zero!

William.
 
-Je mmiliki wa Dowans ni nani?
-Kwa nini hakuna tamko rasmi la serikali juu ya uhalali wa malipo kwa Dowans?
-Kwanini Raisi ambaye ndiye kiongozi mkuu wa serikali hasemi kitu juu ya Dowans?
-Je raisi wa nchi ni nani?
-Je uraisi wake una uhalali wowote ndani ya dhaimiri za wapiga kura?
 


You write then You think, do it opposite way, u r not good at brainstorming at all, &
you stopped putting FACTS, FACTS today still indoor thinking u possess
1. No Amendmends, we need new constitution, be clear of that, then kama kuna
mazuri in Old const. tutaingiza, period, sijui kama unajua tofauti hapa
2. hakuna mahala katiba itafuata uamuzi wa Dr. Slaa & CDM pekee, ila hoja hii ilikuwa
ya CDM during election, ila uundwaji utashirikisha ALL, as it touches all of us, na tume iwe huru si ya kuchaguliwa na rais, so think then write na acha ligi za michangani hapa as you are.

- Ligi ya mchangani ni pale one anaposhindwa kuelewa kwamba CCM ina wabunge wengi waliochaguliwa na wananchi wengi, maana yake ni kwamba wao ndio wenye upperhand ya nini kibadilishwe na nini kisibadilishwe, unless hiyo katiba mpya ikatengenezewe nje ya bunge, against katiba ya Jamhuri.

- Haya wala sihitaji kufikiria sana kabla ya kuandika na wala hakuna haja ya ligi, maana ni kukimbiza upepo!


William.
 
- Ninachoona ni kwamba CCM ina wabunge wengi waliochaguliwa na wanachi wengi, politically maana yake ni kwamba wataendelea kuwa na the upperhand kwenye maamuzi yote muhimu ya taifa bungeni, including marekebisho ya katiba kama yatakuwepo na kupitia bungeni kwa their approval, sihitaji PhD kuelewa hili, infact Dr. Slaa na Chadema wangekua wawazi from now on kwamba chances za kuapta katiba mpya yenye mawazo yake tu na Chadema ni zero, ili tusije mbele ya safari tukasikia maneno ya kuchakachua, wakati ukweli uko very clear kwamba uwezekano ni zero!

William.

Where are u living? hakuna cha kuhitaji baraka za Bunge, ww upo nyuma still, katiba si ya bunge pekeee, what is on is TUME HURU ya kuchukua maoni of which tunataka
iwe huru, si Bunge.
Pili rais kashasema ni katiba Mpya si marekebisho, this is very clear, ww uko wapi, follow issues properly hujui keep shut up
 
Where are living? hakuna cha kuhitaji baraka za Bunge, ww upo nyuma still, katiba si ya bunge pekeee, what is on is TUME HURU ya kuchukua maoni of which tunataka
iwe huru, si Bunge.
Pili rais kashasema ni katiba Mpya si marekebisho, this is very clear, ww uko wapi, follow issues properly hujui keep shut up

- Duh! kweli mkuu uko mbele sana, ngoja ni shut up ha! ha! ha!.

William.
 
- Ligi ya mchangani ni pale one anaposhindwa kuelewa kwamba CCM ina wabunge wengi waliochaguliwa na wananchi wengi, maana yake ni kwamba wao ndio wenye upperhand ya nini kibadilishwe na nini kisibadilishwe, unless hiyo katiba mpya ikatengenezewe nje ya bunge, against katiba ya Jamhuri.

- Haya wala sihitaji kufikiria sana kabla ya kuandika na wala hakuna haja ya ligi, maana ni kukimbiza upepo!

William.


still you get XXXXXX 00% si BUNGE linatengeneza katiba mpya, ila ni maoni ya Wadau wote, hata mm na ww tunahusika, bunge is just

part of it as a contributor, sio Final authority on New constitution making process, u don't understand, amigos, ciao
 
still you get XXXXXX 00% si BUNGE linatengeneza katiba mpya, ila ni maoni ya Wadau wote, hata mm na ww tunahusika, bunge is just [/SIZE]
part of it as a contributor, sio Final authority on New constitution making process

- Aminia sana mkuu uko mbele sana na haya mambo ya katiba na bunge!



William.
 
Unategemea nini wakati rais Mwizi anapokuwa na shauku ya kuwaibia walipa kodi hata kile kidogo walichonacho. JK anafahamu wazi kwamba hakushinda urais hivyo alitumia mbinu zile zile za Wizi wa kura na kufikiri atakaa raha mustarehe, safari hii Wadanganyika wanasema No hatoki mtu hapo hadi kieleweke. Ukiiba unadanganya na njia ya mwongo ni fupi.

Msione makuwadi wengi wanaingia hapa na ngozi za kondoo na kusema ati Chama Cha Majambazi kilichaguliwa na wananchi au wabunge wengi wanakubalika na wananchi huu ni ulaghai kwa sababu wengi wao wametumwa/wanalipwa kuja kufunika kombe hapa ili mwanaharamu apite wanakumbana na visiki kwa sababu Tanzania ya leo sio ile ya jana iliyolala. Muulizeni JK alikwenda USA kufanya nini kama sio kuhamisha fweza za walipa kodi? Maajar baada ya kumtajirisha sana JK pale London alipelekwa USA strategically kwa kazi hiyo.


Kama kweli JK sio mmiliki wa Dowans aseme hadharani na mwenye Dowans Wadanganyika wanasema hawatamlipa hata akienda Jehanam.
 
- Ninachoona ni kwamba CCM ina wabunge wengi waliochaguliwa na wanachi wengi, politically maana yake ni kwamba wataendelea kuwa na the upperhand kwenye maamuzi yote muhimu ya taifa bungeni, including marekebisho ya katiba kama yatakuwepo na kupitia bungeni kwa their approval, sihitaji PhD kuelewa hili, infact Dr. Slaa na Chadema wangekua wawazi from now on kwamba chances za kupata katiba mpya yenye mawazo yake tu na Chadema ni zero, ili tusije mbele ya safari tukasikia maneno ya kuchakachua, wakati ukweli uko very clear kwamba uwezekano ni zero!

William.

Katiba si iko juu ya mihimili yote. Ukiamua kutumia tu bunge hutawakilisha mawazo ya Watanzania wote. Hata ukiangalia idadi ya waliopiga kura ni Watanzania wachache sana. Nadhani Dr Slaa yu sahihi kabisa.
 
Kinachonishangaza, kunisikitisha na kunifadhaisha ni kuwa bado kuna watu miongoni mwetu Watanzania wenye ujasiri wa kumtetea Jakaya Mrisho Kikwete ! Duh !
 
still you get XXXXXX 00% si BUNGE linatengeneza katiba mpya, ila ni maoni ya Wadau wote, hata mm na ww tunahusika, bunge is just
part of it as a contributor, sio Final authority on New constitution making process, u don't understand, amigos, ciao


Mr. President, huyo William hajakuelea bado, let me assist you,.... shika chini
ww William, angalia mbele kuleeee, umezoea kufeli, shikaaaa imagesCA5BPTDN.jpg siku nyingine use u r brain to control u r mouth & not mouth to control u r brain, mboko 30 hadi ukome
 
Ni kweli Kikwete ni mmiliki halali wa Dowan:

Concrete Evidence:

Balozi Daraja alipokuwa Washington DC USA kila week alikuwa akija Houston kuonana na hawa jamaa wa richmond akina Gire na wenzake. Wakachonga dili la kuleta hizo mitambo chakavu za richmond kwa thamani ya US$30million ya letter of credit toka CRDB wakati huo mtambo mpya ulikuwa US$24-28million. Kikwete akatangazia watanzania kwamba mgao wa umeme utakuwa historia akijua kwamba baada ya hiyo mitambo mgao utaisha.

Balozi Daraja alikuwa akimpa update Kikwete kwa kila step. Hivyo akina Lowasa ni kondoo wa kafara tu kwa vile alikuwa ndo mtendaji mkuu wa serikali.

Akina Mwakyembe wanazo data zote ndo maana hawakutoa maelezo yote kwa kumficha huyo Kikwete.
 

Muulizeni JK alikwenda USA kufanya nini kama sio kuhamisha fweza za walipa kodi? Maajar baada ya kumtajirisha sana JK pale London alipelekwa USA strategically kwa kazi hiyo.



Heko Mkuu Wacha1, you struck the nail right on the head ! Dili Uingereza zilianza kutiwa mchanga na hivyo kuhamishiwa USA. Mama Maajar kaingia kwa kishindo na juzi tu katembelea California na kufikia kwa jamaa !
 
unavyotamka bila kufikiria utadhani hulipi kodi.kama unalipa kodi then inabidi ujumuike ktk harakati maana kodi yako pia imo ktk mabilioni yanayotafunwa na hao dowans wasiojulikana hata walipo......"Daah jk raia 2mekukosea nini mpaka umefikia huko?"!!!

Mkuu asikuumize kichwa huyo, huyu ni kati ya ma-agent wa mafisadi hapa jamvini!!!!

Tiba
 
Ni kweli Kikwete ni mmiliki halali wa Dowan:

Concrete Evidence:

Balozi Daraja alipokuwa Washington DC USA kila week alikuwa akija Houston kuonana na hawa jamaa wa richmond akina Gire na wenzake. Wakachonga dili la kuleta hizo mitambo chakavu za richmond kwa thamani ya US$30million ya letter of credit toka CRDB wakati huo mtambo mpya ulikuwa US$24-28million. Kikwete akatangazia watanzania kwamba mgao wa umeme utakuwa historia akijua kwamba baada ya hiyo mitambo mgao utaisha.

Balozi Daraja alikuwa akimpa update Kikwete kwa kila step. Hivyo akina Lowasa ni kondoo wa kafara tu kwa vile alikuwa ndo mtendaji mkuu wa serikali.
Akina Mwakyembe wanazo data zote ndo maana hawakutoa maelezo yote kwa kumficha huyo Kikwete.

kwa hiyo mwakyembe kupewa unaibu uwaziri safari hii ni muendelezo wa cover up ya richmond/dowans? kweli tanzania ni shamba la bibi. kila moja anakuja na panga lake na kukata nyama kufuatana na uwezo wake
 
Back
Top Bottom